Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hii ni nchi ya posho tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Posho TZS ngapi Kwa Afisa Mwandamizi?Hii ni nchi ya posho tupu
Eda 60,000, perdiem 250,000Posho TZS ngapi Kwa Afisa Mwandamizi?
Tanzania ipo eneo strategic Kwa safari za Southern (SA-Joburg, Cape town), Eastern (Kenya-Nairobi, Mombasa) na Central (Burundi, Rwanda, Congo, Zambia). ATC wajipange mapema tuMalawian wanatua Joburg daily
fursa tunazitizama tuTanzania ipo eneo strategic Kwa safari za Southern (SA-Joburg, Cape town), Eastern (Kenya-Nairobi, Mombasa) na Central (Burundi, Rwanda, Congo, Zambia). ATC wajipange mapema tu
Tanzania ipo eneo strategic Kwa safari za Southern (SA-Joburg, Cape town), Eastern (Kenya-Nairobi, Mombasa) na Central (Burundi, Rwanda, Congo, Zambia). ATC wajipange mapema tu
Sio kila kituo ATCL aende hasa kwa kuangalia connection walizo nazo. Jiulize mtu atoke Mombasa au Kigali kuja kufanya nini Tanzania? Sidhani kama ATCL atakuwa hata na assurance ya 40% ya ujazo wa ndeg kama hana ndege za kuunganisha na ambazo hazipatikani huko Rwanda na Kenya. Hivi wewe unaweza kwenda Kenya bila sababu eti iko strategic position? ATCL atengeneze connection kutoka Dar kwenda nje ya nchi kama anavyofanya Guangzhou na Mumbai. London inaweza kuleta abiria wachache wa nje ila wengi watakuwa wa ndani. Kurudi Joburg na kuongeza Cape town kama ndege haitashikwa kutampa abiria wa India wengi kupitia Dar na pia wanigeria wengi kutoka South Africa kwenda Lagos na kurudi akianzisha hizo safari. DRC aongeze Kinshasa na Goma pia Malawi kwa safari za kuunganisha kwenda India na China. Aongeze huduma kwenye njia alizonazo yaani Lusaka, Ndola, Lubumbashi, Harare, Nairobi, Bujumbura, Entebbe, Comoro ili zilishe China na India na pia London na Lagos zikianza. Kigali sioni sababu ya kwenda huko, kwa soko lipi?
Inasikitisha tunaacha pesa iliyo SA (JHB na CPT) na kufanya connection DAR to China, Indiaumezungumza kitu kile kile. hongera
Mbali na madilo, alipenda project zinazoonekana kwa macho ili kujimwambafymwendazake alikuwa ni NTU WA DILI
Hizo ndege tulinunua bila kufikiri Sasa ni hasara tupu!?? Mwaka Jana cag report inasema ni hasara!!!!kilikuwa ninkichaka cha jiwe kuibaChama cha Mapinduzi wanafanya makubwa Sana duniani
Mlichangia ngapi kwenye kuzinunua kama tu umeme mnatumia bure?Zanzibar tupewe mgao wetu kwenye hizo ndege. Kila mtu akapambane kivyake. Mambo ya kuja kulaumiana baadae hatutaki kwenye hizo ndege 11 sisi tupeni zetu 5 tutapambania Watalii waje Unguja
Tatizo ni madeni ya nchi kwa sababu ya viongozi wetu wasiopenda kwenda na utawala wa kisheria. Madeni hayo yanafanya wadeni watishie kukamata ndege zetu.Wanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)
View attachment 2019984
Welcome to Malawi Airlines Official Website
www.malawian-airlines.com
Nimecheka kufa. Wewe hujui ndege inaendeshwa vipi. Ndege haindoki kama haina mafuta ya kutosha kufika aendako na akiba ya dharura kwenda uwanja wa dharura. Hakuna rubani mjinga hivyo maana ndege haina break huko anganiNdege zetu local tu kila siku zinachelewa, hakuna ratiba kutwa kubadili mda
Siku tumetua kisa wanajaza mafuta sasa kuna tofauti gani na daladala
Yaani pilot anaona mshale hautufikishi Dar
Kweli tunaweza kwenda nchi zingine kwa wakati au ni aibu tupu
Tujipige makofi na kusema hatuwezi kitu
Mkuu ni majanga mnaweza kubadilishiwa route ukasikia ndege inaenda Kigoma kwanza ndio Dar 😄Nimecheka kufa. Wewe hujui ndege inaendeshwa vipi. Ndege haindoki kama haina mafuta ya kutosha kufika aendako na akiba ya dharura kwenda uwanja wa dharura. Hakuna rubani mjinga hivyo maana ndege haina break huko angani