Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Kwa kweli ni bora alipotezwa, maana nyerere alishajua ameboronga, na alikuwa anatafuta pa kutokea, lakini hii kenge ikataka kuharibu mipango yake, akaona isiwe tabu
Kama vile karume alivyokuwa anapiga mikwara na kuvua koti, nyerere alikuwa ni mnyama
 
Kwa kweli ni bora alipotezwa, maana nyerere alishajua ameboronga, na alikuwa anatafuta pa kutokea, lakini hii kenge ikataka kuharibu mipango yake, akaona isiwe tabu
Kama vile karume alivyokuwa anapiga mikwara na kuvua koti, nyerere alikuwa ni mnyama
Muwe na umri wa kujua sio mambo ya kusikia uzushi
 
Muwe na umri wa kujua sio mambo ya kusikia uzushi
Nimeiona miaka ya 70 na 80
Huyo moringe nakumbuka alivyokuwa anazunguka nchi nzima kukamata watu wenye colgate za kenya
Kwa kweli alistahili tamati....
 
Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama vile jana. Mfano wake ni kumbukumbu ya Wamarekani waliposikia habari za kuuawa kwa Rais John F. Kennedy.

Kila mtu aliyekuwa mtu mzima wakati ule anakumbuka vizuri siku hiyo alikuwa wapi na alikuwa anafanya nini. Je pengo aliloliacha marehemu limeanza kuzibwa?

Je, kuna kiongozi yoyote ambaye anakaribia sifa na utendaji kazi wa Marehemu Sokoine? Leo tunamkumbuka Edward Sokoine.

Pata kidogo chini hapa toka kwa mkuu Kyoma:
Kwa mema yepi?

Mnapiga porojo tu, huna hata moja jema ulilolitaja la kumkumbuka.

Siasa za wajinga ndiyo waliwao tu, hakuna zaidi.

Watu wanajitengenezea matukio wapige pesa.
 
Habari wakuu Mimi Nina certificate ya laboratory technician pia Nina experience ya miaka 3 kuhusu laboratory technician, laboratory analysis, QC,QA pia blending oparetor au syrup oparetor pia naweza kufanya kazi popote pale penye maabara au panapozalishwa bidhaa .yeyote atakaye nisaidia kupata connection ya job nipo tayari kumpa % kadhaa katika mshahara kama shukurani
 
Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama vile jana. Mfano wake ni kumbukumbu ya Wamarekani waliposikia habari za kuuawa kwa Rais John F. Kennedy.

Kila mtu aliyekuwa mtu mzima wakati ule anakumbuka vizuri siku hiyo alikuwa wapi na alikuwa anafanya nini. Je pengo aliloliacha marehemu limeanza kuzibwa?

Je, kuna kiongozi yoyote ambaye anakaribia sifa na utendaji kazi wa Marehemu Sokoine? Leo tunamkumbuka Edward Sokoine.

Pata kidogo chini hapa toka kwa mkuu Kyoma:
Asa
Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama vile jana. Mfano wake ni kumbukumbu ya Wamarekani waliposikia habari za kuuawa kwa Rais John F. Kennedy.

Kila mtu aliyekuwa mtu mzima wakati ule anakumbuka vizuri siku hiyo alikuwa wapi na alikuwa anafanya nini. Je pengo aliloliacha marehemu limeanza kuzibwa?

Je, kuna kiongozi yoyote ambaye anakaribia sifa na utendaji kazi wa Marehemu Sokoine? Leo tunamkumbuka Edward Sokoine.

Pata kidogo chini hapa toka kwa mkuu Kyo

japokuwa sikuzaliwa wakati wa utawala wake na kifo chake. Anastahili pongezi mpaka hivi leo. Nifahari ya Africa na TANZANIA
 
Ndugu Mwanakijiji shukrani kwa kutuwekea Kumbukumbu ya Bwana Edward Moringe Sokoine,Ambao waliwahi kufanya kazi na huyu mtu watakubaliana nami kwamba alikuwa mtu wa watu na asiyependa makuu.

Siku ya Msiba wa Mzee Sokoine naikumbuka vizuri!,wengine tulikuwa ndio tunaanza utumishi serikalini, tulikuwa tupo Dodoma kwenye vikao vya Bunge ambapo Mzee Sokoine aliondoka mchana kuwahi majukumu mengine Dar, baada ya vikao vya Bunge.

Kwa maelezo ya wasaidizi wa Marehemu walipofika Dumila wilayani kilosa ndipo lilipotokea gari lililokuwa linaendeshwa na Mkimbizi Dumisani Dube na kuligonga gari la Marehemu.

Habari za ajali ya Waziri Mkuu zilifika Dodoma mapema,na watu wote waliondoka Dodoma kuwahi Morogoro ambako Marehemu Sokoine alikimbizwa kwenye Hospitali ya Mkoa.Nakumbuka majira ya saa mbili za Usiku aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro (Mama Anna Abdalah), akifuatana na Spika wa Bunge Chifu Sapi Mkwawa (marehemu) na Daktari wa Mkoa Dr Msimbe (Marehemu) walidokeza viongozi wa Mkoa kwamba PM amefariki.

Mwalimu JK alilihutubia Taifa usiku huo huo, na kutangaza wiki moja ya maombolezo! Jamani nakumbuka ilikuwa siku ya Hudhuni mkubwa, Nchi nzima ilizizima kwa kuondokewa na kipenzi cha watu.

Tumkumbuke Marehemu Sokoine kwa kuimarisha Uongozi Bora na kujali Matakwa ya wengi! Tufuate nyayo zake kwa kuwajibika kwa Dhati na kuwa Watumishi wa kweli wa Umma wa wa-Tanzania.
This means more
 
Back
Top Bottom