Tunamtaka Hersi ampe mshahara mzuri Mudathir Yahya

huyu wa home ni contribution hiyo. sio mgeni
Tutaboresha mkataba wake mpya kama akiendekea kupafomu vizuri

Ila kuweni makini msijemuaribia kama Feisal, maneno yalianza ivi hivi
 
Tutaboresha mkataba wake mpya kama akiendekea kupafomu vizuri

Ila kuweni makini msijemuaribia kama Feisal, maneno yalianza ivi hivi
cha msingi alipwe vizuri. that's all
 
I heard ni 3 m
Basi alianzia pazuri, mtu aliyekuwa hana timu anazurula tu, akachukuliwa na kuanza Kupewa Mshahara huo siyo padogo.

Issue ni kwamba kwasasa yuko fire, dirisha kubwa azungumze na viongozi apande kimaslahi.

Vile vile anaweza kusubiri mwisho wa mkataba wake afanye negotiations, ingawa sijui ana mkataba wa muda gani.
 
Kwanza unajua analipwa kiasi gani hebu tuambie hapa tujue. Wewe mshahara wa mwanaume mwenzako unakuhusu nini, mwisho muolewe
 

Acha kukaza kichwa hiyo ndo salary yake.
Tuwekee mkataba wake mkuu utoe ubishi kwa wachangiaji
 
Mmeanza meshamwalibia yule mzanzibari mwingine mkapotea.
 
but he deserves it. sio kwa kitu kibaya. ila hard work must pay.
Ataongezewa mshahara pale itakapohitajika ku renew mkataba wake na sio katikati ya mkataba eti kwa sababu ni mtanzania na blah blah nyingine hiyo ni nje ya proffessionalism.

Tuheshimu mikataba naona watu bado hamjajifunza swala la Feisal au hamkufuatilia kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…