Tunalaani uwanja Chato, nchi hii upendeleo ulianza zamani Wachaga mkiongoza

Namm mwaka 2035 nikiupata urais najenga uwanja wa ndege kijijini kwetu.

Charity begins at home buana asikudanganye mtu hata ungekuwa wewe
 
Hopeless
 
Kilimanjaro big up wazee walikuwa na akili wakawekeza kwenye urithi wa elimu Hadi Leo mkoa wetu haukosekan big 3 ya kielimu,uchumi na maisha bora tangu Uhuru,hata Kama tulipendelewa tulipendelewa kiakili sio Kama ya sasa
 
Sasa kama Kilimanjaro mwaka 1980 walikuwa na nyumba zinazostahili kufungwa umeme ulitaka huo umeme upelekwe kwenye nyumba za tende?
 
Alichukua pesa iliyotengwa Kwa ajili ya kajunguti airport akaipeleka chato
Kama ni kulaani ubaguzi iwe kwa kila mtu anayetenda hilo.UNawasikia wenzetu wanavyotetea ubaguzi wao? Eti ulikuwa wa akili. Akili ya kibaguzi na upendeleo!
MUnajidai kutusahaulisha wakati tunawaona hadi kwenye makanisa bwana! Haaa! eti hata kanisani wamesoma sana? Kemeeeni tabia hii badala ya kuitetea na kuipamba kwa sababu za kizembe.
 
Naona unajifagilia. Ktk thrd hiyo hakuna palipoandikwa kwamba wachaga wameendelea.KWani kweli uonavyo wameendelea? Hilo ni jipya, hapa ni mambo ya upendeleo, siyo maendeleo.Upendeleo upo hata US, Upo Bosnia, Upo China kwa wa-Tibet kwa ujumla siyo mzuri. Naomba ukane kwamba pamoja na maendeleo yetu wachanga, tuna tabia mbaya ya kupendeleana!
 
Waasisi wa ukabila na upendeleo ni wachaga,hata mtoto mdogo ajua hivo,awamu hii wamekosa hiyo nafasi ndo maana wanaongoza kulalamika,hata baba wa taifa aliwasema,
Acha uongo km wachagga au wahaya wangeendekeza ukabila JF isingekuwepo mpaka maAdmini wangewekwa kikabila, kwanini usiwe mbunifu, Chato haitaikuta Kilimanjaro au Kagera hata kwa idadi ya maprof labda wauhamishe Ml Kilimanjaro
 
Sifa kuu ya binadam wote ni ubinafsi! Hapo kwenye ubinafsi akili ndiyo inatakiwa itumike, hata hivi leo mfano wewe ni bosi na kuna chance ya kazi imetokea na mdogo wako sifa anazo je hutamsaidia!?? Kuna methali moja ya kale inasema,

“huwezi kumpenda jirani yako kama wewe mwenyewe hujipendi”

Ukweli mtu aliye kulia kwenye umaskini ana ubinafsi ulio jaa roho mbaya. Kama Kweli huyu jamaa nikuwasaidia watu wake kwanini asiwekeze kwenye elimu?
Kutakua na faida gani kama garama kubwa zinatumika kujenga miradi mizuri wakati watumiaji ni mambu mbumbu? Hiyo miradi si itakuwa malisho ya punda! Tanzania ni yetu sote.
 

Soma hiyo injinia....!

Haya si maneno yangu ni ya Waziri Mpango:

''Serikali imesema kuwa Kigoma, Geita, Kagera, Singida na Mwanza ndiyo mikoa mitano maskini zaidi nchini, aidha mikoa ya Dar es salaam, Kilimajaro, Arusha, Pwani na Manyara ndiyo mikoa mitano yenye ahueni ya umaskini nchini.

Waziri Mpango alisema tathmini ya hali ya umaskini kimaeneo iliyofanyika kwa kutumia takwimu za sensa ya watu ya mwaka 2012 na utafiti wa hali ya kipato na matumizi katika kaya wa mwaka 2012,unaonyesha matokeo chanya na kutofautiana kimkoa na wilaya

Waziri Mpango alisema mkoa wa Kigoma unaongoza kwa kuwa na umaskini mkubwa wa 48.9% ukifuatiwa na Geita (43.7%), Kagera (39.3%), Singida (38.2%) na Mwanza (35.3%).

Kwa watu wenye akili sawasawa huu uwiano wa umaskini au ahueni una kasoro kubwa na hapa Serikali ya CCM ambayo imekuwa inaitawala nji hii inatakiwa ije na MAJIBU kwanini umaskini katika maeneo ambayo YANA UTAJIRI WA MADINI YA DHAHABU, ALMASI, UFUGAJI NA KILIMO...!!!

Nimekumba lile swali aliloulizwa Rais Mstahafu Kikwete akiwa ziarani Marekani kwamba: Mhe Rais nchi ya Tanzania ina UTAJIRI MKUBWA sana wa RASLIMALI kama MADINI, MBUGA ZA WANYAMA n.k lakini Watanzania ni maskini sana KWANINI?
Unajua Rais wa CCM alijibu nini? Soma hi
i:
Rais Magufuli: HATA MIMI SIJUI KWANINI NI MASKINI.
Kwa jibu hili la Rais Kikwete wakti huo Mtu yeyote mwenye akili ataelewa kwamba CHANZO CHA UMASKINI WA NJI HII NI SERIKALI YA CCM.
 
Kama imefanyika kwa sababu Wachaga walifanya siyo sababu nzuri sana
 
Hapa naona unahalalisha kuuza kitimoto msikitini.
Mkuu mifano aliyotoa mingi ni sahihi.Ya akina sita,Jk, MaPM waliopita nk.Ukiangalia kwa karibu utaona upendeleo haujaanza leo sema huko nyuma hakukua na mwamko mkubwa sana wa siasa kama zama hizi. Vijana wa saiz hawaelewi kuhusu Ofisi ya speaker Sita huko tabora, wamesahau CCM ilikua ya Jk na mke wake na wapambe wake.Wamesahau enzi hizo Rizi1 lilikua jina kubwa sana hapa Tz. Leo jina la Makonda wanaona Maajabu, uwanja wa chato wanaona kitu kigeni nk.UNAFKI NI KITU KIBAYA SANA.
 

Mpumbavu wa mwisho
 
Upendeleo ulikuwa mkubwa mno Kuanzia elinawinga alipokuwa waziri wa Elimu na Mtei akiwa gavana na waziri wa fedha.Scholarship nyingi elinawinga alikuwa akiwapa wachaga .Tofauti zilianzia hapo..Mitihani ya msingi ilikuwa ikifanywa kitaifa ,sekondari Kama wanahitajika wanafunzi elfu Moja Mitihani ina leak Kilimanjaro kwa kuwapa Mitihani unakuta mtoto kuanzia wa kwanza Hadi wa Mia tisa katoka Kilimanjaro. nyerere akashtuka ndio akaanzisha quarter system .Japo alishtuka Lakini alikuwa kachelewa wachaga wengi walishajaa high school na vyuo vikuu .Kushituka waliomaliza digrii wengi wachaga !!! Akawa ujanja Hana Ni kuwapa nafasi kubwa kila eneo .Walipopewa nafasi wakaanza kuajiriana kiupendeleo ndio kisa kukuta wamejazana maofisini .Magufuli kwa hili kajitahidi mno kuubomoa mfumo chaga maana ulinogewa Hadi ukona Sasa Ni haki yao ushike nchi kabisa kwa kuanzisha chadema ili ushike nchi.Ilibaki kidogo wachukue.CCM tukajua kuwa huo mfumo hautakiwi kushika nchi utageuza kichaga kuwa lugha ya taifa Magufuli kwa hili Mungu akubariki Mungu kakutumia Kama kiboko Cha kutandika wachaga kwa uonezi walioufanya miaka nenda Rudi kwa wasio wachaga.
 
Hili la ukabira kwa wachaga nakuunga mkono . Kuna shule moja ili kuwa inaurafiki na wazungu Wa kimarekani. Sasa hawa wamarekani kuna kipindi wanakuja kila mwaka na kujitolea kufundisha na vilevile walimu Wa hiyo shule nao wakawa wanapewa nafasi ya kwenda marekani . Ila kwakuwa mkuu wa shule alikuwa mchaga , bwanaweee kila nafasi anawapa wachaga wenzake wanaofundisha hapo shuleni.
 
Msuya alipopeleka umeme upareni kwingineko hakukuna na mahitaji ya umeme?.

Mrema alipopeleka madebe ya lami uchagani mikoa mingine haikuwa na mahitaji ya barabara.

Awamu hii kama ulaji hauyagusi maisha yako waache wengine wafurahie keki ya taifa.
 
Anacho fanya ni kama anapaka rangi upepo time will tell! Huyo mjomba wako ana roho mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…