Tunakushukuru Mungu kwa ajili ya familia Ya Kaizer!

Tunakushukuru Mungu kwa ajili ya familia Ya Kaizer!

Hongera kaizer.
Mungu awalinde na kuwapigania. Salamu kwa katoto.
 
Woooooooooooooooooowwwww!..................great to have a new baby.
Hongereni saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana baba na mama wa new baby.
Mbarikiwe sana na mungu awe na nyinyi daima.
 
992.gif
 
Wakulu wote hapa kwa niaba ya mama na mtoto ASANTENI, tunawapenda wote, tuko pamoja. Asanteni kwa wishes na sala zenu....badi tupo kwen heka heka but we are all fine..

Kidude cha senks kimeendaga wapi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wakulu wote hapa kwa niaba ya mama na mtoto ASANTENI, tunawapenda wote, tuko pamoja. Asanteni kwa wishes na sala zenu....badi tupo kwen heka heka but we are all fine..

Kidude cha senks kimeendaga wapi?

Kimeenda Loliondo kupata kikombe cha Babu ili kikirudi kiwe na ari mpya na nguvu ya kuwepo hapa jamvini. Hongera Mkuu.
 
Kimeenda Loliondo kupata kikombe cha Babu ili kikirudi kiwe na ari mpya na nguvu ya kuwepo hapa jamvini. Hongera Mkuu.

dah thanks mkuu BAK.....nimeshangaa sana kumbe na chenyewe kimeenda kwa kikombe ama kinajivua gamba.....lets see
 
Hongera sana, baba hakikisha mama anapata vyakula vya moto moto na katoto kapate joto la kutosha. God be with u all.
 
Congrats Kaizer, God bless you all, and a big kiss to mama na mtoto.
 
Utukufu tunakurudishia Mungu,

Hongera Kaizer na mama....

Mungu awatunze na azidi kuwabariki!
 
Mimi sijaelewa.
Wapendwa nimetoka kuongea na Kaizer na ameniTAARIFU kuwa nyumba yao imebarikiwa mtoto wa KIUME...........

Mungu mwenyezi utukuzwe kwa utukufu wako tunaoendelea kuushuhudia! Tunawaombea afya njema Mtoto, Baba na Mama hawa! Uwalinde eeeh Mungu wa Majeshi.........shetani asijipe nafasi katika uchanga wa mtoto na uchovu wa mama! Tunazifunga nguvu zote za ibilisi katika UTATU MTAKATIFU.....Mungu Baba, Mungu Mwana na Roho Mtakatifu!

AMEN!
 
Hongera sana Kaizer, Mwenyezi Mungu awajalie afya njema mama na mtoto, na familia nzima kwa ujumla......amen!!
 
Back
Top Bottom