Tunakwenda wapi? Gachuma awamu ya tano Mwalifu, awamu ya sita mjumbe bodi ya TANESCO

Tunakwenda wapi? Gachuma awamu ya tano Mwalifu, awamu ya sita mjumbe bodi ya TANESCO

Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Acha uongo wa mchana kweupe wewe!

Gachuma hajawahi kukamatwa wala kutuhumiwa kwa lolote.

Nikukumbushe,yeye ndie alikuwa mwenyekiti wa kamati ya ukarabati wa kituo cha televisheni CHANEL TEN. Mwaka jana,Hayati Magufuli alimpongeza kwa kazi nzuri aliyofanya katika jukumu hilo wakati wa uzinduzi wa studio mpya za kituo hicho.

Acheni uongo na chuki zenu kwa serikali hii na kuanza harakati za kichafua watu bila sababu.
 
Nasema hivi na ninarudia kusema; "Ndiyo maana vijana wengi wenye taaluma na wasiyo na taaluma wakipata nafasi serikalini kuiba inapewa nafasi ya kwanza kuliko uzalendo".

Haiwezekani hasilani, miaka nenda rudi eti watendaji wanarudia na kurudishwa wale wale, sababu ya msingi ni ipi hiyo?.

Makamba kakaa benchi almost 6yrs akiwa benchi hatujui alikuwa na yapi moyoni mwake juu ya taifa hili, huku hao watu marafiki zake wakimpa mawahidha gani.

Huku nje system ipo kuanzia balozi wa nyumba 10 ambaye ana taarifa za wakaazi ili kufanya vetting kwa hizo nafasi za kuteuliwa na waziri.

Sasa huyo Gachuma nimeanza kumsikia takribani miaka 30 iliyopita mpaka leo, shubamit, vijana changamkeni!.
 
Katiba inampa raisi uhuru wa kuteua yoyote, labda awe na mtindio wa ubongo. Hapa ndipo shida ilipo.
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
wewe ni muongo na uongo ni dhambi- umetoka lini mwezini?
 
Wewe mleta mada ebu acha uwongo wako! Ebu eleza vizuri ni lini Christopher Mwita Gachuma alikamatwa wakati wa Serikali ya awamu ya 5!
Mzee Gachuma ni kiongozi na mfanyabiashara anayeheshimika Nchini na ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (MNEC), Mjumbe na Mwenyekiti wa Bodi mbalimbali hapa Nchini na Mwekezaji Mkubwa katika Sekta ya Viwanda ( Anajua umuhimu wa Umeme)! Sasa wewe ulitaka uteuliwe wewe kwenye hiyo Bodi ya TANESCO!
Tatizo nyie vijana wa CHADEMA akili zenu zimedumaa sana! Mnadhani kila kazi ni Ajira! Ujumbe wa Bodi unahitaji mtu mwenye uzoefu mpana acha chuki za kijinga!
 
Wewe mleta mada ebu acha uwongo wako! Ebu eleza vizuri ni lini Christopher Mwita Gachuma alikamatwa wakati wa Serikali ya awamu ya 5!
Mzee Gachuma ni kiongozi na mfanyabiashara anayeheshimika Nchini na ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (MNEC), Mjumbe na Mwenyekiti wa Bodi mbalimbali hapa Nchini na Mwekezaji Mkubwa katika Sekta ya Viwanda ( Anajua umuhimu wa Umeme)! Sasa wewe ulitaka uteuliwe wewe kwenye hiyo Bodi ya TANESCO!
Tatizo nyie vijana wa CHADEMA akili zenu zimedumaa sana! Mnadhani kila kazi ni Ajira! Ujumbe wa Bodi unahitaji mtu mwenye uzoefu mpana acha chuki za kijinga!
[emoji120][emoji120][emoji120]

Fumadilu,wala usijidanganye kuwa hawa ni vijana wa Chadema. Haya ni maccm yaliyochanganyikiwa. Maccm yenye rohombaya ambayo yalikuwa yanashabikia na kufaidika na utawala wa dhuluma wa awamu iliyopita.
 
Mwehu alifanya unyama sana ndo maana allah alimchukua akawe mkuu wa mashetani huko jehanamu
Kwa hiyo mkuu hata wewe ukifa ni allah amekuchukua sababu ya unyama wako? Mbona huna akili kiasi hicho? Huyo allah na yeye atakua taahira.
 
Correction-
FISADI NAMBA MBILI
👉Christopher Gachuma- hela zote alizokuwa Meko anapora wafanya biashara kwenye akaunti zao zilikuwa zinakwenda BoT na kwa maelekezo ya Dotto na meko zilikuwa zinatumwa kwa huyu mzee kwenye maakaunti ya makampuni yake Kwa niaba ya Meko na Dotto
 
Mwehu alifanya unyama sana ndo maana allah alimchukua akawe mkuu wa mashetani huko jehanamu
Pamoja na ukatili wa jiwe, Ila sidhani Kama unamjua vizuri huyo mwana-CCM gachuma.
Gachuma? Anyway
 
telegram huna busara. Huyo unayamtukana ndiye aliyeleta ushindi CCM. Na ndiyo huyo wewe na genge lako mliahirisha kumuua ili uchaguzi ashinde ili akifa awaachie nchi mtawale kiurahisi. Ila sasa badala ya kuwa wauaji wastaarabu mnajitokeza kumbeza huyo huyo mliyemuua mkidhani mtabaki salama. Hakuna dhambi isiyokuwa na mwisho. Onyo ni kuwa shangilieni mkijua Mungu huyu huyu aliyeruhusu Yesu Kristo
Akateswa na kufa ndiyo huyo huyo alimfufua Yesu na kumfanya amuangamize shetani. Na hata leo Jina la Yesu Kristo linamtesa sana shetani aliyeshangilia kifo cha Yesu akidhani kifo chake kilikuwa mwisho. Shetani muda wake ulikuwa ni siku ya kwanza na ya pili na ya tatu ilikuwa ushindi kwa Yesu Kristo alipoyashinda Mauti.

Kiama chenu chaja!
Hivi na yeye aliua wangapi?
 
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.

Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.

Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?

Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Wewe unaona tunaenda wapi? Alihukumiwa lini na mahakama au ni kwa kuwa alikuwa against Chato gang?
 
Back
Top Bottom