Tripple Jay
JF-Expert Member
- Jul 9, 2017
- 1,012
- 1,939
Mechi itakua ngumu lkn yanga ana nafasi kubwa ya kufika fainali, japo mm ni mwana simba. Msimu huu wapo vzr wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni nusu fainali mkuu sio mechi za makundi hizi kusema kuwa unakusanya point, Hizi mechi 2 nyumbani na ugenini zinachezwa kwa akili kubwa, rejea mechi za yanga ugenini imeruhusu goli ngapi? Mechi ya south africa ina game plan yake usifikiri Nabi ni mjinga kiasi icho, Malumo uliowaona kipindi cha pili ndio malumo watakaocheza kwa kushambulia mwanzo mwisho na hapo ndio wataingia mkenge wa kuchapwa goli lingine kwa counter attack kwa kuwa sioni malumo wakimfunga yanga goli 2 au 3 kulingana na ukuta mathubuti wa yanga uliotengenezwa kwa sasa,Tuendelee Kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa Kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za Kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na Huzuni Kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.
Wenye Akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini Wiki ijayo.
Kudadadeki.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.
Nimemaliza.
Mh football inadundaaTuendelee Kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa Kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za Kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na Huzuni Kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.
Wenye Akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini Wiki ijayo.
Kudadadeki.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.
Nimemaliza.
Sawa Chambuzi Popoma la JamiiForums.Hii ni nusu fainali mkuu sio mechi za makundi hizi kusema kuwa unakusanya point, Hizi mechi 2 nyumbani na ugenini zinachezwa kwa akili kubwa, rejea mechi za yanga ugenini imeruhusu goli ngapi? Mechi ya south africa ina game plan yake usifikiri Nabi ni mjinga kiasi icho, Malumo uliowaona kipindi cha pili ndio malumo watakaocheza kwa kushambulia mwanzo mwisho na hapo ndio wataingia mkenge wa kuchapwa goli lingine kwa counter attack kwa kuwa sioni malumo wakimfunga yanga goli 2 au 3 kulingana na ukuta mathubuti wa yanga uliotengenezwa kwa sasa,
Yanga anayo 75% ya kutinga fainali
Na hii ndo Yanga ilioimbiwa na Pepe Kale na mwaka huu lazima lipigwe colabo la dimondi na kofi olomideTuendelee Kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa Kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za Kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na Huzuni Kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.
Wenye Akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini Wiki ijayo.
Kudadadeki.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.
Nimemaliza.
Nalijua hili Mkuu tena kwa 100% ila napenda tu Kuwajambisha ( kuwaweka Roho juu ) hawa Watani zangu / zetu Yanga SC.Mechi itakua ngumu lkn yanga ana nafasi kubwa ya kufika fainali, japo mm ni mwana simba. Msimu huu wapo vzr wananchi
🤔🤔🤔🤔Sawa Chambuzi Popoma la JamiiForums.
Dua la Kuku hilo!! Yanga hawatakufa kiume mzee.Tuendelee Kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa Kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za Kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na Huzuni Kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.
Wenye Akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini Wiki ijayo.
Kudadadeki.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.
Nimemaliza.
Hivi Katika watu wenye akili na wewe umo?Tuendelee Kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa Kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za Kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na Huzuni Kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.
Wenye Akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini Wiki ijayo.
Kudadadeki.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.
Nimemaliza.
Wewe utabakia daima kuwa Popoma, na Mfa maji tu. 🚮Tuendelee Kufurahia mara ya mwisho mwisho Ushindi wa Kumfunga Marumo Gallants FC Goli 2 za Kindondocha kwani tarehe 17 Mei, 2023 tutakuwa na Huzuni Kubwa na kurejea kuendelea na Madafu NBC Rushwa Rushwa GSM Premier League yetu.
Wenye Akili tunajua Yanga SC ameshatoka tayari katika hatua hii ya Nusu Fainali ya CAFCC kwani hata afanyeje hawezi kutoka Afrika Kusini Wiki ijayo.
Kudadadeki.
ANGALIZO
Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.
Nimemaliza.