Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 4,285
- 4,074
Wewe peke ako ndo umeongea la maana.
Watu wanajisahau kuwa kila kifo hakiji bure bali ni kwa mpango wa Mungu.
Na ikumbukwe kwamba kuna malaika maalumu wa idara ya kutoa roho,.
Roho haitoki yenyewe yenyewe tu.
Utopolo