Analenga soko mkuu...music now is a business as any other business...Consumers wanataka nini hicho ndicho cha ku focus.Labda ili awe msanii ulitaka Nickson aweje au aimbeje? Music ndio umemfanya sasa hivi asome Phd.Huyo Nick sijui huwa anaimba nini.... Sio msanii kabisa
John Simon Mseke na Nickson Simon Mseke asili yao ni Marangu Klm wamekulia Arusha na na shughuli zao za kimaisha ikiwemo music wanafanyia Arusha.So mkuu Lwigwanan you are right.Mseke mzee sio wachaga wa marangu ??
Now watu wanapenda nyimbo za matusi tu. Ndio maana na yeye joh kaamua kuuza akili
Kama humuelewi basi ujue ujumbe haukuhusuMimi ni mmoja wa mashabiki wa msanii Joh makini tangu anatoka akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (Chid benz).
Mwamba wa kaskazini alitikisa anga la mziki na kila mkwaju alioachia ulikuwa wa Moto ndio maana alipojiita Tz Jay z sikumbishia sana.
Nakumbuka ngoma zake kama Mfalme,Hao,muda,sijutii,Stimu zimelipiwa,Show za Joh,Kilimanjaro n.k, collabo alizopiga akangaa kama utaipenda ya Hussein machozi na nyinginezo.
Huyu Joh makini wa Weusi simuelewi kabisa yaan amepwaya katika uandishi kuliko zaman, hatumuoni kama Hip hop icon wa kaskazini yaani anakoelekea haeleweki kabisa.
Chondechonde tunamhitaj Joh Makini wa Hao, huyu wa madaraka,Nicome ndugu zake njooni mumchukue.
Hivi nyie mlikuwa wapi wakati Joh Mwamba anatisha mjini na dude lake 'HAWAPENDI' mnamo mwaka 2004?[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] haswaaa!
Binafsi nimemfahamu Joh kunako 2005/6 alipotoa wimbo wa Chochote Popote na Wameinama wameinuka. Kiukweli kuna tofauti kubwa kwa nyimbo zile na hizi za sasa anazosema "Kakaniomba Iphone nikakanulia apple. Kakatafuna kisha nikakatafuna". [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Tulikuepo. Ila tulikua bize na wasanii wakubwa wa enzi hizo akina Jay, Fid Q AY, Afande na wengine wa namna hio!Hivi nyie mlikuwa wapi wakati Joh Mwamba anatisha mjini na dude lake 'HAWAPENDI' mnamo mwaka 2004?
Mi nashangaa wanataka aendeleze na ngumu wakati alioanza nao game karibu wote tushawasahau[emoji23], sijui wanataka akaze awe na maisha kama wehu ya kina Chidbenz. Joh kataa huu ushauri komaa hapohapo mwanangu, hiyo nicome ni bonge la ngoma, kubadilika kwako ndio kumefanya usurvive kwenye game hadi sasa, hawa wanataka kukutoa kwenye reli ukimbie mjigame imechange sana so joh kwenda na mabadiliko hayo yupo sahihi kabisa otherwise angeng'ang'ania hiyo style moja angekuwa historia kama kina dudubaya,mapacha,juma nature,inspector haroun,kala pina n.k muziki sasa hivi ni ubunifu wa hali ya juu vinginevyo utausikia kwenye bomba tu
Huyo Msodoki amemkuta Joh kwenye game na anapotea anamuacha 'anayebebwa' anashine[emoji1]Nampenda young Killer Msodoki, kuanzia uandishi, anavorap, nikisikia ile sauti Yani ndo mweee,sijui kamenifanyaje haka kabwanamdogo
Sasa kwanini mnamkosea adabu eti ametengenezwa kushindana na Chid wakati Chid kamkuta Joh kwenye game ana ngoma 2 kali, HAWAPENDI na HAO?Tulikuepo. Ila tulikua bize na wasanii wakubwa wa enzi hizo akina Jay, Fid Q AY, Afande na wengine wa namna hio!
Binafsi sijaandika kwamba Joh kaja kushindana na Chid. Nadhani kuna member aliandika hivyo. Chid kaja baadae sana kwenye game baada ya Joh. Wengi tunachoshangaa ni kugeuka nyuma kwa Mweusi kwenye upande wa ushairi. Tumejikita hapo. Ingawa wengi wamesema Mweusi amelazimika kubadili mwelekeo kutokana na mabadiliko ktk soko la muziki.Sasa kwanini mnamkosea adabu eti ametengenezwa kushindana na Chid wakati Chid kamkuta Joh kwenye game ana ngoma 2 kali, HAWAPENDI na HAO?
Booyy...afu wanaume huwa hatucome bana, wanaume tunamwaga. unanifanya nimwage itapendeza
Aliekuambia hiphop ni mziki wa sokoni uupange kama mafungu ya nyanya na vitunguu nani?hiphop ni Dini na imani na mtu anaeamua kufanya mziki huu lazima ajikane nafsi yake ndio afanye mziki huu.Wanaoliangalia soko kama ndio fullforce lazima waangukie pua maana soko halitaki kuambiwa ukweli soko linataka fantasia na uwongo uwongo mwingi mahaba laini na kulegeza misimamo hayo ndio yaliyoko sokoni.watu wanafukuziana na soko mazee... waacheni.
ilimradi soko linakihitaji wanachofanya.