Na wewe ni mtoto wa "singo mama"?Bora umtukane mtu direct kuliko haya maneno yanayoumiza.. ππ
hamna noma shangazi ntafanya hivyoNani shangazi yako? Hunijuwi sikujuwi.
Shangazi yako ni yule aliyezaliwa tumbo moja na baba'ko, sifahamu hata kama huyo baba'ko unamfahamu, kwa lugha yako unaonesha ni mtoto wa singo mama. Kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie baba'ko" matokeo, kila mwanamke duniani unamhisi kuwa ni shangazi yako.
Kamuulize vizuri mama'ko kuhusu shangazi yako ni yupi.
Koma kuniita shangazi, mimi siyo shangazi yako. Au unataka kula ban ya name calling?hamna noma shangazi ntafanya hivyo
Wee ostadhat na aya zipo kichwani sasa yanini umkasirikie binadamu na uislam ni aman na upendo.Koma kuniita shangazi, mimi siyo shangazi yako. Au unataka kula ban ya name calling?
shangazi kavurugwa na kichapo cha israel dhidi ya hamasShangazi yetu huyo siunajua wakianzaga kuzeeka hawa viumbe.
Hawataki kujiona umri unakwenda hasa wakiwa kwenye mitandao ya kijamii.
Singo babaNa wewe ni mtoto wa "singo mama"?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aaaaaah qumamaqe walay. Nimeku salute bi mkubwa[emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544]Nani shangazi yako? Hunijuwi sikujuwi.
Shangazi yako ni yule aliyezaliwa tumbo moja na baba'ko, sifahamu hata kama huyo baba'ko unamfahamu, kwa lugha yako unaonesha ni mtoto wa singo mama. Kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie baba'ko" matokeo, kila mwanamke duniani unamhisi kuwa ni shangazi yako.
Kamuulize vizuri mama'ko kuhusu shangazi yako ni yupi.
Ameyatafuta mwenyewe Kama wapalestina vile ππBora umtukane mtu direct kuliko haya maneno yanayoumiza.. ππ
Baba yake alikuwa mkristuNiliwahi msikia akisema "kiti moto kitamuu" Akiwa kama Bint wa kiislamu atuambie na chenyewe kaacha?
Ohoooo!Baba yake alikuwa mkristu
Aache na kukalia mijegeje ovyo
"Sijafanya Birthdays Parties zangu kwa miaka Mitano sasa ila hii ya mwaka huu nimeifanya ili Kusheherekea Kwangu kuacha kabisa Kunywa Pombe kwa miezi Tisa tokea Mwezi January 2023" amesema Mlimbwende wa zamani nchini Tanzania Wema Sepetu baada ya Kuongea na Waandishi wa Habari.
Katika Pombe hata Mimi GENTAMYCINE sibishi na simbishii Wema Sepetu kuwa Kaiacha, ila akisema kuwa na hata Bangi aipendayo hata kuliko Chakula na Mkuyenge ( Wakazi wa Jirani na Kwao hasa kwa Mama yake Mzazi ni Mashahidi Tukuka ) nayo Kaachana nayo / Kaiacha nitambishia na kumkatalia mchana Kweupe kwakuwa najua hatoweza na hana Ubavu wa Kutoitumia.
Bangi zake wewe zinakuhusu nini? Umbea huo.
vipi kusagana pia kaacha?"Sijafanya Birthdays Parties zangu kwa miaka Mitano sasa ila hii ya mwaka huu nimeifanya ili Kusheherekea Kwangu kuacha kabisa Kunywa Pombe kwa miezi Tisa tokea Mwezi January 2023" amesema Mlimbwende wa zamani nchini Tanzania Wema Sepetu baada ya Kuongea na Waandishi wa Habari.
Katika Pombe hata Mimi GENTAMYCINE sibishi na simbishii Wema Sepetu kuwa Kaiacha, ila akisema kuwa na hata Bangi aipendayo hata kuliko Chakula na Mkuyenge ( Wakazi wa Jirani na Kwao hasa kwa Mama yake Mzazi ni Mashahidi Tukuka ) nayo Kaachana nayo / Kaiacha nitambishia na kumkatalia mchana Kweupe kwakuwa najua hatoweza na hana Ubavu wa Kutoitumia.
Ivipi kusagana pia kaacha?