Tunakumbushana: Marumo Gallants walishafungwa Ugenini 4-1 na USM Algers, 2-0 na Al Akhdar ila kwao wakashinda 4-1 na 2-0 na kuvuka

Tunakumbushana: Marumo Gallants walishafungwa Ugenini 4-1 na USM Algers, 2-0 na Al Akhdar ila kwao wakashinda 4-1 na 2-0 na kuvuka

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tuendelee kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na huzuni kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.

Wenye akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini wiki ijayo.

Kudadadeki.

ANGALIZO: Kwa wewe (kisokolokwinyo (muwashwaji muwashwaji) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na mada zake/Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali tusichoshane na acha kabisa kusoma na hata kuchangia bali watafute Members wengine unaowaona ni bora kwako na unawakubali kuliko mimi.

Nimemaliza.
 
Tuendelee Kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa Kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za Kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na Huzuni Kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.

Wenye Akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini Wiki ijayo.

Kudadadeki.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Utaomba dua zote mbaya nyahuni wewe. Simba ni sawa na kwaya ya kina mama tu, hamna kombe lolote
 
Back
Top Bottom