Tunamshukuru Wema Sepetu Kujisifia kuwa sasa kaacha Kunywa Pombe, ila mkumbusheni hajatuambia kuhusu Bangi kama nayo kaiacha au hatoiacha Abadan?

hamna noma shangazi ntafanya hivyo
 
Koma kuniita shangazi, mimi siyo shangazi yako. Au unataka kula ban ya name calling?
Wee ostadhat na aya zipo kichwani sasa yanini umkasirikie binadamu na uislam ni aman na upendo.

mtume MUHAMMAD swallah allaahu alayhi wa aalihi wa sallam amefundisha upendo na amani.

Basi na Amani iwe juu yako awe Bi Faiza.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aaaaaah qumamaqe walay. Nimeku salute bi mkubwa[emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544]
 
 
vipi kusagana pia kaacha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…