Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka yako ana makamasi ndani ya fuvu badala ya ubongo.Kiuhalisia hawezi kumdharau mke wake kiasi kile.
Watu wengi sana(wanaume na hata wanawake) wana watoto nje ya ndoa.
Lakini wanatunza siri isijulikane hadi wamekuwa watu wazima.
Hii kumuonyesha mke wako kuwa wewe ni kijgoo na umezaa nje, na huna la kujutia, hilo linamweka kaka yako katika mtego alioingia mwenyewe.
Mwanamke kurudi kwake atafanyiwa hivyo hivyo tena.
Hivi watu waliosalitiana wakirudiana huwa wanadaganya nini tena wakiwa faragha?Huyo ex wife akikubali kurudiana nae atakua mjinga sana🤨
aisee mimi mtu akishanisaliti kila atakachokua anaongea naona ananichora tu,,yani sijui aniambie nini nimwelewe 🤨🤨Hivi watu waliosalitiana wakirudiana huwa wanadaganya nini tena wakiwa faragha?
Mimi nikihisi mwanamke ana kinyongo na mimi siwezi kulala naye chumbani, kula chakula chake n.k kwa kifupi huyo hanioni tena. Sijui labda niko na misamiati michache ya faragha.aisee mimi mtu akishanisaliti kila atakachokua anaongea naona ananichora tu,,yani sijui aniambie nini nimwelewe 🤨🤨
yeah ni heri kuachana kila mtu afanye maisha yake kuliko kuja kuuanaMimi nikihisi mwanamke ana kinyongo na mimi siwezi kulala naye chumbani, kula chakula chake n.k kwa kifupi huyo hanioni tena. Sijui labda niko na misamiati michache ya faragha.
Anaendesha V8 sasahivi. Amejenga mbweni na anaduka kubwa la vinywaji, na anakwenda China kuchukua bidhaa sometimes anaenda na watoto wake yupo fresh kinoma.Huyo mke labda awe mtu wa njaa njaa asiye na courage ya kuamini kujitafutia riziki mwenyewe kwa jasho lake ndipo atakubali kurejea lakini kama si mtu wa njaa na anaweza kujitafutia riziki halali kwa jasho lake kamwe hawezi kurejea nyuma [emoji108]