Tunamuomba Serikali yetu isiyumbishwe na kelele za watumishi

Tunamuomba Serikali yetu isiyumbishwe na kelele za watumishi

Tunamuomba Mhe. Rais asiyumbishwe na kelele za baadhi ya wanao jiita watumishi wa umma juu ya nyongeza ya mshahara wanayo sema ni ndogo.

1. uchunguzi unabaini kuwa baadhi ya watumishi wanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kudhihaki na kukejeli nyongeza iliyo tolewa.

2. wanasiasa wenye uchu wamelishikia bango hoja hili kama kete/fimbo ya kisiasa........hao ni wanasiasa uchwara.

3. kundi la wenye chuki binafsi limo humo.

4.

Naishauri Serikali yangu kamwe isiyumbishwe na makelele haya, anayetaka nyongeza afanye kazi asiyetaka aache aende akalime........

Chonchonde serikali isiwadekeze hawa watu ni hatari....naomba style ya Magufuli itumike ktk jambo hili, hakuna kubembelezana, kama kuna mtumishi ambaye haja ridhika aache kazi, vinginevyo..........

Uchumi wa nchi bado haujaimarika ni jambo la kushangaza kudai nyongeza kubwa!!! huu ni upuuzi na unafaa kupuuza, narudia tena anaye taka afanye kazi la acha nenda kalime......
Mwenye nyumba haiwezi yumbishwa na kelele za wapangaji.

Tuko busy na mambo ya msingi ,washike adabu yao 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220723-205352.png
    Screenshot_20220723-205352.png
    46 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220723-205321.png
    Screenshot_20220723-205321.png
    109.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220723-205107.png
    Screenshot_20220723-205107.png
    137.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220723-205124.png
    Screenshot_20220723-205124.png
    190.1 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220723-204918.png
    Screenshot_20220723-204918.png
    137.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220723-205014.png
    Screenshot_20220723-205014.png
    152.2 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220723-204506.png
    Screenshot_20220723-204506.png
    127 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220723-203316.png
    Screenshot_20220723-203316.png
    130.8 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220723-202107.png
    Screenshot_20220723-202107.png
    156.3 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220723-201223.png
    Screenshot_20220723-201223.png
    161.2 KB · Views: 6
Kama huna cha kusema ni heri ukae kimya kuliko kuongea upuuzi kama huu shame on you.
 
Tunamuomba Mhe. Rais asiyumbishwe na kelele za baadhi ya wanao jiita watumishi wa umma juu ya nyongeza ya mshahara wanayo sema ni ndogo.

1. uchunguzi unabaini kuwa baadhi ya watumishi wanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kudhihaki na kukejeli nyongeza iliyo tolewa.

2. wanasiasa wenye uchu wamelishikia bango hoja hili kama kete/fimbo ya kisiasa........hao ni wanasiasa uchwara.

3. kundi la wenye chuki binafsi limo humo.

4.

Naishauri Serikali yangu kamwe isiyumbishwe na makelele haya, anayetaka nyongeza afanye kazi asiyetaka aache aende akalime........

Chonchonde serikali isiwadekeze hawa watu ni hatari....naomba style ya Magufuli itumike ktk jambo hili, hakuna kubembelezana, kama kuna mtumishi ambaye haja ridhika aache kazi, vinginevyo..........

Uchumi wa nchi bado haujaimarika ni jambo la kushangaza kudai nyongeza kubwa!!! huu ni upuuzi na unafaa kupuuza, narudia tena anaye taka afanye kazi la acha nenda kalime......
FB_IMG_1658587296766.jpg
 
SAWA,,,LAKINI WAJUE NASISI TUTAJIONGEZA,, TUTAFANYA KAZI KULINGANA NA KAHELA KALIKOONGEZEKA.

Wasitarajie kujituma.
 
Serikali haiwezi kuwatatulia matatizo yenu, kwa sababu serikali ndio TATIZO LENYEWE.
 
Likirudishwa robotatu ya watumishi wanasepa fasta serikali itabaki midomo wazi!
 
Tunamuomba Mhe. Rais asiyumbishwe na kelele za baadhi ya wanao jiita watumishi wa umma juu ya nyongeza ya mshahara wanayo sema ni ndogo.

1. uchunguzi unabaini kuwa baadhi ya watumishi wanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kudhihaki na kukejeli nyongeza iliyo tolewa.

2. wanasiasa wenye uchu wamelishikia bango hoja hili kama kete/fimbo ya kisiasa........hao ni wanasiasa uchwara.

3. kundi la wenye chuki binafsi limo humo.

4.

Naishauri Serikali yangu kamwe isiyumbishwe na makelele haya, anayetaka nyongeza afanye kazi asiyetaka aache aende akalime........

Chonchonde serikali isiwadekeze hawa watu ni hatari....naomba style ya Magufuli itumike ktk jambo hili, hakuna kubembelezana, kama kuna mtumishi ambaye haja ridhika aache kazi, vinginevyo..........

Uchumi wa nchi bado haujaimarika ni jambo la kushangaza kudai nyongeza kubwa!!! huu ni upuuzi na unafaa kupuuza, narudia tena anaye taka afanye kazi la acha nenda kalime......
Wewe ukishashiba basi wengine wafe tu. Acha ujinga mkuu.
 
kama kuna mtumishi anaye ona hiyo nyongeza haimtoshi ana uhuru wa kuacha kazi na kutafuta kazi kwengine............
maana Utumishi wa umma ni Wito.

Kimsingi katika kipindi hiki chenye changamoto lukuki za kiuchumi haikutakiwa kabisa kuwaongeza hiyo nyongeza ambayo baadhi ya wanao jiita watumishi wanadai ni "kidogo".


lakini huruma ya Mama akaona bora hiyo hiyo kidogo kuliko kukosa kabisa, angeweza kukomaa hadi miaka 5 iishe lkn kwa huruma yake akaona hapana, bora hata hicho kidogo kuliko kukosa kabisa, sasa shukurani zenu ni lawama na kejeli!!!??

ama kweli asiye shukuru kidogo hata kikubwa hawezi!!!

Watumishi mnaharibu sana! mtqmlazimisha mama akose huruma kabisaaa!!

Awamu hii ya 6 ndani ya muda wa mwaka mmoja tu kawafanyia watumishi mambo mengi kabla ya nyongeza hiyo;

1. Bima ya afya sasa watoto wenu wataweza kutumia hadi miaka 22.

2. Watumishi wengi kwa mkupuo wamepandishwa madaraja sambamba na ongezeko la mishara yao, jambo hilo halijawahi kutokea tangu nchi ipate uhuru.

3. Ajira lukuki zimemwagwa kila idara za Serikali, haijawahi kutokea.

Mambo hayo ameyafanya Rais Mama Samia ndani ya kipindi kifupi sana, sasa je akikaa miaka 10 simtafika mbali.
tuache tabia ya kuziriba mambo mazuri yanayo fanywa na viongozi wetu.

n.k.nk.

tuache tabia ya KUZIRIBA mambo mazuri yanayo fanywa na Rais wetu Mama Samia,
 
Tunamuomba Mhe. Rais asiyumbishwe na kelele za baadhi ya wanao jiita watumishi wa umma juu ya nyongeza ya mshahara wanayo sema ni ndogo.

1. uchunguzi unabaini kuwa baadhi ya watumishi wanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kudhihaki na kukejeli nyongeza iliyo tolewa.

2. wanasiasa wenye uchu wamelishikia bango hoja hili kama kete/fimbo ya kisiasa........hao ni wanasiasa uchwara.

3. kundi la wenye chuki binafsi limo humo.

4.

Naishauri Serikali yangu kamwe isiyumbishwe na makelele haya, anayetaka nyongeza afanye kazi asiyetaka aache aende akalime........

Chonchonde serikali isiwadekeze hawa watu ni hatari....naomba style ya Magufuli itumike ktk jambo hili, hakuna kubembelezana, kama kuna mtumishi ambaye haja ridhika aache kazi, vinginevyo..........

Uchumi wa nchi bado haujaimarika ni jambo la kushangaza kudai nyongeza kubwa!!! huu ni upuuzi na unafaa kupuuza, narudia tena anaye taka afanye kazi la acha nenda kalime......


kama kuna mtumishi anaye ona hiyo nyongeza haimtoshi ana uhuru wa kuacha kazi na kutafuta kazi kwengine............
maana Utumishi wa umma ni Wito.

Kimsingi katika kipindi hiki chenye changamoto lukuki za kiuchumi haikutakiwa kabisa kuwaongeza hiyo nyongeza ambayo baadhi ya wanao jiita watumishi wanadai ni "kidogo".

lakini huruma ya Mama akaona bora hiyo hiyo kidogo kuliko kukosa kabisa, angeweza kukomaa hadi miaka 5 iishe lkn kwa huruma yake akaona hapana, bora hata hicho kidogo kuliko kukosa kabisa, sasa shukurani zenu ni lawama na kejeli!!!??

ama kweli asiye shukuru kidogo hata kikubwa hawezi!!!

Watumishi mnaharibu sana! mtqmlazimisha mama akose huruma kabisaaa!!

Awamu hii ya 6 ndani ya muda wa mwaka mmoja tu kawafanyia watumishi mambo mengi kabla ya nyongeza hiyo;

1. Bima ya afya sasa watoto wenu wataweza kutumia hadi miaka 22.

2. Watumishi wengi kwa mkupuo wamepandishwa madaraja sambamba na ongezeko la mishara yao, jambo hilo halijawahi kutokea tangu nchi ipate uhuru.

3. Ajira lukuki zimemwagwa kila idara za Serikali, haijawahi kutokea.
tuache tabia ya kuziriba mambo mazuri yanayo fanywa na viongozi wetu.

tuache tabia ya KUZIRIBA mambo mazuri yanayo fanywa na Rais wetu Mama Samia,
Matako wew
 
Back
Top Bottom