Tunakwama wapi? Malawian Airlines (ndege 2) Vs Air Tanzania (ndege 11)

Tunakwama wapi? Malawian Airlines (ndege 2) Vs Air Tanzania (ndege 11)

Mkuu ni majanga mnaweza kubadilishiwa route ukasikia ndege inaenda Kigoma kwanza ndio Dar 😄
Kuna siku nimekaa na mzungu jirani ndege iko angani kapita rubani anaanguka anguka (anapepesuka)
Jamaa akaniuliza rubani kalewa? Nikamwambia welcome to Africa
Sasa unacheka ya mafuta, cheka na hii
Nb: hivi ndege inajua inaenda wapi? Mpaka igome kwenda kisa mafuta au tunaongelea mwewe hapa 😄
Basi tuliingizwa mujini
Acha comedy 😂😂😂 hayo unayosema hayana ukweli hata punje. Labda DRC ndio kuna vituko hivyo. Hapa kwetu hakuna huo usanii. Ndio maana tunakwenda nchi za nje. Haina maana hatuna mapungufu katika utoaji wa huduma kama kuchelewesha ndege
 
Acha comedy 😂😂😂 hayo unayosema hayana ukweli hata punje. Labda DRC ndio kuna vituko hivyo. Hapa kwetu hakuna huo usanii. Ndio maana tunakwenda nchi za nje. Haina maana hatuna mapungufu katika utoaji wa huduma kama kuchelewesha ndege
Ila pilots walevi wapo sana kila sehemu duniani au ndio hili unabisha boss?
Kuna American pilot alihukumiwa kwenda jela miezi 10 ilikuwa mwaka jana alikuwa apaishe ndege toka Edinburgh to New York akakutwa kalewa chakari
Sio huyo tu wapo wengi
Mwingine muingereza alikuwa arudi London toka Spain ila alikuwa amelewa vibaya
Wakamzuia aliporudi UK akatimuliwa kazi nakumbuka vizuri sana wakati huo kwani alikuwa anachukua mshahara mara 2 ya wangu
Ilikuwa £70,000 akapigwa chini
Sitanii mkuu labda nina sense of humour 😅 ila sio muongo
 
Mkuu siyo kwamba tuna Kesi nyingi huko Nje!? Na yule Mzee wa MIGA ametishia ndege zetu zitakamatwa huko.
Bora ndege zetu tuendelee kubebana watano watano.
 
Kiwango chetu cha upumbavu kimeenda juu ghafla, watu wanakuja na hoja za kitoto. Unafikiri kwenda International ndio kutengeneza profit? See how big is our country, compare it with Malawi halafu tafakari upumbavu wako.
Kumbe safari za ndani kama vile kwenda Songea ndege zinatengeza profit zaidi kuliko safari za nje kama kwenda London! Ndio unachotaka kutuaminisha.
 
Back
Top Bottom