Tunakwama wapi? Malawian Airlines (ndege 2) Vs Air Tanzania (ndege 11)

Tunakwama wapi? Malawian Airlines (ndege 2) Vs Air Tanzania (ndege 11)

Sorry bro naomba nikuulize ... Qantas wanaruka destination zipi ambazo ni 19hours nonstop ? Maana nilisoma kwenye mtandao wa simpleflying.com na samchui.com kwamba walikuwa wanafanyia jaribio project yao moja inaitwa project sunrise ambapo walirusha ndege aina ya dremliner787 kutoka newyork hadi Australia kupitia London ambapo unashuhudia jua linachomoza mara 2 ukiwa angani.sasa sijajua kama ndio hiyo au ni ipi mdau nijuze
Newyork Sydney, ila record holder ni swiss carrier comlux wao walirusha 787 Buenos Aires to Seoul masaa 20 dk 19 non stop, ingawa hii ni ndege ya kukodi.
 
Newyork Sydney, ila record holder ni swiss carrier comlux wao walirusha 787 Buenos Aires to Seoul masaa 20 dk 19 non stop, ingawa hii ni ndege ya kukodi.
Hiyo ni world record aisee. Mi nikawa najua longest route ni Dubai to Singapore
 
Hapo sasa wanapata faida mara mbili! Boeing 737 ni ndege iliyoukuwa desined ikiwa na landing cylces nyingi za kutosha, wenzetu wanapoitumia ndege ya aina hii kwa safari ndefu maana yake ni kuwa wanaipa pia maisha marefu ya airworthiness , sisi ni kinyume chake sasa Boeing 787 ni heavy plane( wide body) , ndege hizi huwa kwa kawaida hazina landing cyles nyingi kutokana na uzito wake , ili upate faida kwa dream liner inatakiwa mizunguko ya kutua na kupaa iwe michache ili uweze kutumia mdege hii kwa muda mrefu na kupata faida.
Sehemu pekee hizi ndege kubwa zinapata faida kwa short routes ni Asia , Routes zao fupi zina guarantee ya kujaza ndege hata kama ni kubwa. Jappanesse carriers, JAL na ANA wamekuwa wanatumia madege makubwa kwa safari fupi fupi, imagine 2hours flight, walikuwa wanatumia boeing 747, !! ,
Sure. Hata Emirates wanatumia ndege kubwa Airbus 350-900 kwa safari za 45 mins (Dubai-Manama, Bahrain x3 daily) na inajaa. Sisi wabantu Sasa!
 
Wanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)

View attachment 2019984
Sheikh! Huku visiwan msitusahau kwenye gawio!
 
Hazina vibali,hazina wateja,hazina ubora
Nani mjinga apande bombardier imdondokee afe.
 
Wanyasa kwa ufadhili wa Ethiopian airlines Wana ndege 2 wanafanya maajabu international destinations (DAR, NBO, LSK, JNB & HRE) . Sisi ndege 11 international destinations za kuhesabu kwann bado hatukamati destinations za maana? Tumirogwa?
Hii COVID ilipaswa kukamata alipofeli South Africa Airways ( DAR-JNB-CPT-DUR)

View attachment 2019984
Hivi unadhani routes za ndege unaamja na kuruka zina process yake kwa sasa tuna zambia,kongo,burundi,india na kenya,tuna route ya china na london ambazo hazijaanza

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Nyie hamuwezi business competition na kenya airway, Ethiopia airway,rwanda airway
Yaani passenger aache kupanda makampuni ya kueleweka apande bajaji za magufuli!
Bora kukaa kimya. Umepewa mfano wa hiyo Malawian Airlines hawana maajabu Ila wanatoboa International sembuse sisi?
 
Bora kukaa kimya. Umepewa mfano wa hiyo Malawian Airlines hawana maajabu Ila wanatoboa International sembuse sisi?
Na nyie kama kweli mnauwezo toboeni na hizo bajaj za magufuli
 
Malawi ni maskini kuzidi sisi. Ila ukimkuta katoka, katoka kweli
 
Hapo sasa wanapata faida mara mbili! Boeing 737 ni ndege iliyoukuwa desined ikiwa na landing cylces nyingi za kutosha, wenzetu wanapoitumia ndege ya aina hii kwa safari ndefu maana yake ni kuwa wanaipa pia maisha marefu ya airworthiness , sisi ni kinyume chake sasa Boeing 787 ni heavy plane( wide body) , ndege hizi huwa kwa kawaida hazina landing cyles nyingi kutokana na uzito wake , ili upate faida kwa dream liner inatakiwa mizunguko ya kutua na kupaa iwe michache ili uweze kutumia mdege hii kwa muda mrefu na kupata faida.
Sehemu pekee hizi ndege kubwa zinapata faida kwa short routes ni Asia , Routes zao fupi zina guarantee ya kujaza ndege hata kama ni kubwa. Jappanesse carriers, JAL na ANA wamekuwa wanatumia madege makubwa kwa safari fupi fupi, imagine 2hours flight, walikuwa wanatumia boeing 747, !! ,
umeongea kitalaam kabisa,sijajua kwann ATC wanashindwa kuwa na international destn. Hizi 787 hawazitendei haki kabisa,wanafeli wapi sijui!!
 
Fafanua hicho ulichoita ufadhili wa Ethiopian Arlines maana Watz tunakauogonjwa kurukia kusifia wenzetu na kujiponda wenyewe.
Je huo ufadhili kama huu ulileta matunda gani Rwandaair?!
 
Back
Top Bottom