Tunalaani uwanja Chato, nchi hii upendeleo ulianza zamani Wachaga mkiongoza

Tunalaani uwanja Chato, nchi hii upendeleo ulianza zamani Wachaga mkiongoza

tunamlaumu kwa kutumia rasilimali na kodi zetu vibaya!
Si unawaona hata levo ya chama wanavyoiga kuwa wakubwa? Ukiona mkuu wa chama cha upinzani hataki kukosolewa, anaajili walinzi, hsogelewi hovyo na anatoa amri za kufukuza wanachama, ujue akiwa rais ni tatizo bial kiwango. Hii ni wote. Hata CHADEMA, UDP ya Cheyo wakati ule na Jidulamabambasi, CUF ya Lipumba, TLP ya Mreman, nk. Wote hao wanapenda ukubwa wa kiwango hicho. Hawana sifa za kukosoa wenzao.
 
Hii ya Chato ni mbaya! Lakini kwa nini hatuko tayari kulaani yote yaliyotokea na yanayotokea nchi hii?

Ukiamua kutetetea tuuuu hapo ndo tunasema wengi tunafurahia upendeleo unaotufikia kwa neema. Tunalazimisha kutumia hata takwimu zisizokuwepo na hasa hilo la elimu. Hapa TZ Wilaya pekee inayoweza kujivunia wasomi wa kiwango cha juu kabisa kuliko wilaya yoyote nyengine ni Ukerewe. Nasema tena Ukerewe na hiyo inafahamika. Kwa nini hawakujaa juu kote? sema jingine tu!

Kusoma kwa miaka ile, usiwape pongezi wazee wa kichaga, toa pongezi kwa wamisionari, hata Ukerewe ni hilo!
Kuna mambo uliyoyaandika ni upuuzi na ujinga mkubwa.

Hivi uwepo wa ongezeko la mikoa kama Katavi, Geita, Simiyu na Njombe ulikuwa ni upendeleo wa Pinda? Unajua umbali wa kutoka Sumbawanga mpaka Kigoma? Ni karibia 550km. Kutoka Mza mpaka Shinyanga ni 164km. Nitajie ni mikoa gani ambayo makao yake makuu yana umbali kati yao ya kiwango hicho.

Uwanja wa ndege wa Songwe haukujengwa kijijini kwa kiongozi yeyote, ulijengwa Mbeya mjini. Mbeya ni makao makuu ya centre kuu ya kibiashara kwa kanda ya Nyanda za Juu Kusini. Utailinganisha vipi na kijiji cha Chato?

Lakini tukiwa wakweli kulazimisha ujenzi wa majengo makubwa Chato kama vile majengo ya ghorofa kama yale ya CRDB wakati wateja ni kiduchu, majengo ya TRA wakati walipa kodi ni kiduchu, bohari kuu ya madawa ya kanda, uwanja wa kimataifa wa ndege, n.k. ni matumizi mabaya ya rasilimali za Taifa. Jambo hili linastahili kukemewa, kulaaniwa na kupingwa na yeyote aliye mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu na anayetii dhamira ya ubinadamu wake.

Chato inastahili huduma kama ilivyo sehemu nyingine zote lakini kwa kuzingatia mahitaji halisi. Kuna baadhi ya hivyo vitu vilivyopelekwa Chato, hakuna ambaye angelalamika kama vingepelekwa Geita au Mwanza.

Mwanza CRDB hawana hata jengo moja la ghorofa lakini limeenda kuwekwa Chato. Upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mwanza ulioanza wakati wa Kikwete, unasuasua mpaka leo haujakamilika lakini wa Chato umejengwa kwa muda mfupi na kukamilika kwa muda mfupi. Hata sisi wa Mwanza hatufurahishwi na jambo hili. Kwa walio mbali wakisikia kila wakati kuwa yupo Mza wanaamini kuwa Mza inapendelewa lakini siyo kweli. Inaypondelewa ni Chato wala siyo Geita, Mwanza au Kagera. Hakuna chochote kikubwa kilichofanywa Mwza labda mradi wa usambazaji maji unaoendelea. Kila mara anasikika yupo Mza lakini ukweli haya ni mapitio ya kwenda kwake. Anapokwenda kwake anatafuta kitu kidogo kilichopo Mwza au anakizindua au anakitembelea ili itangazwe kuwa yupo Mza kikazi.

Ukweli ni kuwa tuseme wazi kuwa UBAGUZI na UPENDELEO hatuutaki kwa sababu mbegu hiyo ikimea itaangamiza Taifa.
 
Kuna mambo uliyoyaandika ni upuuzi na ujinga mkubwa.

Hivi uwepo wa ongezeko la mikoa kama Katavi, Geita, Simiyu na Njombe ulikuwa ni upendeleo wa Pinda? Unajua umbali wa kutoka Sumbawanga mpaka Kigoma? Ni karibia 550km. Kutoka Mza mpaka Shinyanga ni 164km. Nitajie ni mikoa gani ambayo makao yake makuu yana umbali kati yao ya kiwango hicho.

Uwanja wa ndege wa Songwe haukujengwa kijijini kwa kiongozi yeyote, ulijengwa Mbeya mjini. Mbeya ni makao makuu ya centre kuu ya kibiashara kwa kanda ya Nyanda za Juu Kusini. Utailinganisha vipi na kijiji cha Chato?

Lakini tukiwa wakweli kulazimisha ujenzi wa majengo makubwa Chato kama vile majengo ya ghorofa kama yale ya CRDB wakati wateja ni kiduchu, majengo ya TRA wakati walipa kodi ni kiduchu, bohari kuu ya madawa ya kanda, uwanja wa kimataifa wa ndege, n.k. ni matumizi mabaya ya rasilimali za Taifa. Jambo hili linastahili kukemewa, kulaaniwa na kupingwa na yeyote aliye mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu na anayetii dhamira ya ubinadamu wake.

Chato inastahili huduma kama ilivyo sehemu nyingine zote lakini kwa kuzingatia mahitaji halisi. Kuna baadhi ya hivyo vitu vilivyopelekwa Chato, hakuna ambaye angelalamika kama vingepelekwa Geita au Mwanza.

Mwanza CRDB hawana hata jengo moja la ghorofa lakini limeenda kuwekwa Chato. Upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mwanza ulioanza wakati wa Kikwete, unasuasua mpaka leo haujakamilika lakini wa Chato umejengwa kwa muda mfupi na kukamilika kwa muda mfupi. Hata sisi wa Mwanza hatufurahishwi na jambo hili. Kwa walio mbali wakisikia kila wakati kuwa yupo Mza wanaamini kuwa Mza inapendelewa lakini siyo kweli. Inaypondelewa ni Chato wala siyo Geita, Mwanza au Kagera. Hakuna chochote kikubwa kilichofanywa Mwza labda mradi wa usambazaji maji unaoendelea. Kila mara anasikika yupo Mza lakini ukweli haya ni mapitio ya kwenda kwake. Anapokwenda kwake anatafuta kitu kidogo kilichopo Mwza au anakizindua au anakitembelea ili itangazwe kuwa yupo Mza kikazi.

Ukweli ni kuwa tuseme wazi kuwa UBAGUZI na UPENDELEO hatuutaki kwa sababu mbegu hiyo ikimea itaangamiza Taifa.
Umeandika vizuri hayo yote yangefanyika kwa kuzingatia mahitaji halisi sio ishu ila yamefanyika kwa viwango vikubwa sana unless Chato iko mbioni kuwa makao makuu ya mkoa na bahati mbaya rais anafanya bila hata aibu sijui kwa nini
 
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Pole
 
Kuna mambo uliyoyaandika ni upuuzi na ujinga mkubwa.

Hivi uwepo wa ongezeko la mikoa kama Katavi, Geita, Simiyu na Njombe ulikuwa ni upendeleo wa Pinda? Unajua umbali wa kutoka Sumbawanga mpaka Kigoma? Ni karibia 550km. Kutoka Mza mpaka Shinyanga ni 164km. Nitajie ni mikoa gani ambayo makao yake makuu yana umbali kati yao ya kiwango hicho.

Uwanja wa ndege wa Songwe haukujengwa kijijini kwa kiongozi yeyote, ulijengwa Mbeya mjini. Mbeya ni makao makuu ya centre kuu ya kibiashara kwa kanda ya Nyanda za Juu Kusini. Utailinganisha vipi na kijiji cha Chato?

Lakini tukiwa wakweli kulazimisha ujenzi wa majengo makubwa Chato kama vile majengo ya ghorofa kama yale ya CRDB wakati wateja ni kiduchu, majengo ya TRA wakati walipa kodi ni kiduchu, bohari kuu ya madawa ya kanda, uwanja wa kimataifa wa ndege, n.k. ni matumizi mabaya ya rasilimali za Taifa. Jambo hili linastahili kukemewa, kulaaniwa na kupingwa na yeyote aliye mzalendo wa kweli, mwenye akili timamu na anayetii dhamira ya ubinadamu wake.

Chato inastahili huduma kama ilivyo sehemu nyingine zote lakini kwa kuzingatia mahitaji halisi. Kuna baadhi ya hivyo vitu vilivyopelekwa Chato, hakuna ambaye angelalamika kama vingepelekwa Geita au Mwanza.

Mwanza CRDB hawana hata jengo moja la ghorofa lakini limeenda kuwekwa Chato. Upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mwanza ulioanza wakati wa Kikwete, unasuasua mpaka leo haujakamilika lakini wa Chato umejengwa kwa muda mfupi na kukamilika kwa muda mfupi. Hata sisi wa Mwanza hatufurahishwi na jambo hili. Kwa walio mbali wakisikia kila wakati kuwa yupo Mza wanaamini kuwa Mza inapendelewa lakini siyo kweli. Inaypondelewa ni Chato wala siyo Geita, Mwanza au Kagera. Hakuna chochote kikubwa kilichofanywa Mwza labda mradi wa usambazaji maji unaoendelea. Kila mara anasikika yupo Mza lakini ukweli haya ni mapitio ya kwenda kwake. Anapokwenda kwake anatafuta kitu kidogo kilichopo Mwza au anakizindua au anakitembelea ili itangazwe kuwa yupo Mza kikazi.

Ukweli ni kuwa tuseme wazi kuwa UBAGUZI na UPENDELEO hatuutaki kwa sababu mbegu hiyo ikimea itaangamiza Taifa.
Mkuu upo vizuri
 
Our politician do not think locally ndio maana wanashindwa kuwasaolidia wananchi wanaowawakilisha. Hawajui mahitaji halisi ya wananchi. Wanawaza na kuwapelekea Vitu vya kifahari. Wananchi wa majimbo ya vijijini kama Chato wanahitaji Shule nzuri, maktaba za kusomea, nyumba nzuri na maji. Wakipewa elimu haitaoza na hakuna atakayeweza kupuuzia. Hivyo vingine, akiondoka tu kiongozi anayepush vinabaki kuwa magofu.
 
Kwani CHATO hawaishi watu na hawastahili kuwa na Hivyo vitu?

Kwanini huulizi KIA, ?

RAIS MAGUFULI JENGA UWANJA SIYO HUO TU, BALI TUJENGEE MWINGINE WILAYA YA NZEGA BOMBADIA ITUE NZEGA.

KODI TUNALIPA WOTE,

NZEGA TUMESAHAULIKA SANA
 
Nilichogundua Ni kwamba, Wachaga hawataki Makabila mengine yale keki ya taifa, na Wasukuma wanapindua meza, kuakikisha Chaga Empire inakwama. Sisi Waluguru tunawatakia ligi njema. Magufuri baba, tukumbuke na sisi Moro, wachaga wametutesa sana.
 
Kwani CHATO hawaishi watu na hawastahili kuwa na Hivyo vitu?

Kwanini huulizi KIA, ?

RAIS MAGUFULI JENGA UWANJA SIYO HUO TU, BALI TUJENGEE MWINGINE WILAYA YA NZEGA BOMBADIA ITUE NZEGA.

KODI TUNALIPA WOTE,

NZEGA TUMESAHAULIKA SANA
Atatujengea tu mkuu usiwe na shaka anatekeleza ilani ya chama chetu pendwa. Hawa wanabwabwaja ni wivu tu unawasumbua
 
Mimi nadhani swala kubwa hapa ni "upendeleo na ubaguzi" kwa misingi ya umaeneo, kabila au ukanda. Nimepitia majibu mengi humu kama si yote nimesikitika. Sijaona hata mmoja aliye tayari kukemea tabia hiyo. Ninacho ona ni makundi mawili:-
  1. Wanaofurahia hali hiyo,
  2. Wanao kerwa sasa na hali hiyo.
Wanaofurahiya hali hiyo wanaendeshwa na mambo mawili:-
  • Siasa (political affiliation) wapo katika upande unao tawala.
  • Ukanda; wale wanaodhani sasa wapo kwenye ukanda unaopendelewa, yaani nao zamu yao kutesa kwa zamu.
Wanaokerwa sasa na hali hiyo:-
  • Siasa (political affiliation), wako upande pinzani kisiasa.
  • Ukanda; wale wanaodhani sasa ukanda wao haupewi kipaumbele.
Kwa kweli wote hawa hawana tofauti, na maoni yao yatakuwa yakibadilika kutokana kwa wakati huo wanajiona katika fungu au kundi lipi!

Nashuhudia, humu wale wanaokerwa sasa hawako tayari kukiri na kukubali upendeleo waliopata na walau kusema neno moja la kuonesha japo lilifanyika kwao wakati huo halikuwa jambo jema; bali wanatetea na kutafuta uhalali wa kukemea hili la sasa.

Kadhalika, wale wanaofurahia, nao wapo tayari kulaani upendeleo uliofanyika maeneo yasiyo yao wakati huo (kama kweli ulikuwepo) laki hawawezi kukemea upendeleo unaosemwa sasa (kama kweli upo).

Wengine wapo tayari kukemea upendeleo kwa sababu unaonekana kufanywa (kama kweli upo) na kundi wasiloliunga mkono kisiasa, huku wengine wakiunga mkono kutokana upendeleo huo (kama kweli upo) unafanywa na kundi lao kisiasa.

Kwa hiyo wote hawana tofauti ni swala tuu la fursa ndo msingi wa kelele zao na si msukumo wa uadilifu. Niyo wale wasemao ukikipata tumia ukikikosa jutia; kutesa kwa zamu.

Dunstan Buberwa
 
Naona kama unashindana na watu hapa. Calm down! Better comprehension needs settled mind. Why all these typos and language misuse? Tulia tulia tulia!

Masahihisho: Such gross ethnocentric perspective by virtue of ones ones' percieved perceived "thickness" is probably culpable for such generalisations as like this, and I quote, " No single tribal grouping can claim to be developed plus educated to being above this problem" Ha ha ha ! You probably have the statistic .......... Very daft!

Ni matatizo ya siku nyingi mkuu. Hebu click thrds hizo chini.



Sahihisha na hii:
When someone is low, when they have no credibility, no honesty, no elevation of their private self, they seek to lower all others with their creation of a false reality in which they aren’t failing — everyone else is. In fact, the most common survival method of insecure narcissism is to flip undesirable traits in themselves onto those that created those feelings, then attach some other magnanimous and likely untrue quality to themselves.

Any location within URT is Tanzania. Hayo ya Uchaggani na Chato yatabaki kuwa parochial perception surported by other equally pathetic souls. Get this, TRIBALISM has no locus in here, be Chato or elsewhere. T
 
Umeeleza ukweli mtupu, na atakayekupinga ni Mbaguzi namba 1
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
 
Subili msumari wa moto uingie. Vumilia tu
Mkuu hakuna mtu anae kataa usipendelee kwenu! Mfano kama huyu mjomba hiyo garama ya ujenzi wa kiwanja cha ndege kwanini asinge wekeza zaidi kwenye elimu ili watu wake waelimike zaidi? Huko Kilimanjaro kunaendelea kwa sababu wazee waliwa somesha watoto wao.
 
Ukweli mchungu huu
Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.

Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.

Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.

Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.

Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!

Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
 
Back
Top Bottom