Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Tunamkumbuka Edward Sokoine - Mtu wa Watu

Hiyo autopsy aliifanya peke yake?
alikuwa amezingirwa na watu wa usalama na wasaidizi wa chumba cha operation na prof palangyo wa jeshi la polisi
lakini yeye ndiye fundi mkuu , prof pallangyo ni mtu wa ripoti kwa upande wa polisi kwa hiyo sidhani kama alihusika na chochote

siku zote ikiwa ni mtu mkubwa ni prof shaba pekee ndio muhusika, sijui sasa hivi mambo yanafanywaje
 
alikuwa amezingirwa na watu wa usalama na wasaidizi wa chumba cha operation na prof palangyo wa jeshi la polisi
lakini yeye ndiye fundi mkuu , prof pallangyo ni mtu wa ripoti kwa upande wa polisi kwa hiyo sidhani kama alihusika na chochote

siku zote ikiwa ni mtu mkubwa ni prof shaba pekee ndio muhusika, sijui sasa hivi mambo yanafanywaje


kwa hiyo kundi la watu wote waliomzunguka hawakujua kama kumekutwa risasi au wote walijua wakala njama kukaa kimya hadi "miaka michache" baadaye Shaba akiwa mlevi (which now seems to be he was sober!) ndiyo akafichua siri hiyo. Hawa uliowataja wote washakufa?
 
kwa hiyo kundi la watu wote waliomzunguka hawakujua kama kumekutwa risasi au wote walijua wakala njama kukaa kimya hadi "miaka michache" baadaye Shaba akiwa mlevi (which now seems to be he was sober!) ndiyo akafichua siri hiyo. Hawa uliowataja wote washakufa?

tundu la risasi sio risasi...
prof shaba ni mtu wa watu na huwa alikuwa akilewa huwa anatoboa siri yeyote ile hawezi kukaa na kitu moyoni
prof pallangyo kama hakujui hata kukusalimia hakusalimii, kwa hiyo kuanza kumuuliza sijui utamuanzia wapi na hata pombe huwa ananywea nyumbani na hawezi kuropoka hata siku moja
prof pallangyo yuko hai
acadoga chiledi alikuwa zimbabwe lakini sijui kama yuko hai contact za watoto wake nimepoteza
 
tundu la risasi sio risasi...
prof shaba ni mtu wa watu na huwa alikuwa akilewa huwa anatoboa siri yeyote ile hawezi kukaa na kitu moyoni
prof pallangyo kama hakujui hata kukusalimia hakusalimii, kwa hiyo kuanza kumuuliza sijui utamuanzia wapi na hata pombe huwa ananywea nyumbani na hawezi kuropoka hata siku moja
prof pallangyo yuko hai
acadoga chiledi alikuwa zimbabwe lakini sijui kama yuko hai contact za watoto wake nimepoteza
Chiledi alishafariki Zimbabwe.
 
Semi,
Sina uhakika sana ila kama sikosei Chiledi alifariki. Ila narudia tena, sina uhakika sana.

Nakuunga mkono juu ya ulevi wa Shaba. Kuna jamaa yangu mmoja ambaye sasa ni Dr, anasema kuna tukio moja lilitokea pale Dar kwenye njia panda moja kama nafikiri kabla hujafika ubalozi wa US wa zamani. Kuna jamaa sijui nani nimesahau jina, alikuwa anakunywa na akina Shaba siku ya mwaka mpya na asubuhi akasema lazima aende akaangalie mifugo nyumbani maana watoto wake watakuwa wamechoka na sherehe za mwaka mpya.

Nasikia jamaa wakamuomba sana abaki nao na akasema lazima aende. Baaya ya dakika kadhaa wakaja kuambiwa kuwa jamaa amekufa kwa ajali ya gari. Wao kama wanafunzi walienda kuangalia tatizo la jamaa kufa na mtafiti akiwa Shaba. Wanasema Shaba alikuwa akilia, kalewa na huku akiendelea kufanya utafiti sababu ya kifo chake.

Jamaa anasema mwili wake haukuwa na bleeding yoyote. Na kichwani alikuwa feet, kifuani na tumboni kila kitu safi. Mwisho ndiyo akaja kugundua kuwa kwenye paja, kuna mshipa wa damu ulipasuka na kufanya internal bleeding. Shaba akamaliza kazi na pombe zake kichwani na machozi machoni.

Mwanakijiji, nilikuwa sijui ni rahisi kiasi gani kwa nchi za kijasusi wa hali ya juu kama USA, UK, Izrael, Russia nk zinavyoweza kuja kwenye nchi zenye uzembe kama Tanzania na kumuuwa kiongozi yeyote mkubwa. Ila tangu nije nisome kuwa ZOMBE NDIYO ALIKUWA BOSS WA MISAFARA YA KIKWETE, Mhhhh!

Kama alikuwa anaweza kuuwa wafanya biashara na kuchukua pesa/dhahabu zao, hivi angelipewa kama dola milioni mbili, si angelimkaanga Kikwete? Mhhh, eti Zombe ndiyo boss wa misafara ya Rais. Hadi huwa nashindwa kuamini na kusema kweli tunaishi KiMungu Mungu.
 
Last edited:
tundu la risasi sio risasi...
prof shaba ni mtu wa watu na huwa alikuwa akilewa huwa anatoboa siri yeyote ile hawezi kukaa na kitu moyoni
prof pallangyo kama hakujui hata kukusalimia hakusalimii, kwa hiyo kuanza kumuuliza sijui utamuanzia wapi na hata pombe huwa ananywea nyumbani na hawezi kuropoka hata siku moja
prof pallangyo yuko hai
acadoga chiledi alikuwa zimbabwe lakini sijui kama yuko hai contact za watoto wake nimepoteza

...una maana "akilewa" zaidi ya alivyokuwa akilewa?

Baada ya ajali mwili uliletwa pale Hospitali ya Morogoro, kisha kusafirishwa kwa helicopter kuja Dar. Halafu, nakumbuka Dereva wa Sokoine alivunjika mkono kwa ajali ile, na mlinzi wake alitoka unscathed japo alikuwa chumba cha uangalizi pale ICU kwa siku mbili tatu.

ndio maana bado na mashaka na hiyo kauli kuwa Prof aliropokwa "risasi" tena kwenye bar ya 'Centre...'
 
- Sawa sawa je Kolimba alishastaafu naye? Halafu inawezekana vipi kwamba baada tu ya kumuua Sokoine hawa kuuua wengine maana huwezi kuuua mmoja tu ukaridhika au?

FMES!
FMES,
Mimi sijasema Sokoine aliuawa. Nimechangia tu kwenye tetesi na majina ya "watuhumiwa." Binafsi siamini aliuawa.
 
- Sawa sawa je Kolimba alishastaafu naye? Halafu inawezekana vipi kwamba baada tu ya kumuua Sokoine hawa kuuua wengine maana huwezi kuuua mmoja tu ukaridhika au?

FMES!
FMES,
Mimi sijasema Sokoine aliuawa. Nimechangia tu kwenye tetesi na majina ya "watuhumiwa." Binafsi siamini aliuawa.
 
Last edited:
FMES,
Mimi sijasema Sokoine aliuawa. Nimechangia tu kwenye tetesi na majina ya "watuhumiwa." Binafsi siamini aliuawa.

- Sawa sawa mkuu, siwakatalii wanaodai aliuliwa ila naomba watupe more dataz, kuliko walizozitoa so far!

- Otherwise tupo pamoja sana.

Respect.

FMES!
 
..zombe ni bingwa kwenye kazi aliyobobea...na nchi ili iitwe nchi watu kama zombe lazima wawepo!!!..... most of the assignments zombe did in the name of the republic.....hata kushitakiwa kwake ..imekuwa hasara kwa baadhi ya idara za serikali kwa sababu mambo yao ya siri kubwa yamekuwa wazi mahakamani....na pia imetishia baadhi ya agents kwa kuogopa kuwa wanaweza kushitakiwa kwa kutekeleza amri "halali" za wakubwa na baadaye wakageukwa....

need to read a book ," WHEN THE STATE KILLS...""
 
..zombe ni bingwa kwenye kazi aliyobobea...na nchi ili iitwe nchi watu kama zombe lazima wawepo!!!..... most of the assignments zombe did in the name of the republic.....hata kushitakiwa kwake ..imekuwa hasara kwa baadhi ya idara za serikali kwa sababu mambo yao ya siri kubwa yamekuwa wazi mahakamani....na pia imetishia baadhi ya agents kwa kuogopa kuwa wanaweza kushitakiwa kwa kutekeleza amri "halali" za wakubwa na baadaye wakageukwa....

need to read a book ," WHEN THE STATE KILLS...""


U mean " What do you do when the state kills" by Issa shivji?
 
..zombe ni bingwa kwenye kazi aliyobobea...na nchi ili iitwe nchi watu kama zombe lazima wawepo!!!..... most of the assignments zombe did in the name of the republic.....hata kushitakiwa kwake ..imekuwa hasara kwa baadhi ya idara za serikali kwa sababu mambo yao ya siri kubwa yamekuwa wazi mahakamani....na pia imetishia baadhi ya agents kwa kuogopa kuwa wanaweza kushitakiwa kwa kutekeleza amri "halali" za wakubwa na baadaye wakageukwa....

need to read a book ," WHEN THE STATE KILLS...""

PM,
Hapa sijakuelewa. Una maana hao wafanya biashara walikuwa wanauawa na mali zao zinachukuliwa na nchi? Yaani wameshindwa kutafuta sehemu za income ya kueleweka hadi waje waanze kufanya ujinga wa namna hiyo?

Nafahamu kuwa hata CIA walishiriki kuingiza COCA (Unga) na kuuza ndani ya USA na pesa zilizopatikana walizitumia kufanya ujasusi wao nchi mbalimbali duniani. Ila hapa tunaongelea mamilioni.

Kama Zombe alikuwa ni Terminator wa Serikali, hilo ningelikubali na hata mie nasema lazima liwepo ili kuwadhibiti watu kama EL, RA, Manji nk ambao inafika point inaonekana kumshitaki huwezi na jamaa anaendelea kuihujumu nchi.

Mtu kama Karamage, BWM, Mramba nk utawafanya nini? Ili iwe fundisho kwa wengine, hapo ndipo anakuja Zombe na timu yake ya Chinjachinja. Ila sasa huyu Zombe inaonekana aliacha kufanya jazi za Serikali na akaamua kuwa na kamradi kake pembeni ka kuuwa. Na serikali haikuwa na jinsi ya kumthibiti.

Hii naifahamu sana kwani nchi zote za Eastern Europe, ukoministi ulipoanguka, hawa jamaa wa KGB walifukuzwa kazi. Wengi wao walikuwa wauwaji na makatili ya kutupwa. Kwa kutumia uwezo huo, walianza kuwa majambazi ya hali ya juu na kuanza kujilundikia pesa kibao. Wengi wao ambao walikuwa na akili na kujua lini waache, sasa hivi na matajiri wa kutupwa na ndiyo maboss wenyewe wa Russia/Estern Europe.

Labda nimalizie kwa kukuomba ufafanue zaidi hiyo ya Zombe na mauwaji kwa jina la serikali.
 
PM,


Labda nimalizie kwa kukuomba ufafanue zaidi hiyo ya Zombe na mauwaji kwa jina la serikali.

...zombe kama mtesaji au terminator proffessional ...yeye ndie alihusika na kuwahoji watuhumiwa wote sugu ..unaowafahamu wewe...na ninaposema aliijuwa kazi yake..ni kweli kwani majambazi wengi ....walikuwa wakiteswa na askari wa chini na wakishindikaana ...basi huambiwa sasa wanapelekwa kwa bosi ..wengi walikuwa kuliko wafikishwe kwa zombe..bora waseme ukweli wao wote...aliogopeka sana!!!

ninaposema kuwa siri za serikali zimekuwa hadharani..ni kuwa wananchi wa kawaida hawakutakiwa kujuwa yote waliyokwisha juwa kwa zombe kushitakiwa.....kwani ...kama mtakumbuka ...baada ya zombe kufikishwa mahakamani ....wahalifu wengi walikuwa wakiwaambia mahakimu kuwa waliteswa na zombe......nadhani kwenye desciplinary codes za jeshi au vyombo vya usalama kuna namna ya ku deal na afisa aliyekosea kama zombe ..bila kumfikisha mahakamani....kwani ....mambo yaliyowekwa wazi baada ya hapo ...imeonesha kuwa serikali ni wavinjaji wa haki za binadamu......,mambo ya serikali ni mazito na yakiwa wazi yote ni tabu.....angalia tabu ambayo marekani inapata kuweka hali sawa baada ya mateso kwenye magereza yake kama GUETAMANO na IRAQ kuwekwa hadharani.....

kitabu ninachokiongelea sio hicho cha issa shivji.......ila kwa kifupi kinaongelea umuhimu wa ujasusi kwa serikali yeyote......na ni wakati gani inapobidi kuchukuwa hatua za aina hiyo....
 
Sikonge said:
Wanasema Shaba alikuwa akilia, kalewa na huku akiendelea kufanya utafiti sababu ya kifo chake. Jamaa anasema mwili wake haukuwa na bleeding yoyote. Na kichwani alikuwa feet, kifuani na tumboni kila kitu safi. Mwisho ndiyo akaja kugundua kuwa kwenye paja, kuna mshipa wa damu ulipasuka na kufanya internal bleeding. Shaba akamaliza kazi na pombe zake kichwani na machozi machoni.

..katika nchi za wenzetu ukiwa INTOXICATED hutakiwi kabisa kuonekana eneo la kazi.

..sasa huyu mwenzetu kalewa chakari anapewa ruhusa ya kufanya uchunguzi wa kifo cha mtu.

..inasikitisha lakini, MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO!!!
 
..katika nchi za wenzetu ukiwa INTOXICATED hutakiwi kabisa kuonekana eneo la kazi.

..sasa huyu mwenzetu kalewa chakari anapewa ruhusa ya kufanya uchunguzi wa kifo cha mtu.

..inasikitisha lakini, MIAFRIKA NDIVYO TULIVYO!!!

JokaKuu,

Siyo wee peke yako umekaa nchi za wenzetu. Juzijuzi nilikuwa nimetembelewa na jamaa yangu anayeishi nchi za watu na yeye ni Dr. na tukaanza kuongelea juu ya ulevi wa Shaba. Akasema kuwa hata yeye sehemu anayofanyia kazi, yule Boss wa hiyo sehemu ya maiti, siku zote akimsogelea huwa anaisikia harufu ya Pombe.
Shaba hakuwa anatibu watu ila kuchunguza kisa kilichosababisha kifo. Hivyo hakuna pressure kuwa atakosea mtu afe mara ya pili au afufuke. Na maadamu alikuwa akifanya kazi yake bila shida bila kujali kalewa namna gani, walikuwa wanamuelewa mazingira ya kazi anayofanya na kwamba kama una akili timamu, huwezi kudumu pale, labda wee ni Zombe.

Pili, lazima ujuwe kuwa Shaba na pombe zake, kafanya kazi hadi nje ya Tanzania. Alikuwa akikaribishwa kwenye mikutano na semina nyingi sana miaka hiyo. Ingelikuwa ni Dr. wa kawaida ni kweli kabisa kwamba wakinusa pombe tu, na hii bila ya kujali wewe ni ni Dr au laa, so longer uko kazini, wanakuitia Polisi na unapimwa palepale kama umelewa.

Hivyo kusema Miafrika hapa, unapatumia sipo kwani una uhakika sehemu za maiti, kwa mataifa mengine hao wahudumu wao huwa wako katika hali gani? Je umeshatembelea mataifa yote sehemu za maiti au unakisia tu? Hebu ondoeni hizo Complex zenu. Wazungu nao kuna wajinga wengi, masikini, ombaomba, waosha maiti, vibaka, walevi, homeless nk. Kama kuiba na wao wanaiba na tena wanaiba hasa. Sasa hiyo tofauti kubwa ya kwao na sisi iko wapi? Wao kinawasaidia tu kwamba wamepitia mengi hadi ikabidi waanze kuweka sheria kali sana ili viongozi wao wasiwe vibaka, maana wangelikuwa na sheria kama sisi, basi wangelikomba hadi.......

Hebu angalia huyu Rais wa RUSSIA, nchi ambayo wakati huo ilikuwa na silaha kubwa za kutisha na huku ikiwa nchi pekee iliyojenga Space Station (MIR) akifanya vitu vyake na huku kalewa. NA Russia hiyooo, ipo tu inadunda.

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=R-z9wfueMAw&feature=related"]YouTube - Boris Yeltsin's finest moments[/ame]
 
Last edited:
pa kuanzia labda tungejua ni nani aliendesha gari ya marehemu siku ya ajali, ninachojuwa mimi ajaendesha dereva wake wa siku zote, dereva wake alipanda ndege hile iliyokuja, labda tungeanzia hapo!
 
prof shaba is talented ...na anaheshimika sana pamoja na pombe zake,nakumbuka kukaa na proffesors wenzake na yeye alikuwapo....yeye mara nyingi akiwa anakunywa anakuwa kama amelala wakati wote [kumbe anasikia]...wale maprof wakaaza kubishana kwenye baadhi ya procedured kama ilivyo kawaida kwa wasomi wa fani wanapokaa sehemu moja.....nadhani kuna sehemu wakakosea ....akagutuka ..akawaambia ...you are all wrong!![kwa sauti ya kilevi] ...akasimama na kuanza kushusha nondo kwa more than one hour bila kukaa wala ku sip bear yake ya safari...[wote walikaa kimya wanamuheshimu na kumuamini...wengine wakawa wana take notes na kuuliza maswali..,anajibu]..alipomaliza akakaa chini akabugia gilasi yake ya safari ...akarudi kusinzia

nadhani bado anakaa pale garden street na kunywa baa za jirani...mara zote usafiri wake ni mguu tu ...hata akitoka kunywa feri kwa masela anakatisha saa nane za usiku na hawamfanyi kitu....ukijaribu utakoma!...wakati mwanaye dr HARMESH amefariki marekani [alikuwa pathologist kama yeye]....alionesha kuchanganyikiwa kidogo.....lakini naona ameikubali hali ...na anaendelea na maisha yake kama kawaida!
 
Nilifikiri Profesa shaba ameshafariki? naomba mnisahihishe.. Maana kama yupo hai basi naona tunaandikia mate!

yupo na anadunda kama chuma cha pua....muda wote anapata safari bear yake pale IFM,GEORGES GRILL,FERY au JOLY mara chache....

sidhani kama anaweza kutoa taarifa kamili....nadhani anajuwa kikomo cha taarifa anazoweza kuongea .....na mara nyingi hawezi kutoa kauli za kueleweka...nadhani ukiachia usalama hata kiapo chake hakimruhusu na analijuwa hilo......wengi wanaomuuliza kwa utani ..huishia kutoa kauli za kilevi tu zisizotoa mwelekeo....na mwisho wa siku zitaonekana za kilevi....na yeye analijuwa hilo!
 
Back
Top Bottom