I bet hujawahi kupanda ndegeKama domestic kunalipa huko nje kwa Kazi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I bet hujawahi kupanda ndegeKama domestic kunalipa huko nje kwa Kazi gani?
Inatakiwa muungano uvunjwe ili mpakatwe . Kazi wafanye bara,,ndege mpewe unguja!Zanzibar tupewe mgao wetu kwenye hizo ndege. Kila mtu akapambane kivyake. Mambo ya kuja kulaumiana baadae hatutaki kwenye hizo ndege 11 sisi tupeni zetu 5 tutapambania Watalii waje Unguja
Endelea kubetI bet hujawahi kupanda ndege
TuliaEndelea kubet
Nyie kazi za U beach boy na kuserebuka na vibibi vikongwe vya Kizungu mtamuachia nani bana?! Mambo magumu yaacheni huku.😀Ndege zigaiwe pasu kwa pasu. Tuwaze mambo mengine
CAG alisema ndege hizo zilinunuliwa bila hata kua na Business plan.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ngumbaru tumejaa ghilba
She. Swalamaaa!Ndege zigaiwe pasu kwa pasu. Tuwaze mambo mengine
Domestic Kumelipa toka lini?Kama domestic kunalipa huko nje kwa Kazi gani?
Mmechangia shs ngapi kizinunua.?Zanzibar tupewe mgao wetu kwenye hizo ndege. Kila mtu akapambane kivyake. Mambo ya kuja kulaumiana baadae hatutaki kwenye hizo ndege 11 sisi tupeni zetu 5 tutapambania Watalii waje Unguja
HakkiiiiiNdege zigaiwe kwa HAKI
Mambo matamu.Mambo makubwa