Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 125
Ndugu yangu watu hapa are discussing the "circumstances" how Sokoine died, because always there is no clear explnation; and those who know it were not given opportunity to explain. Note that he was a Prime Minister, na mie sielewi, kwa nini Prime Minister agongwe na gari na kufa kirahisi rahisi hivyo.
Vile vile nakushangaa sana unavyo-compare ati wanao-discuss hii thread na "fortune tellers/horoscope"; I always respect ideas, but I sometimes question on superstitious thinking; kwa mfano you're among the people who do not believe that Ballali is dead; you're more superstitious!!
IO
msamiati mpya kuhoji ni sawa na kuagua kwa wenzetu hawa. Kwa kuwa tu wanataka kila hoja walete wao tu wakileta wenzao lazima watafute vijineno vya kuiua hiyo hoja.