and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Sure. Hao Malawian Airlines Wana B737 LLW-BLZ-JNB linajaa. Nyie mnakimbizana DAR-MWZ.Nimeshindwa kumjibu maana amesema wapumbavu tupo wengi!!
Ila nikunong'oneze tu, ukishakuwa na fleets za dreamliner 787 the only way to make profit is to go international. Wataalam wanasema angalau uruke masaa 13 kwa siku ,mfano Quantas dreamliber 787 ina route ya masaa 19 angani non stop.
Kama ni kweli tumenunua dreamliner kwa sababu ya local routes, ni sawa kabisa ma mtu anunue basi la yutong kwa safari za ubungo posta.