crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,955
Hizo destination zote tajwa hapo juu ATC tayari wanazo labda kuongeza zaidi utilization hasa wa hizo B 787 ulizotaja.umeongea kitalaam kabisa,sijajua kwann ATC wanashindwa kuwa na international destn. Hizi 787 hawazitendei haki kabisa,wanafeli wapi sijui!!