Hapo sasa wanapata faida mara mbili! Boeing 737 ni ndege iliyoukuwa desined ikiwa na landing cylces nyingi za kutosha, wenzetu wanapoitumia ndege ya aina hii kwa safari ndefu maana yake ni kuwa wanaipa pia maisha marefu ya airworthiness , sisi ni kinyume chake sasa Boeing 787 ni heavy plane( wide body) , ndege hizi huwa kwa kawaida hazina landing cyles nyingi kutokana na uzito wake , ili upate faida kwa dream liner inatakiwa mizunguko ya kutua na kupaa iwe michache ili uweze kutumia mdege hii kwa muda mrefu na kupata faida.
Sehemu pekee hizi ndege kubwa zinapata faida kwa short routes ni Asia , Routes zao fupi zina guarantee ya kujaza ndege hata kama ni kubwa. Jappanesse carriers, JAL na ANA wamekuwa wanatumia madege makubwa kwa safari fupi fupi, imagine 2hours flight, walikuwa wanatumia boeing 747, !! ,