Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Mh. RAIS SAMIA, ni Rais mpenda haki na mpenda ustawi wa jamii kwa ujumla, ameleta neema nchini ndo maana kila mtu anataka kumlaki pale anapotembelewa na Mh. Rais Samia.
Haya hapo chini ni baadhi ya maendeleo ambayo ninayashuhudia hapa kifupi kwasabu nayaona yanafanyika nchini Mimi mwenyewe siyo kusoma pahala ndo maana mengine baadhi utaoana sijayaorodhesha, nitayaweka ki Idara kama ifuatavyo;
ELIMU
-Elimu bure ilikuwa mwisho kidatocha nne Sasa ni mpaka chuo kikuu.
-boom ilikuwa elfu 10 per day.
-Ameondoa VRF ya HESLB
-Mtaala mpya amekukazia mpaka Sasa inatekelezwa
-vitabu mashuleni ni ratio ya 1:1
-amejenga shule za science kubwa kila mkoa mojawapo imezinduliwa hapa Rukwa juzi
-Ameanzia Samia scholarship ambapo maelfu kwa maelfu ya waTZ wanapata ufadhiri.
KILIMO
-Anapoingia madarakani mbolea ya ruzuku haikuwepo Sasa mbolea ipo na haina msimu hata Sasa naandika huku pembeni Pana mbolea bei dogo below 40Tsh.
-Amewekeza tafiti nyingi kwenye kilimo
-Amefanya na kuvutia watu wajihusishe na kilimo.
UTUMISHI
-Mh. Rais ametibu kilio Cha muda mrefu Cha Watumishi wa umma
-Amelipa arreas na malimbikizo yote ya Watumishi wa umma
-Anapandisha madaraja kwa haraka Watumishi tunajionea wenyewe
-Ameanzisha mfumo wa kiutumishi kwa lengo la kurahisisha stahiki za mtumishi kwa urahisi na bila urasim wowote, Kama vile uhamisho, madaraja, likizo nk.
SIASA
Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan, amefanya makubwa sana kwenye siasa Kama ifuatavyo;
-Ameruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa bila kikwazo chochote
-Ameruhusu maandamano
-Amewalipa chadema bil. 2.73 ruzuku walizokuwa wamegomea hapo awali Sasa wanakula hela
-Amekuza diplomasia na mataifa mengine duniani, kwasasa Tz inapaa kwa mazuri, ulimwengu unataman kuja Tz
NB; Nimeandika machache lakini nnayomengi yakushuhudia bado sija gusa Afya, Utalii, Madini, Mapato, biashara, barabara, miradi ya kimkakati,
Nitaendelea next time, kwahyo waTZ tunapendezwa Sana na utendaji kazi unaofanywa na Mh Rais kwasababu ni Rais wa HAKI anajari HAKI
KAZI INAENDELEA KWA KASI
Haya hapo chini ni baadhi ya maendeleo ambayo ninayashuhudia hapa kifupi kwasabu nayaona yanafanyika nchini Mimi mwenyewe siyo kusoma pahala ndo maana mengine baadhi utaoana sijayaorodhesha, nitayaweka ki Idara kama ifuatavyo;
ELIMU
-Elimu bure ilikuwa mwisho kidatocha nne Sasa ni mpaka chuo kikuu.
-boom ilikuwa elfu 10 per day.
-Ameondoa VRF ya HESLB
-Mtaala mpya amekukazia mpaka Sasa inatekelezwa
-vitabu mashuleni ni ratio ya 1:1
-amejenga shule za science kubwa kila mkoa mojawapo imezinduliwa hapa Rukwa juzi
-Ameanzia Samia scholarship ambapo maelfu kwa maelfu ya waTZ wanapata ufadhiri.
KILIMO
-Anapoingia madarakani mbolea ya ruzuku haikuwepo Sasa mbolea ipo na haina msimu hata Sasa naandika huku pembeni Pana mbolea bei dogo below 40Tsh.
-Amewekeza tafiti nyingi kwenye kilimo
-Amefanya na kuvutia watu wajihusishe na kilimo.
UTUMISHI
-Mh. Rais ametibu kilio Cha muda mrefu Cha Watumishi wa umma
-Amelipa arreas na malimbikizo yote ya Watumishi wa umma
-Anapandisha madaraja kwa haraka Watumishi tunajionea wenyewe
-Ameanzisha mfumo wa kiutumishi kwa lengo la kurahisisha stahiki za mtumishi kwa urahisi na bila urasim wowote, Kama vile uhamisho, madaraja, likizo nk.
SIASA
Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan, amefanya makubwa sana kwenye siasa Kama ifuatavyo;
-Ameruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa bila kikwazo chochote
-Ameruhusu maandamano
-Amewalipa chadema bil. 2.73 ruzuku walizokuwa wamegomea hapo awali Sasa wanakula hela
-Amekuza diplomasia na mataifa mengine duniani, kwasasa Tz inapaa kwa mazuri, ulimwengu unataman kuja Tz
NB; Nimeandika machache lakini nnayomengi yakushuhudia bado sija gusa Afya, Utalii, Madini, Mapato, biashara, barabara, miradi ya kimkakati,
Nitaendelea next time, kwahyo waTZ tunapendezwa Sana na utendaji kazi unaofanywa na Mh Rais kwasababu ni Rais wa HAKI anajari HAKI
KAZI INAENDELEA KWA KASI