Tunamlinda Mzee. Mali ya Baba yako ni Haki yako ya Msingi

Tunamlinda Mzee. Mali ya Baba yako ni Haki yako ya Msingi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hakuna haja ya kuuma uma maneno. Watu wana ujinga eti usitegemee urithi au usipigie hesabu Urithi. Ukiona hivyo ujue hawana cha kurithi

Mzee aliamua yeye na mama kunizaa. Sikumwomba. So alikuwa amejipanga. Na hakupaswa anizae nije pata shida. Sasa amepata mali eti nisipigie hesabu. Nyie mna akili kweli?

Kesho na keshokutwa kaje kabinti eti ndo kaje kula mali zetu na pension. Hilo wasahau kabisa. Na mzee tumemweka kikao.

Alianza kujifanya mkali tumemwambia kile kibinti ambacho kipo ofisini miaka ya 30s aache kabisa kukizoea. Tutawapoteza wote wawili.

Kile ki secretary jukumu la kukipelekea ujumbe alipewa baba mdogo wetu mmoja kichaa cha dog. Lile taizi alilofanya tu yule bint alimtumia mzee simu kuwa asithubutu hata kukosea kutuma msg. Hataki kufa mapema.

Yule bamdogo kichaa cha dog kalelewa na mama anampenda na kumheshimu sana. Ni shemeji yake but humwita mama. Amejengewa na nyumba vyumba viwili na sebule na mama. Yeye mibangi tu ilimsumbua kipindi flani.

So alienda onana na yule secretary akampiga bit taratibu akatoka kisu akaanza kuukata kata mkono wake huku analia. Yule secretary alikimbia.alipoona introduction tu jamaa anajikata kata mwenyewe huku akilia kwa uchungu.

Tukarudi kwa mzee kikaoni tukamwambia akitaka atengwe na familia na afe kwa kihoro ajaribu tu ujinga...ajaribu tu. Hapo mama,baba mdogo na shangazi ndo wanachimba biti. Mimi nmenyamaza nafikiria tu nipate mshiko wangu nikanunue Vanguard. So sitaki kumuudhi mchinja mbwa.

Baadaye mzee akaniita akiwa anaonesha kusikitika sana kuwa waemdhalilisha. Ila mimi nlimheshimu sikutia neno. Wadau siku si nyingi mtaniona kwenye jukwaa la magari nami naelezea elezea gari langu.

Na jukwaa la mahabi kule kwenye kula tunda kimasikhara huwa sina la kusema lakini sasa hapo nyuzi zitapishana sana. Nitawagegeda kinyama....hapa natabasamu tu...naona maisha ndo haya.

Sasa nina muda nipo home sijaenda kwa sister na mume wake nao wanabore kila mara ugomvi hasa ubabe wa sister. So nipo home. Kama mnataka niwatengenezee CV za kufa mtu mnione. Mimi ajira kwa sasa ....namsubiria tu mzee...na akidanja ndo kabisa mambo yanakuwa kitonga sana. Ana sukari. Nyumba 3 na miradi kibao. Mali za mzee ni za mke na watoto. Asikudanganye mtu ukaacha mali zenu.
 
Uuuuuewwwiii kaka mtegemea Cha nduguye hufa masikini nimekopi kawimbo ka jamaa mmoja wanamwitaga Rashid mwezingo na kabend kanaitwa tam tam
 
Haikatazwi mtoto kupewa urithi tatizo ni mtoto kusubiri aje kuishi kwa mali za urithi wakati mwengine kuomba hata mzazi aliyezitafuta hizo mali afe ili wastarehe mapema.

Na ukiona mtu anahangaika sana na vitu vya urithi ungepata uwezo wa kui-hack akili yake ukachunguza anachowaza 99.01 percent utakuta anawaza ”mbona huyu mzee hafi?”,mleta mada toka katafute mali zako hizo za urithi zifanye za ziada hii itakujengea hata heshima kwenye jamii yako.
 
Daaah hii ni balaa, hata makwetu kuna vya kutosha ila nakomaa kivyangu home tumeondoka miaka 15+ back , hayo kama yapo yapo tu, ukiwa na shida nadhani utasaidiwa ila sio kukomaa sanaaaa na hayo utaishia kumwekea mzee sumu afe , ndo laana zinapoanziaga hapo
 
Amuua tu kumuua uchukue chako mapema
Je wewe unawaandalia nini wanao?
Urithi huu huu wa kwako?
Nisamehe ni uamuzi wako
 
Ha ha ha ha ww nazi mbatata inabidi uvunje kisawa sawa wahuni tukukamie tukuvunjie yAi
 
Hakuna haja ya kuuma uma maneno. Watu wana ujinga eti usitegemee urithi au usipigie hesabu Urithi. Ukiona hivyo ujue hawana cha kurithi

Mzee aliamua yeye na mama kunizaa. Sikumwomba. So alikuwa amejipanga. Na hakupaswa anizae nije pata shida. Sasa amepata mali eti nisipigie hesabu. Nyie mna akili kweli?

Kesho na keshokutwa kaje kabinti eti ndo kaje kula mali zetu na pension. Hilo wasahau kabisa. Na mzee tumemweka kikao.

Alianza kujifanya mkali tumemwambia kile kibinti ambacho kipo ofisini miaka ya 30s aache kabisa kukizoea. Tutawapoteza wote wawili.

Kile ki secretary jukumu la kukipelekea ujumbe alipewa baba mdogo wetu mmoja kichaa cha dog. Lile taizi alilofanya tu yule bint alimtumia mzee simu kuwa asithubutu hata kukosea kutuma msg. Hataki kufa mapema.

Yule bamdogo kichaa cha dog kalelewa na mama anampenda na kumheshimu sana. Ni shemeji yake but humwita mama. Amejengewa na nyumba vyumba viwili na sebule na mama. Yeye mibangi tu ilimsumbua kipindi flani.

So alienda onana na yule secretary akampiga bit taratibu akatoka kisu akaanza kuukata kata mkono wake huku analia. Yule secretary alikimbia.alipoona introduction tu jamaa anajikata kata mwenyewe huku akilia kwa uchungu.

Tukarudi kwa mzee kikaoni tukamwambia akitaka atengwe na familia na afe kwa kihoro ajaribu tu ujinga...ajaribu tu. Hapo mama,baba mdogo na shangazi ndo wanachimba biti. Mimi nmenyamaza nafikiria tu nipate mshiko wangu nikanunue Vanguard. So sitaki kumuudhi mchinja mbwa.

Baadaye mzee akaniita akiwa anaonesha kusikitika sana kuwa waemdhalilisha. Ila mimi nlimheshimu sikutia neno. Wadau siku si nyingi mtaniona kwenye jukwaa la magari nami naelezea elezea gari langu.

Na jukwaa la mahabi kule kwenye kula tunda kimasikhara huwa sina la kusema lakini sasa hapo nyuzi zitapishana sana. Nitawagegeda kinyama....hapa natabasamu tu...naona maisha ndo haya.

Sasa nina muda nipo home sijaenda kwa sister na mume wake nao wanabore kila mara ugomvi hasa ubabe wa sister. So nipo home. Kama mnataka niwatengenezee CV za kufa mtu mnione. Mimi ajira kwa sasa ....namsubiria tu mzee...na akidanja ndo kabisa mambo yanakuwa kitonga sana. Ana sukari. Nyumba 3 na miradi kibao. Mali za mzee ni za mke na watoto. Asikudanganye mtu ukaacha mali zenu.
Pole sana. Mara unakaa kusubiri baba afe halafu unakufa wewe unamwacha baba. Kifo hakitabiriki. Sio lazima mgonjwa afe. Huwa wanakufa wazima kabisa na kuwaacha wagonjwa wa muda mrefu
 
Kwa vurugu hii ndo maana kikokotoo kikarekebishwa kutoka 50:50 kuwa 33:67. No wonder wale waliokipitisha wamekutana na kadhia nyingi kama hizi wakaona bora hela zifie huko kwenye mifuko wakaamua kupitisha hiyo.

Upuuzi kabisa
 
Pole sana. Mara unakaa kusubiri baba afe halafu unakufa wewe unamwacha baba. Kifo hakitabiriki. Sio lazima mgonjwa afe. Huwa wanakufa wazima kabisa na kuwaacha wagonjwa wa muda mrefu
Na huu ni uzi wake wa pili naona anajifariji eti mzee wake ana ugonjwa wa sukari atakufa mapema. Huyu somo ni mpuuzi kweli.
 
Back
Top Bottom