Watu wa aina yako ndo tunataka msiwepo kwenye uongozi wa soka.Wewe unavyoona Muda anaenda club gani ya nje sasa..?
Mnakuwa kama mpira wa Tanzania hamuujui bhn, hao wenzenu washaridhika na kucheza Kariakoo. 3M kwanza nyingi sana kwake, atulie acheze mpira.
trust me, mudathir Yahya offer zitamfata soon. I saw the stats and the way of play. atapewa contract. by the end of the season . team zitakuja.Wewe unavyoona Muda anaenda club gani ya nje sasa..?
Mnakuwa kama mpira wa Tanzania hamuujui bhn, hao wenzenu washaridhika na kucheza Kariakoo. 3M kwanza nyingi sana kwake, atulie acheze mpira.
Hili ndio la muhimu, bado yupo ndani ya mkataba hayo mengineyo ni baadae mkataba ukishakwisha kwenye renewal.Acheni upumbavu, haya mawazo ya hivi ndo yamemfanya Djuma shabani hana team mpaka leo na mwenzake Bangala. Anachopewa saivi kama aliridhika nacho kwenye mkataba wake basi aendelee kutimiziwa tu, hakuna cha kuongezewa wala nini. Kuishi kwenye budget ni kitu muhimu sana.
for once on his peak apewe helaNdo kazi ya bonus mzee. Hard work pays na i am sure remunerations zao za bonus wanalipwa vizuri kabisa.
Kwani 3M sio mshahara wa mkataba bora..?Mchezaji bora anastahili mkataba bora na maslahi bora kwa usalama wa club yake. Wewe kama kiongozi hili hulitaki?
Siku ukija kuwa kiongozi utanielewa ni crisis gani unaitengeneza kwenye ofisi ya Hersi. I am sure hata yeye mwenyewe hawezi kufanya hicho unachoki suggests. Form huwa zinakuja tu ila class ya Mudathil tunaijua ni ipi na hio ndo inamfanya alipwe anacholipwa.for once on his peak apewe hela
Unajua si lazima usibiri mkataba uishe ndo ukae na mchezaji. Umempa miaka miwili ukiwa hujui kama atameet target. Ndani ya mwaka mmoja kafanya zaidi ya ulichotegemea, kabakiza mwaka mmoja, usisubiri ukabaki mwezi ndo ukaanza kutaka asaini sababu by that time anakuwa ameshatafutwa na kushawishiwa kuondoka bure. Kaa nae chini mapema ili watakao mtaka walazimike kukutafuta wewe.Hili ndio la muhimu, bado yupo ndani ya mkataba hayo mengineyo ni baadae mkataba ukishakwisha kwenye renewal.
Ok, Lengo ni kumfanya mchezaji ajione ana thamani sawa na kiwango chake. Sio anafanya vizuri halafu kuna flopy yupo bench analipwa mara 5 yake.Kwani 3M sio mshahara wa mkataba bora..?
Ukichanganya na bonus za Yanga, i am sure anafikisha 5M easily kabisa. Anyways, kila mtu na mawazo yake, i agree to disagree. Mnaweza mkawa mko sawa, have a good morning comrades.
class yake ipo juu sana now sio the same. na ni mzawa wampe hela. mbona bacca wamempa za kutoshaSiku ukija kuwa kiongozi utanielewa ni crisis gani unaitengeneza kwenye ofisi ya Hersi. I am sure hata yeye mwenyewe hawezi kufanya hicho unachoki suggests. Form huwa zinakuja tu ila class ya Mudathil tunaijua ni ipi na hio ndo inamfanya alipwe anacholipwa.
sema i understand you. you need a rightt time to do this as a leader. let's give him time.Siku ukija kuwa kiongozi utanielewa ni crisis gani unaitengeneza kwenye ofisi ya Hersi. I am sure hata yeye mwenyewe hawezi kufanya hicho unachoki suggests. Form huwa zinakuja tu ila class ya Mudathil tunaijua ni ipi na hio ndo inamfanya alipwe anacholipwa.
Hilo silipingi ila tungoje mkataba uelekee ukingoni, hayo ya kuboresha sisi hatuwezi kuyajua ila nna uhakika kwa namna uongozi wa Yanga ulivyo kwa sasa hilo ni jambo ambalo wanalizingatia sana.Unajua si lazima usibiri mkataba uishe ndo ukae na mchezaji. Umempa miaka miwili ukiwa hujui kama atameet target. Ndani ya mwaka mmoja kafanya zaidi ya ulichotegemea, kabakiza mwaka mmoja, usisubiri ukabaki mwezi ndo ukaanza kutaka asaini sababu by that time anakuwa ameshatafutwa na kushawishiwa kuondoka bure. Kaa nae chini mapema ili watakao mtaka walazimike kukutafuta wewe.
Kabisa. Na wamejifunza kupitia Fei. Watu wanaangalia ushaifu ulipo ndo wanapita hapo.Hilo silipingi ila tungoje mkataba uelekee ukingoni, hayo ya kuboresha sisi hatuwezi kuyajua ila nna uhakika kwa namna uongozi wa Yanga ulivyo kwa sasa hilo ni jambo ambalo wanalizingatia sana.
analipwa 3 mMtoa Post Eeh We Know That Mudathir He Deserve Better But Tuonyeshe Mshahara wa Mudathir Yahya Abbas Wa Mwanzo ili Tuone Kama ni Mbaya ili Tupaze Sauti Zetu Alipwe Vizuri ila (Ushahidi Muhimu Kuliko Ukurupukaji) Kama Unaotea Tu Ni Kheri Unyamaze Yasije tokea Yale ya Feisali Salum
Fei alishawishika na wafuata mkumbo wengine nao wakafuata ila kwa level na ukubwa wa klabu ya Yanga ni dhahiri wachezaji wazuri wataendelea kuwepo sana.Kabisa. Na wamejifunza kupitia Fei. Watu wanaangalia ushaifu ulipo ndo wanapita hapo.
sure. ila FEI it was too much money.Fei alishawishika na wafuata mkumbo wengine nao wakafuata ila kwa level na ukubwa wa klabu ya Yanga ni dhahiri wachezaji wazuri wataendelea kuwepo sana.
ila mudathir will play elsewhere. SA OR ARABS COUNTRIESKabisa. Na wamejifunza kupitia Fei. Watu wanaangalia ushaifu ulipo ndo wanapita hapo.
Yes anastahilisure. ila FEI it was too much money.
Na anapo floppy akatwe?Kaongea ukweli. Maslahi bora ni muhimu kwa mchezaji anapofanya vizuri. Unaboresha mkataba wake na maslahi yake. Kinyume na hapo unaacha mlango wa vishawishi wazi.
Tumuombee MUNGU. Hata akicheza hapa hapa, tunachotaka ni vijana waone kuwa kujituma kunalipa mno iwe ndani au nje. Tuna damu changa nyingi zinawatazama waliotangulia.ila mudathir will play elsewhere. SA OR ARABS COUNTRIES