connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
- Thread starter
- #81
***Tunazungukwa na nchi 8 zisizo na bandari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumilala***Tunazungukwa na nchi 8 zisizo na bandari
Huyu anafanana na Polepole. Hapa alikuwa na umri gani?Kabisa mkuuView attachment 2020016
Zamani hoteli za Dar wapishi na wahudumu walitawala wanyasa, hospitali maarufu na madakitari wazuri miaka ya sitini walikuwa wanyasa usisahau mahausigeli na mashambaboi wa wazungu wanyasa, hawaibi nyama ya mbwa mzungu akisafiri.Wanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)
View attachment 2019984
Welcome to Malawi Airlines Official Website
www.malawian-airlines.com
yaani kwenye uchumi wa Tz kimapato zanzibar hamchangii hata 1%Zanzibar tupewe mgao wetu kwenye hizo ndege. Kila mtu akapambane kivyake. Mambo ya kuja kulaumiana baadae hatutaki kwenye hizo ndege 11 sisi tupeni zetu 5 tutapambania Watalii waje Unguja
Sisi zetu zinamtembeza Katibu Mkuu wa ccm
Jinga kabisa mbwiga wewe. Sasa Kama domestic unalipa mbona uwanja wa Chato umetelekezwa na Sasa unaanikiwa nafaka?Kiwango chetu cha upumbavu kimeenda juu ghafla, watu wanakuja na hoja za kitoto. Unafikiri kwenda International ndio kutengeneza profit? See how big is our country, compare it with Malawi halafu tafakari upumbavu wako.
Wanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)
View attachment 2019984
Welcome to Malawi Airlines Official Website
www.malawian-airlines.com
Registration si hoja!Angalia registration ya hizo ndege za Malawi kabla hijawasifia
Bro kwanza tuliza kichwa kabla ya kulaumu,angalia local destinations za arcl,zihesabu ni ngapi,hesabu international destinations za atcl ni ngapi,pia angalia routes ambazo tayari wameishapewa ila wanasubiri kuidhinishwa,usidhani kuwa ni kununua tu ndege na kuruka unapopataka kuna masharti,but air malawi haiwezi kuifikia atcl hata punjeWanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)
View attachment 2019984
Welcome to Malawi Airlines Official Website
www.malawian-airlines.com
Masuala ya uchukuzi hayapo kwenye Muungano mkuu!!Zanzibar tupewe mgao wetu kwenye hizo ndege. Kila mtu akapambane kivyake. Mambo ya kuja kulaumiana baadae hatutaki kwenye hizo ndege 11 sisi tupeni zetu 5 tutapambania Watalii waje Unguja
Ulisoma taarifa ya CAG kuhusu risk waliyonayo ARWanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)
View attachment 2019984
Welcome to Malawi Airlines Official Website
www.malawian-airlines.com
Hivi zile meli mlizonunuz nasi tuna mgao huko?Zanzibar tupewe mgao wetu kwenye hizo ndege. Kila mtu akapambane kivyake. Mambo ya kuja kulaumiana baadae hatutaki kwenye hizo ndege 11 sisi tupeni zetu 5 tutapambania Watalii waje Unguja
Mchakato wa kupeleka ndege marekani si mchezo. Kama China imesumbua mpaka hamjui cha kufanya unafikiri USA mtafanikiwa soonNchi kubwa hii,
Ndege zinatembea vzr Tu hapa ndani na kuleta hela za kutosha, kwa nje wateja wachache labda mpaka tuanzishe safari za UK, China, na Marekani ndo kutakuwa na faida kutanuka ndani ya Africa
Mbona China wanaenda, IlaMchakato wa kupeleka ndege marekani si mchezo. Kama China imesumbua mpaka hamjui cha kufanya unafikiri USA mtafanikiwa soon