Tunakushukuru sana kijana wetu IBRA BAKA

Tunakushukuru sana kijana wetu IBRA BAKA

Ama Hakika Huko Yanga Wenye 'Akili' ni Wawili tu Kama alivyotanabaisha Manara..

Badala ya Kumlaumu Baka aliyegeuza Soka Kuwa Rugby, nyie mmekaLia kumLaumu Karia na TFF..!

Wote ni MAZUZU huko ondoa Mzee JK na Sande.!
 
Ama Hakika Huko Yanga Wenye 'Akili' ni Wawili tu Kama alivyotanabaisha Manara..

Badala ya Kumlaumu Baka aliyegeuza Soka Kuwa Rugby, nyie mmekaLia kumLaumu Karia na TFF..!

Wote ni MAZUZU huko ondoa Mzee JK na Sande.!
 
Hakika umekuwa mzalendo halisi wa Znz

Sikushangaa nilivyoona tu Baka Anabembea Kwenye Mabega Ya Mwenzie nikajua Kwa Refa anayejielewa Lzm Umeme Utahusika..!

Kilichonishangaza,ni Vipi Yule Babu Aucho na Mudadhir kama wameweza kucheza bila Umeme kwa jinsi walivyokuwa wanacheza kibabe.!

Refa angekuwa fair , kulikuwa na Red Tatu pale.

Gamondi Kashindwa Kbs Kusimamia Nidhamu.!

Imefikia hatua Hadi Aziz ki Kadi ya njano inamfuata Kwenye benchi, na Yeye anajifanya kocha Msaidizi anamsaidia Gamondi.!

It is Shame..
 
Sikushangaa nilivyoona tu Baka Anabembea Kwenye Mabega Ya Mwenzie nikajua Kwa Refa anayejielewa Lzm Umeme Utahusika..!

Kilichonishangaza,ni Vipi Yule Babu Aucho na Mudadhir kama wameweza kucheza bila Umeme kwa jinsi walivyokuwa wanacheza kibabe.!

Refa angekuwa fair , kulikuwa na Red Tatu pale.

Gamondi Kashindwa Kbs Kusimamia Nidhamu.!

Imefikia hatua Hadi Aziz ki Kadi ya njano inamfuata Kwenye benchi, na Yeye anajifanya kocha Msaidizi anamsaidia Gamondi.!

It is Shame..
Kocha mwenyewe hana nidhamu,tuwaone wakizidiwa kwenye club bingwa kama hawatapigwa kadi za kutosha
 
Yanga wanacheza Judo uwanjani, tumesema sana sana sanaaa lkn kwakuwa waamuzi wako GSM payroll hakuna adhabu. Leo mbeleko imetoboka
 

Attachments

  • IMG-20240809-WA0049.jpg
    IMG-20240809-WA0049.jpg
    139.1 KB · Views: 3
Sikushangaa nilivyoona tu Baka Anabembea Kwenye Mabega Ya Mwenzie nikajua Kwa Refa anayejielewa Lzm Umeme Utahusika..!

Kilichonishangaza,ni Vipi Yule Babu Aucho na Mudadhir kama wameweza kucheza bila Umeme kwa jinsi walivyokuwa wanacheza kibabe.!

Refa angekuwa fair , kulikuwa na Red Tatu pale.

Gamondi Kashindwa Kbs Kusimamia Nidhamu.!

Imefikia hatua Hadi Aziz ki Kadi ya njano inamfuata Kwenye benchi, na Yeye anajifanya kocha Msaidizi anamsaidia Gamondi.!

It is Shame..
Aziz ki anapayuka akiwa nje alipokuwa ndani hakuna kitu alifanya.
 
Yanga huwezi kuifunga ikiwa kamili hilo linajulikana Azam wasijisifu bado hawajafikia ubora wa Yanga. Walichofanya leo ni mwendelezo wao wa kukamia Yanga na kufungwa kirahisi na Simba na vibonde wengine.

Naomba kuwakumbusha mabeki wetu Uto kuwa hakuna sababu ya kumzuia mshambuliaji aliekutoka maana ni 50/50 anapokutana na Diarra, Ateba aliachwa akiwa offside na Diarra akaokoa, Baka hakuwa na sababu ya kumdandia Saaduni kuchukua red card ya kijinga na tumefungwa kwa masifa yake tunaomba liwe fundisho kwake next time akipitwa aache tu mshambuliaji akakutane na Diarra na hata tukifungwa tukiwa kamili goli huwa linarudi tu, Baka akumbuke yuko timu kubwa hata tukifungwa goli huwa tunarudisha tukiwa kamili. Ule ujinga amefanya Baka ni wa mabeki wa vitimu vidogo kama Azam na Simba, Yanga ni timu Kubwa akumbushwe golini tuna kipa bora wa ligi huyo Saaduni wala asingefunga.

Wanayanga hatujaumia hata kidogo sababu tumefungwa tukiwa pungufu na Azam mkamiaji si mpinzani wetu, sisi tunayotaka kuifunga ni Simba tu.
 
Yanga huwezi kuifunga ikiwa kamili hilo linajulikana Azam wasijisifu bado hawajafikia ubora wa Yanga. Walichofanya leo ni mwendelezo wao wa kukamia Yanga na kufungwa kirahisi na Simba na vibonde wengine.

Naomba kuwakumbusha mabeki wetu Uto kuwa hakuna sababu ya kumzuia mshambuliaji aliekutoka maana ni 50/50 anapokutana na Diarra, Ateba aliachwa akiwa offside na Diarra akaokoa, Baka hakuwa na sababu ya kumdandia Saaduni kuchukua red card ya kijinga na tumefungwa kwa masifa yake tunaomba liwe fundisho kwake next time akipitwa aache tu mshambuliaji akakutane na Diarra na hata tukifungwa tukiwa kamili goli huwa linarudi tu, Baka akumbuke yuko timu kubwa hata tukifungwa huwa tunarudisha tukiwa kamili. Ule ujinga amefanya ni wa mabeki wa vitimu vidogo kama Azam na Simba, Yanga ni timu Kubwa akumbushwe.

Wanayanga hatujaumia hata kidogo sababu tumefungwa tukiwa pungufu na Azam mkamiaji si mpinzani wetu, sisi tunayotaka kuifunga ni Simba tu.
Nyoo mliataka muwe wangapi?Si mlitimia nyie kwa kisenge mkala kadi nyekundu.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums1222824732.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)View attachment 3142184
Pengo la Ramadhan Kayoko limeonekana leo,nyuma mwiko bila Kayoko ni kama Ihefu tu.
 
Yanga huwezi kuifunga ikiwa kamili hilo linajulikana Azam wasijisifu bado hawajafikia ubora wa Yanga. Walichofanya leo ni mwendelezo wao wa kukamia Yanga na kufungwa kirahisi na Simba na vibonde wengine.

Naomba kuwakumbusha mabeki wetu Uto kuwa hakuna sababu ya kumzuia mshambuliaji aliekutoka maana ni 50/50 anapokutana na Diarra, Ateba aliachwa akiwa offside na Diarra akaokoa, Baka hakuwa na sababu ya kumdandia Saaduni kuchukua red card ya kijinga na tumefungwa kwa masifa yake tunaomba liwe fundisho kwake next time akipitwa aache tu mshambuliaji akakutane na Diarra na hata tukifungwa tukiwa kamili goli huwa linarudi tu, Baka akumbuke yuko timu kubwa hata tukifungwa goli huwa tunarudisha tukiwa kamili. Ule ujinga amefanya Baka ni wa mabeki wa vitimu vidogo kama Azam na Simba, Yanga ni timu Kubwa akumbushwe golini tuna kipa bora wa ligi huyo Saaduni wala asingefunga.

Wanayanga hatujaumia hata kidogo sababu tumefungwa tukiwa pungufu na Azam mkamiaji si mpinzani wetu, sisi tunayotaka kuifunga ni Simba tu.

Punguza dharau. Yanga Ina ukubwa gani? Zaidi ya kushinda Ligi kwa mbeleko ya marefa.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Punguza dharau. Yanga Ina ukubwa gani? Zaidi ya kushinda Ligi kwa mbeleko ya marefa.
Makolokolo bila msaada wa Marefa kwa magoli ya offsides hamna timu, punguza mihemuko.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Screenshot_2024-11-03-09-24-23-41_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329.jpg
 
Back
Top Bottom