Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa baba unamuweka wa nini
hapa unatakiwa utuambie kuwa mama na mtoto wanaendelea vizuri.
Ndio lakini hakuna direct effect,effect yake ni ya kifedha tuhahahahahahah lol
we Ivunga baba muhimu sana hapo my dear....
na baba ndo sisi tunaemfahamu hapa JF...
baba naye anahusika sana kwenye malezi ivuga.
sijakataa lazkini baraka zote inabidi apewe mama
Wakulu wote hapa kwa niaba ya mama na mtoto ASANTENI, tunawapenda wote, tuko pamoja. Asanteni kwa wishes na sala zenu....badi tupo kwen heka heka but we are all fine..
Kidude cha senks kimeendaga wapi?
Kimeenda Loliondo kupata kikombe cha Babu ili kikirudi kiwe na ari mpya na nguvu ya kuwepo hapa jamvini. Hongera Mkuu.
.....hongera sana Kaizer kwa kushiriki uumbaji.
Hongera kaizer.
Mungu awalinde na kuwapigania. Salamu kwa katoto.
Wapendwa nimetoka kuongea na Kaizer na ameniTAARIFU kuwa nyumba yao imebarikiwa mtoto wa KIUME...........
Mungu mwenyezi utukuzwe kwa utukufu wako tunaoendelea kuushuhudia! Tunawaombea afya njema Mtoto, Baba na Mama hawa! Uwalinde eeeh Mungu wa Majeshi.........shetani asijipe nafasi katika uchanga wa mtoto na uchovu wa mama! Tunazifunga nguvu zote za ibilisi katika UTATU MTAKATIFU.....Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu!
AMEN!