Tunakwenda wapi? Gachuma awamu ya tano Mwalifu, awamu ya sita mjumbe bodi ya TANESCO

Tunakwenda wapi? Gachuma awamu ya tano Mwalifu, awamu ya sita mjumbe bodi ya TANESCO

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
SHITHOLE KILA KITU FROM TOP-DOWN!
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Hii ndio Tanzania sasa,hatuko serious tunachoangalia ni maslahi ya kikundi chetu chetu Cha CCM
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Mwehu alifanya unyama sana ndo maana allah alimchukua akawe mkuu wa mashetani huko jehanamu
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Kwa pamoja tuungane kudai Katiba mpya vinginevyo utaendelea kupiga mayowe mpaka uzeeke

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Yafaa kutangazwa watu waombe nafasi za ujumbe wa bodi. Kuna wakati tulifika hapo sijui nini kilitokea wakaanza tena kupeana. Ukurugenzi kwenye shirika ni sawa na kua mwenye shirika au kumuwakilisha mwenye shirika. Je shirika la umma watu kupeana bila raia kuona msingi uliyotumika inakuaje? Wakurugenzi badala ya kuwakilisha umma je wakijiwakilisha kwa kugeuza shirika lao inakuaje? Huyu januari na genge lake wana mpango kubinafsisha tanesco. Sasa ndio pengine wanapangana kwenye safu?
 
Kama alikuwa mualifu na kushtakiwa mahakamani kesi yake iliishaje??

Yule jamaa alikuwa na chuki sana na matajiri, aliifilisi nchi akawa anakamata matajiri na kuwalazimisha wampe pesa. Ukimkatalia ndio unaishia kukutwa na hayo mambo.
 
sasa mnataka Bodi ya wakurugenzi wa Tanesco tuweke watoto wa shule, au graduates ambao hawana exposure yeyote au walimu wa UDSM? Hizi bodi za mashirika makubwa zinahitaji wasomi wenye exposure yakuendesha mashirika tofautitofauti kwa mafanikio au wafanyabiasahra wakubwa wenye uzeofu na big business....

Nafasi za kupugua kelele kwa mwezangu na mimi wa huku Tandika zipo lakini sio hizi..
 
Yani hamna kitu kinauzi Kama Kila siku serekalini ajira zikijaa watu Ni wale waleee....waliowai kupitaa kwani hakuna wengineee
Ndugu kama huna koneksheni huko juu njoo nikupe mbunga ulime pamba,hizo nafasi ni za watu waliowahi kuhudumu hii nchi wao wamestaafu sasa ni muda wa watotowao,wajukuu,kitukuu na vilembwekeze vyao,wewe tafuta shamba wakupangie bei ukivuna ova
 
Kinachokwenda kuvalishwa hapa ni makundi yakiutawala ambayo, utaishi vizuri tu flani akiwa Rais lakini ikiwa tofauti utaishia kulia na kusaga meno. Tukiendelea na huu mfumo wakula nchi kirafiki na kidini au kikanda tunamomonyoa hata kile kidogo kilichobaki kutuunganisha
 
Yani hamna kitu kinauzi Kama Kila siku serekalini ajira zikijaa watu Ni wale waleee....waliowai kupitaa kwani hakuna wengineee
Bongo yetu hii, ukizaliwa kwenye umasikini kutoka humo ni mpaka mtu wa kwenye system akupe ABC...

MJINI KILA KITU NI MAELEKEZO.
 
Ndugu kama huna koneksheni huko juu njoo nikupe mbunga ulime pamba,hizo nafasi ni za watu waliowahi kuhudumu hii nchi wao wamestaafu sasa ni muda wa watotowao,wajukuu,kitukuu na vilembwekeze vyao,wewe tafuta shamba wakupangie bei ukivuna ova
Ukweli mchungu.
 
Mwehu alifanya unyama sana ndo maana allah alimchukua akawe mkuu wa mashetani huko jehanamu
telegram huna busara. Huyo unayamtukana ndiye aliyeleta ushindi CCM. Na ndiyo huyo wewe na genge lako mliahirisha kumuua ili uchaguzi ashinde ili akifa awaachie nchi mtawale kiurahisi. Ila sasa badala ya kuwa wauaji wastaarabu mnajitokeza kumbeza huyo huyo mliyemuua mkidhani mtabaki salama. Hakuna dhambi isiyokuwa na mwisho. Onyo ni kuwa shangilieni mkijua Mungu huyu huyu aliyeruhusu Yesu Kristo
Akateswa na kufa ndiyo huyo huyo alimfufua Yesu na kumfanya amuangamize shetani. Na hata leo Jina la Yesu Kristo linamtesa sana shetani aliyeshangilia kifo cha Yesu akidhani kifo chake kilikuwa mwisho. Shetani muda wake ulikuwa ni siku ya kwanza na ya pili na ya tatu ilikuwa ushindi kwa Yesu Kristo alipoyashinda Mauti.

Kiama chenu chaja!
 
Back
Top Bottom