Tunamuomba Mungu atukinge na Corona, kesho watalii wanatua KIA, AKIA, JNIA huku nchi ikiwa wazi mipakani

Tunamuomba Mungu atukinge na Corona, kesho watalii wanatua KIA, AKIA, JNIA huku nchi ikiwa wazi mipakani

Wewe peke ako ndo umeongea la maana.

Watu wanajisahau kuwa kila kifo hakiji bure bali ni kwa mpango wa Mungu.

Na ikumbukwe kwamba kuna malaika maalumu wa idara ya kutoa roho,.

Roho haitoki yenyewe yenyewe tu.

Utopolo
 
Back
Top Bottom