Ndombolo Ya Solo
Member
- Mar 24, 2019
- 27
- 19
Kuna mstari mwingine unaosema..."Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu"
Huu mstari unanifikirisha sana, anyways tutafute hela.
Kasome na muhubiri sio ndefu soma yote tu " Mtume anasema yote ni kujilisha upepo maana maana wote mwisho wetu ni chini"19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: uasherati, uchafu, ufisadi, 20 kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi, 21 husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha waonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama haya, hawataurithi Ufalme wa Mungu.