Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,801
- 6,806
Ondokeni Dar mkawekeze Kagera mbona hamtokiWahaya wangekuwa wanapendelea kwao kama ulivyoainisha basi Bukoba ingekuwa Dubai ndogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ondokeni Dar mkawekeze Kagera mbona hamtokiWahaya wangekuwa wanapendelea kwao kama ulivyoainisha basi Bukoba ingekuwa Dubai ndogo.
Mkuu una akili kubwa sana. I salute you bro, SHIKAMOO..Uwanja wa ndege wa Chato wananchi wa kule hawana matumizi nao na wala hawauhitaji.
..katika mazingira hayo kwanini mnamlaumu JPM kuwa anapendelea wananchi wa Chato?
Hebu soma copy-paste hii ya mwanachama aliyewahi kuyasema haya siku za nyuma. Nimeifukuwa nikaiona, bahati mbaya ithrd imefungwa.
Quoting Mchunguzi, 2011
"Usiniponde mawe bure. Mwanakijiji alizungumzia ajira au nafasi za kiutawala serikalini. Hayo mambo ya kufungua bar au maduka siyo tatizo la nchi. Tunaelewa mambo kama hayo yanaweza kuwa yanatokana na tabia binafsi ya makabila. Ndo maana ma-housegirls wengi wanaonekana kutoka Iringa, Wapasua mbao wengi ni kutoka Njombe na Tabora (kuna misitu huko), Wavuvi ni wa Kigoma na Mwanza, nk. Siyo ujanja wa biashara. Mbona Uvuvi unalipa sana kule Mwanza lakini Wachagga wameshindwa? Siyo jadi. Sijachunguza wachagga kupenda biashara ya Bar ni kwa nini labda mambo ya mbege.
Kilichozungumziwa hapa ni ajira ndani ya serikali. Mimi nimeenda mbali zaidi kuonyesha kwamba kuna tabia za upendeleo wa kikabila nchi hii ndo maana nikaonyesha mambo ya NIC ya Mwaikambo, NBC ya Nsekela.
Hebu uliza Wachagga wenye umri mkubwa wakueleze walisoma wapi na kipindi gani. Utaambiwa nilisoma Tabora, Mtwara, n.k. wakati Elinawinga akiwa Waziri. Uliza makabila mengine kama yalipata nafasi ya kusoma Kilimanjaro wakati huo.
Wakati mwingine tabia hizi zinaanzia mbali ktk makuzi yetu. Mfano wangu mzuri umekuwa ni hayo unayoyaona Moshi kuwa ni mji wa biashara za wachagga tu na kuwa vigumu sana kwa makabila ya mikoa jirani wakati wachagga wanavumiliwa mikoa mingine.
Hivi karibuni nimesikia mji wa Mwanza umemchagua kijana wa kichagga kuwa mbunge, akimuondoa Antony Diallo(sp.?), msukuma. Mji wa mwanza hauna tofauti sana na Moshi na Arusha kwa ukubwa, lakini hebu fikiria kama Msukuma angegombea ubunge kupitia CHADEMA (Siyo CCM) pale mjini Moshi mambo yangekuwaje. Ni tabia ya makuzi ukizoea kusema ni sisi tu. Jamani hata Soda! Nilishafika Moshi miaka ya 2005, nambiwa hadi leo Coca cola ndo inayouzika tu kwa sababu mmiliki wa kampuni ni Mengi!
Kunakuwa na upendeleo kwa kisingizo cha kusoma sana wakati si kweli. Nawe kweli unaamini Wachagga wamesoma sana? Angalia sifa za vijana walioko TRA ambayo iliwahi kulalamikiwa bungeni. Wengi ni Form 4, 6 na walio juu wana vyeti vya CBE na IFM (vyuo vya mambo ya fedha). Kwa sifa hizo za elimu, tukikuta wachagga ni wengi tutasema ni kwa sababu wamesoma sana? Kumbuka miaka ya 1995, 96, 97 graduate walilalamika kwamba TRA haitaki wenye degree.
Unaweza ukatetea tabia hii wakati inapokupa nafasi, lakini mambo yakigeuka huwa na uchungu usiosemeka.
Tusikwepe ubaya unaotumika na kuweka sababu tamu, bandia. Tuiseme tu!"
Wachaga waliposhika nafasi waljiifanya wao ndio competent wakati kozi zote za ndani na nje wanapeana wao wanaacha makabila mengine wakijijenga wao tu ili wengine waonekane useless .Kufikia 2020 wachaga wengi walio post za juu wanaowabeba wachaga wenzao watakuwa wamestaafu mfumo bebana wa kichaga utakuwa umedhibitiwa kwa kiasi kikubwa Kuurudisha itakuwa Sio rahisi tenaAnacho fanya ni kama anapaka rangi upepo time will tell! Huyo mjomba wako ana roho mbaya.
Haya ndio madhara ya shule za kata, analysis ya hovyo kabisa with no facts. Tuanze na Elinawinga kuhamishia wachagga kigoma ili wakasome, swali aliwatafutia na nyumba za kuishi huko? Au ni kwamba hawa walikua wafanyabiashara wamesambaa nchi nzima kwa hiyo mtoto akifeli kilimanjaro anaenda kwa ndugu kigoma au iringa kusaka elimu? Enzi hizo kila mkoa watu walikua wanarudia shule baada ya kufeli darasa la saba na kutumia majina mengine au kwa kifupi kubadili majina, hilo lilikuwepo kwa wahaya, wanyiramba etc etc. ukijifunza ku analyze issues objectively utajua kujenga hoja. Maendeleo ya wachagga hayakuanza baada ya uhuru bali yalikuaepo kutokana na mfumo wa u chief ukiokuwepo na pia by then zao la kahawa kuwa na bei nzuri na pia wazungu kukaa mkoa wa kilimnjaro na kuenea kwa dini ya ukristu. Kuhusu umeme kwenda Mwanga nenda leo kaangalie huo umeme migombani upo wapi? Nyerere aliwahi kusema ukitaka kuona maendeleo nenda kilimanjaro, ni kwasababu walianza kuendelea toka enzi ya ukoloni, kina Mzee Mbowe ndio waliomchangia mwalimu nauli kwenda UN. Kina Japheti Kiliro ndio wazee wa kimeru wa kwanza kuanza kudai uhuru na kina Chief Mareale. Mnaweza wachukia wachaga lakini ukweli utabaki ni wachapakazi na watafutaji, mimi sio mchagga ila nawaona wanavyowaza kutafuta pesa.Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.
Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.
Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.
Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.
Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!
Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Hili la ukabira kwa wachaga nakuunga mkono . Kuna shule moja ili kuwa inaurafiki na wazungu Wa kimarekani. Sasa hawa wamarekani kuna kipindi wanakuja kila mwaka na kujitolea kufundisha na vilevile walimu Wa hiyo shule nao wakawa wanapewa nafasi ya kwenda marekani . Ila kwakuwa mkuu wa shule alikuwa mchaga , bwanaweee kila nafasi anawapa wachaga wenzake wanaofundisha hapo shuleni.
🤣🤣🤣 unandoto za kimaskini sana mkuu kwahiyo ndiyo unavyo wapoza wanao wavumilie hadi 2020 wachaga wengi watakuwa wamestaafu!!? Ajira zitapatikana kwa wingi! HahaahWachaga waliposhika nafasi waljiifanya wao ndio competent wakati kozi zote za ndani na nje wanapeana wao wanaacha makabila mengine wakijijenga wao tu ili wengine waonekane useless .Kufikia 2020 wachaga wengi walio post za juu wanaowabeba wachaga wenzao watakuwa wamestaafu mfumo bebana wa kichaga utakuwa umedhibitiwa kwa kiasi kikubwa Sana kuurudisha itakuwa Sio rahisi tena
Ana roho mbaya kisa kavunja mfumo chagaAnacho fanya ni kama anapaka rangi upepo time will tell! Huyo mjomba wako ana roho mbaya.
History ya miaka ya nyuma siijui. Hawa jamaa kumbe walikuwa wanabebwa sana kipindi cha nyuma. Mpaka leo wanabebana lakini wanaboa.Upendeleo ulikuwa mkubwa mno Kuanzia elinawinga alipokuwa waziri wa Elimu na Mtei akiwa gavana na waziri wa fedha.Scholarship nyingi elinawinga alikuwa akiwapa wachaga .Tofauti zilianzia hapo..Mitihani ya msingi ilikuwa ikifanywa kitaifa ,sekondari Kama wanahitajika wanafunzi elfu Moja Mitihani ina leak Kilimanjaro kwa kuwapa Mitihani unakuta mtoto kuanzia wa kwanza Hadi wa Mia tisa katoka Kilimanjaro. nyerere akashtuka ndio akaanzisha quarter system .Japo alishtuka Lakini alikuwa kachelewa wachaga wengi walishajaa high school na vyuo vikuu .Kushituka waliomaliza digrii wengi wachaga !!! Akawa ujanja Hana Ni kuwapa nafasi kubwa kila eneo .Walipopewa nafasi wakaanza kuajiriana kiupendeleo ndio kisa kukuta wamejazana maofisini .Magufuli kwa hili kajitahidi mno kuubomoa mfumo chaga maana ulinogewa Hadi ukona Sasa Ni haki yao ushike nchi kabisa kwa kuanzisha chadema ili ushike nchi.Ilibaki kidogo wachukue.CCM tukajua kuwa huo mfumo hautakiwi kushika nchi utageuza kichaga kuwa lugha ya taifa Magufulike kwa hili Mungu akubariki Mungu kakutumia Kama kiboko Cha kutandika kwa uonezi walioufanya miaka nenda Rudi kwa wasio wachaga.
Gombea urais na wewe ili ufanye hayo unayopendekezaMkuu hakuna mtu anae kataa usipendelee kwenu! Mfano kama huyu mjomba hiyo garama ya ujenzi wa kiwanja cha ndege kwanini asinge wekeza zaidi kwenye elimu ili watu wake waelimike zaidi? Huko Kilimanjaro kunaendelea kwa sababu wazee waliwa somesha watoto wao.
Kwa hiyo Magufuli anafanya ubaguzi kulipiza ubaguzi wa Wachagga?Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.
Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.
Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.
Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.
Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!
Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Rubbish!CCM tukajua kuwa huo mfumo hautakiwi kushika nchi utageuza kichaga kuwa lugha ya taifa Magufuli kwa hili Mungu akubariki Mungu kakutumia Kama kiboko Cha kutandika wachaga kwa uonezi walioufanya miaka nenda Rudi kwa wasio wachaga.
Mfano kama mfumo upi? Alijaribu kwenye biashara ameshindwa.Ana roho mbaya kisa kavunja mfumo chaga
Wachaga walipokuwa wanapendeleana maiofisini na tenda ilikuwa vizuri? Mkuki kwa nguruwe kwa mwanadamu mchungu.Magufuli usirudi nyuma kaza hapo haposio vizuri,unagawanya watanzania tuanze kuchukiana na kuoneana vijicho kwa upendeleo wa wazi wazi, ni sawa na baba kumpendelea mtoto mmoja,wengine wanaathirika na kumchukia tu sio huyo baba bali na huyo mtoto anayependelewa...yaani sio vizuri kabisaaa
Wewe ni mpuuzi kabids. Two wrongs do not add up to one right.Hapa JF, uependeleo na ubaguzi unalaaniwa kwa nguvu zote. Kwa vyama vya upinzani, uwanja wa Chato unatumika kama ishara ya upendeleo usiotakiwa. Hakika upendeleo ni mbaya. Tuambizane ukweli.
Ukimuacha Nyerere ktk ugawaji wa raslimali, waliofuata wote hata mawaziri wa Nyerere, walijaa upendeleo wa wazi wa makabila na dini zao. Kelele zetu kwa sasa ni kujisikia kwamba wewe haumo kwenye kundi linalopendelewa. Hatusemi yaliyofanyika kupendelea makabila yetu na dini zetu.
Elinawinga alihamisha vijana wa Mkoa wa Kilimanjaro hasa Wachaga na kuwapeleka mikoa hadi Kigoma na Tabora ili kukwepa quarter system iliyokuwa imeanzishwa na Nyerere. Wakatumia majina ya makanisani bila kuweka yale ya ukoo hadi walipomaliza shule. Leo hii hatusemi. Msuya akahamisha pesa za maendeleo na kuzipeleka kuweka umeme mkoa wa Kilimanjaro Mwanga, ikapata umeme hadi kwenye migomba na palachichi.
Wale wa kanda hiyo munafurahia hadi leo eti, mumeendelea kuliko wengine. kuweni mashujaa kulaani tabia hiyo, hata kama ni ya zamani.
Baada ya Nyerere, alikuja Mwinyi. Yeye aliegemea dini yake kwa nguvu zote maeneo ya wazi yalivamiwa kujenga misikiti na miradi ya mafuta, kwa wale wa dini yake. Zanzibar alijichukulia eneo kubwaaaa na watu wakadeka. Waliofuta ikawa kama kawa! Awamu ya 4 ndo kabisaaa! Ilikuwa Dar na Pwani basi! Familia yake na marafiki ndo ilikuwa inatafutiwa maisha bora. Hata chama ikawa ni ni yeye mtoto na mkewe!
Tusisahau akina Sumayi na mikakati ya uwanja wa Arusha. Mwandosya na Songwe, Pinda na mkoa wa katavi wenye population chini kabisa! Sitta na ofisi ya spika Urambo. Tunajuana kwa ubaguzi wetu. Na sasa kuna uhakika kwamba kuna makabila yanayoongoza kwa ubaguzi; Wachaga, wahehe, wahaya, wengine wanafuata.
Nigombee mara ngapi!?Gombea urais na wewe ili ufanye hayo unayopendekeza
Wachaga walipokuwa wanapendeleana maifisini na tenda ilikuwa vizuri? Mkuki kwa nguruwe kwa mwanadamu mchungu.Magufuli usirudi nyuma kaza hapo hapo