Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
Wandugu Iwant to set the record strait here!
Inasemekana ule utani kwa wajomba zangu Wa-He-He kuwa wanakula MBWW ni kutokana na wao kuipenda mboga ya majani ya maharage al maarufu I-nyadoogi.
Kisa kilianza walipokutwa na mzungu mwingereza aliyetaka kufahamu kuwa wanakula mlo gani; Ndipo alipojibiwa
Twilya ugali ni nyadoogi tafsiri: Tuanakuala ugalina mboga ya majni ya maharage!
Lakini Mzungu yule alichukua neno Doogi kuwa ni mbwa na nadio haya ya leo ya uncles zangu kuitwa wala mbwa.
Inasemekana ule utani kwa wajomba zangu Wa-He-He kuwa wanakula MBWW ni kutokana na wao kuipenda mboga ya majani ya maharage al maarufu I-nyadoogi.
Kisa kilianza walipokutwa na mzungu mwingereza aliyetaka kufahamu kuwa wanakula mlo gani; Ndipo alipojibiwa
Twilya ugali ni nyadoogi tafsiri: Tuanakuala ugalina mboga ya majni ya maharage!
Lakini Mzungu yule alichukua neno Doogi kuwa ni mbwa na nadio haya ya leo ya uncles zangu kuitwa wala mbwa.