Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Tunamtaka Joh Makini wa 'Hao', huyu wa ni-come ndugu zake njooni mumchukue

Ametuacha mbali na za serikali wakiunda magari si tunaunda leseni

Mistari ya enzi za jk ukiimba sasa @%$^&@&
 
Alikiba na diamondi unawaelewaga??


Kama unawaelewa basi haiwezekani usimuelewe joh makini.

Makini kaimba sana katoa ngoma kali na za kueleweka mwanzo lakini hela ikawa ni ngumu kuikamata

Kaimba vya namna visivyoeleweka lakini hela kwambalii imeanza onekana..

Ndugu yangu shida ni hela imemtaka aimbe hivyoo..

Unaijua nyimbo ya dj snook ile apaa paaa apaaa ... ulishaielewa ile nyimbo ??? Lakina snooka alipiga hela.

Hivyo basi mwanzo nilikua nachukia namna joh makin anavyoimba ila nikaja jiuliza... jamaa anatafuta nini .. hela maisha mazuri ya leo na kesho

Pia anawatoto na mke pia sasa akiimba kama inavyotaka baasi hela asahau

Jiulize roma na stamina (rostam) na ule wimbo wao wa sitaki kibamia umeuelewa mwenzangu? Kama ndio basi huwezi kia huelewi ya joh makini

Tunawekana sawa mkuu.. mitazamo tofauti ndio inatufanya tuwe sawa.
Yaani kuwa fofauti ndio kunatufanya tuishi pamoja.
Taarifa waheshimiwa
Mchangiaji mwenye siledi hapo juu kakosea naomba kumrekebisha
Apaa apaaa apaaa parakata tumba kaimba cabo snoopy na sio dj snook
Hivyo kalidanganya jukwaa
 
Taarifa waheshimiwa
Mchangiaji mwenye siledi hapo juu kakosea naomba kumrekebisha
Apaa apaaa apaaa parakata tumba kaimba cabo snoopy na sio dj snook
Hivyo kalidanganya jukwaa
Noted na shukran sana mkuu.
 
Haiwezi kuwa. Still in love na Mziki wa Joh Makini,ni hakuna MIPAKA
 
Muziki ni biashara lazima uangalie sokoni watu wanataka nini .Huu si wakati wa kuimba ngumu hamna wa kufuatilia labda wahuni wawe mashabiki wake wasio na mchango wowote kwa msanii..

Joh amebadilika sana sio yule joh wa NIAJE NIVIP AU MANUVA..game imechange wakuu hakuna namna mwisho wa siku watu wanatafuta riziki sio sifa za mtaani fulani mkali then huna lolote
 
Nawaousapoti huo mziki ndiyo wale ambao wasiojulikana wakifanya yao wanakuuliza "umefanywaje ndugu sema dunia ijue" si bora uimbe ni come kuepusha yote hayo
 
Back
Top Bottom