Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Huyo Nick sijui huwa anaimba nini.... Sio msanii kabisa
Analenga soko mkuu...music now is a business as any other business...Consumers wanataka nini hicho ndicho cha ku focus.Labda ili awe msanii ulitaka Nickson aweje au aimbeje? Music ndio umemfanya sasa hivi asome Phd.
 
Mseke mzee sio wachaga wa marangu ??
John Simon Mseke na Nickson Simon Mseke asili yao ni Marangu Klm wamekulia Arusha na na shughuli zao za kimaisha ikiwemo music wanafanyia Arusha.So mkuu Lwigwanan you are right.
 
Now watu wanapenda nyimbo za matusi tu. Ndio maana na yeye joh kaamua kuuza akili
 
kiukweli wanazingua hizo nyimbo zao sijui naliamsha dude, ni-come na zingine zenye falsafa kama hizo ni upuuzi na upumbavu tu wamekubali kuwa watumwa wa soko mwishowe wataanza kuwaimbia machoko. Much respect na Saluti nyingi kwa Chindo Man, Yuzzo, Kala Jerimiah, Nash Mc, Bonta Maarifa
 
afu wanaume huwa hatucome bana, wanaume tunamwaga. unanifanya nimwage itapendeza
 
Mimi ni mmoja wa mashabiki wa msanii Joh makini tangu anatoka akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (Chid benz).

Mwamba wa kaskazini alitikisa anga la mziki na kila mkwaju alioachia ulikuwa wa Moto ndio maana alipojiita Tz Jay z sikumbishia sana.

Nakumbuka ngoma zake kama Mfalme,Hao,muda,sijutii,Stimu zimelipiwa,Show za Joh,Kilimanjaro n.k, collabo alizopiga akangaa kama utaipenda ya Hussein machozi na nyinginezo.

Huyu Joh makini wa Weusi simuelewi kabisa yaan amepwaya katika uandishi kuliko zaman, hatumuoni kama Hip hop icon wa kaskazini yaani anakoelekea haeleweki kabisa.

Chondechonde tunamhitaj Joh Makini wa Hao, huyu wa madaraka,Nicome ndugu zake njooni mumchukue.
Kama humuelewi basi ujue ujumbe haukuhusu
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] haswaaa!
Binafsi nimemfahamu Joh kunako 2005/6 alipotoa wimbo wa Chochote Popote na Wameinama wameinuka. Kiukweli kuna tofauti kubwa kwa nyimbo zile na hizi za sasa anazosema "Kakaniomba Iphone nikakanulia apple. Kakatafuna kisha nikakatafuna". [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Hivi nyie mlikuwa wapi wakati Joh Mwamba anatisha mjini na dude lake 'HAWAPENDI' mnamo mwaka 2004?
 
Hivi nyie mlikuwa wapi wakati Joh Mwamba anatisha mjini na dude lake 'HAWAPENDI' mnamo mwaka 2004?
Tulikuepo. Ila tulikua bize na wasanii wakubwa wa enzi hizo akina Jay, Fid Q AY, Afande na wengine wa namna hio!
 
game imechange sana so joh kwenda na mabadiliko hayo yupo sahihi kabisa otherwise angeng'ang'ania hiyo style moja angekuwa historia kama kina dudubaya,mapacha,juma nature,inspector haroun,kala pina n.k muziki sasa hivi ni ubunifu wa hali ya juu vinginevyo utausikia kwenye bomba tu
Mi nashangaa wanataka aendeleze na ngumu wakati alioanza nao game karibu wote tushawasahau[emoji23], sijui wanataka akaze awe na maisha kama wehu ya kina Chidbenz. Joh kataa huu ushauri komaa hapohapo mwanangu, hiyo nicome ni bonge la ngoma, kubadilika kwako ndio kumefanya usurvive kwenye game hadi sasa, hawa wanataka kukutoa kwenye reli ukimbie mji
 
Tulikuepo. Ila tulikua bize na wasanii wakubwa wa enzi hizo akina Jay, Fid Q AY, Afande na wengine wa namna hio!
Sasa kwanini mnamkosea adabu eti ametengenezwa kushindana na Chid wakati Chid kamkuta Joh kwenye game ana ngoma 2 kali, HAWAPENDI na HAO?
 
Sasa kwanini mnamkosea adabu eti ametengenezwa kushindana na Chid wakati Chid kamkuta Joh kwenye game ana ngoma 2 kali, HAWAPENDI na HAO?
Binafsi sijaandika kwamba Joh kaja kushindana na Chid. Nadhani kuna member aliandika hivyo. Chid kaja baadae sana kwenye game baada ya Joh. Wengi tunachoshangaa ni kugeuka nyuma kwa Mweusi kwenye upande wa ushairi. Tumejikita hapo. Ingawa wengi wamesema Mweusi amelazimika kubadili mwelekeo kutokana na mabadiliko ktk soko la muziki.
 
watu wanafukuziana na soko mazee... waacheni.

ilimradi soko linakihitaji wanachofanya.
Aliekuambia hiphop ni mziki wa sokoni uupange kama mafungu ya nyanya na vitunguu nani?hiphop ni Dini na imani na mtu anaeamua kufanya mziki huu lazima ajikane nafsi yake ndio afanye mziki huu.Wanaoliangalia soko kama ndio fullforce lazima waangukie pua maana soko halitaki kuambiwa ukweli soko linataka fantasia na uwongo uwongo mwingi mahaba laini na kulegeza misimamo hayo ndio yaliyoko sokoni.
 
Back
Top Bottom