Tunamuomba Mungu atukinge na Corona, kesho watalii wanatua KIA, AKIA, JNIA huku nchi ikiwa wazi mipakani

Wewe peke ako ndo umeongea la maana.

Watu wanajisahau kuwa kila kifo hakiji bure bali ni kwa mpango wa Mungu.

Na ikumbukwe kwamba kuna malaika maalumu wa idara ya kutoa roho,.

Roho haitoki yenyewe yenyewe tu.

Utopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…