Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
👇😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huenda unania nzuri ila nimeshindwa kusoma mpaka mwisho maana naona kama shule kidogo imekuwia changamoto, maana mara naona Tunamuomba serikali asiyumbishwe, anyway tufanye umeeleweka ila kuruka madarasa sio vizuriTunamuomba Mhe. Rais asiyumbishwe na kelele za baadhi ya wanao jiita watumishi wa umma juu ya nyongeza ya mshahara wanayo sema ni ndogo.
1. uchunguzi unabaini kuwa baadhi ya watumishi wanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kudhihaki na kukejeli nyongeza iliyo tolewa.
2. wanasiasa wenye uchu wamelishikia bango hoja hili kama kete/fimbo ya kisiasa........hao ni wanasiasa uchwara.
3. kundi la wenye chuki binafsi limo humo.
4.
Naishauri Serikali yangu kamwe isiyumbishwe na makelele haya, anayetaka nyongeza afanye kazi asiyetaka aache aende akalime........
Chonchonde serikali isiwadekeze hawa watu ni hatari....naomba style ya Magufuli itumike ktk jambo hili, hakuna kubembelezana, kama kuna mtumishi ambaye haja ridhika aache kazi, vinginevyo..........
Uchumi wa nchi bado haujaimarika ni jambo la kushangaza kudai nyongeza kubwa!!! huu ni upuuzi na unafaa kupuuza, narudia tena anaye taka afanye kazi la acha nenda kalime......
kama kuna mtumishi anaye ona hiyo nyongeza haimtoshi ana uhuru wa kuacha kazi na kutafuta kazi kwengine............
maana Utumishi wa umma ni Wito.
Kimsingi katika kipindi hiki chenye changamoto lukuki za kiuchumi haikutakiwa kabisa kuwaongeza hiyo nyongeza ambayo baadhi ya wanao jiita watumishi wanadai ni "kidogo".
lakini huruma ya Mama akaona bora hiyo hiyo kidogo kuliko kukosa kabisa, angeweza kukomaa hadi miaka 5 iishe lkn kwa huruma yake akaona hapana, bora hata hicho kidogo kuliko kukosa kabisa, sasa shukurani zenu ni lawama na kejeli!!!??
ama kweli asiye shukuru kidogo hata kikubwa hawezi!!!
Watumishi mnaharibu sana! mtqmlazimisha mama akose huruma kabisaaa!!
Awamu hii ya 6 ndani ya muda wa mwaka mmoja tu kawafanyia watumishi mambo mengi kabla ya nyongeza hiyo;
1. Bima ya afya sasa watoto wenu wataweza kutumia hadi miaka 22.
2. Watumishi wengi kwa mkupuo wamepandishwa madaraja sambamba na ongezeko la mishara yao, jambo hilo halijawahi kutokea tangu nchi ipate uhuru.
3. Ajira lukuki zimemwagwa kila idara za Serikali, haijawahi kutokea.
tuache tabia ya kuziriba mambo mazuri yanayo fanywa na viongozi wetu.
tuache tabia ya KUZIRIBA mambo mazuri yanayo fanywa na Rais wetu Mama Samia,
kweli sijasoma elimu ya juu kama wewe ila elimu ya uzalendo wa kuipenda nchi yangu ninayo.Huenda unania nzuri ila nimeshindwa kusoma mpaka mwisho maana naona kama shule kidogo imekuwia changamoto, maana mara naona Tunamuomba serikali asiyumbishwe, anyway tufanye umeeleweka ila kuruka madarasa sio vizuri
kazi,
Uchumi wa nchi bado haujaimarika ni jambo la kushangaza kudai nyongeza kubwa!!! huu ni upuuzi na unafaa kupuuza, narudia tena anaye taka afanye kazi la acha nenda kalime.
Dharau Kwa watumishi ndiyo hizi. Unawaahidi nyongeza ya 23%, unawapiga chenga ya mwili; Kisha unasema "kama hautaki kazi acha". Really?Kama kuna mtumishi anaye ona hiyo nyongeza haimtoshi ana uhuru wa kuacha kazi na kutafuta kazi kwengine maana Utumishi wa umma ni Wito.
,
Mbona unaandika utumbo hivyo. Mwaka mzima unaongezewa 20000×12= 240000 kwa mwaka huku mbuge anakaa kupiga makofi tu posho kwa siku 300000 halafu unaleta upumbavu wako hapa. Ebu ficha upumbavu wako aisee. Ccm mlishaona kila anayelalamika anatumiwa. Huku ni haki Yao.Tunamuomba Mhe. Rais asiyumbishwe na kelele za baadhi ya wanao jiita watumishi wa umma juu ya nyongeza ya mshahara wanayo sema ni ndogo.
1. Uchunguzi unabaini kuwa baadhi ya watumishi wanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kudhihaki na kukejeli nyongeza iliyo tolewa.
2. Wanasiasa wenye uchu wamelishikia bango hoja hili kama kete/fimbo ya kisiasa........hao ni wanasiasa uchwara.
3. Kundi la wenye chuki binafsi limo humo.
4.
Naishauri Serikali yangu kamwe isiyumbishwe na makelele haya, anayetaka nyongeza afanye kazi asiyetaka aache aende akalime.
Chonchonde serikali isiwadekeze hawa watu ni hatari naomba style ya Magufuli itumike ktk jambo hili, hakuna kubembelezana, kama kuna mtumishi ambaye haja ridhika aache kazi, vinginevyo.
Uchumi wa nchi bado haujaimarika ni jambo la kushangaza kudai nyongeza kubwa!!! huu ni upuuzi na unafaa kupuuza, narudia tena anaye taka afanye kazi la acha nenda kalime.
Kama kuna mtumishi anaye ona hiyo nyongeza haimtoshi ana uhuru wa kuacha kazi na kutafuta kazi kwengine maana Utumishi wa umma ni Wito.
Kimsingi katika kipindi hiki chenye changamoto lukuki za kiuchumi haikutakiwa kabisa kuwaongeza hiyo nyongeza ambayo baadhi ya wanao jiita watumishi wanadai ni "kidogo".
Lakini huruma ya Mama akaona bora hiyo hiyo kidogo kuliko kukosa kabisa, angeweza kukomaa hadi miaka 5 iishe lkn kwa huruma yake akaona hapana, bora hata hicho kidogo kuliko kukosa kabisa, sasa shukurani zenu ni lawama na kejeli? Kama kweli asiye shukuru kidogo hata kikubwa hawezi!!!
Watumishi mnaharibu sana! mtqmlazimisha mama akose huruma kabisaaa!!
Awamu hii ya 6 ndani ya muda wa mwaka mmoja tu kawafanyia watumishi mambo mengi kabla ya nyongeza hiyo;
1. Bima ya afya sasa watoto wenu wataweza kutumia hadi miaka 22.
2. Watumishi wengi kwa mkupuo wamepandishwa madaraja sambamba na ongezeko la mishara yao, jambo hilo halijawahi kutokea tangu nchi ipate uhuru.
3. Ajira lukuki zimemwagwa kila idara za Serikali, haijawahi kutokea tuache tabia ya kuziriba mambo mazuri yanayo fanywa na viongozi wetu.
Tuache tabia ya KUZIRIBA mambo mazuri yanayo fanywa na Rais wetu Mama Samia,
Tunamuomba Mhe. Rais asiyumbishwe na kelele za baadhi ya wanao jiita watumishi wa umma juu ya nyongeza ya mshahara wanayo sema ni ndogo.
1. Uchunguzi unabaini kuwa baadhi ya watumishi wanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kudhihaki na kukejeli nyongeza iliyo tolewa.
2. Wanasiasa wenye uchu wamelishikia bango hoja hili kama kete/fimbo ya kisiasa........hao ni wanasiasa uchwara.
3. Kundi la wenye chuki binafsi limo humo.
4.
Naishauri Serikali yangu kamwe isiyumbishwe na makelele haya, anayetaka nyongeza afanye kazi asiyetaka aache aende akalime.
Chonchonde serikali isiwadekeze hawa watu ni hatari naomba style ya Magufuli itumike ktk jambo hili, hakuna kubembelezana, kama kuna mtumishi ambaye haja ridhika aache kazi, vinginevyo.
Uchumi wa nchi bado haujaimarika ni jambo la kushangaza kudai nyongeza kubwa!!! huu ni upuuzi na unafaa kupuuza, narudia tena anaye taka afanye kazi la acha nenda kalime.
Kama kuna mtumishi anaye ona hiyo nyongeza haimtoshi ana uhuru wa kuacha kazi na kutafuta kazi kwengine maana Utumishi wa umma ni Wito.
Kimsingi katika kipindi hiki chenye changamoto lukuki za kiuchumi haikutakiwa kabisa kuwaongeza hiyo nyongeza ambayo baadhi ya wanao jiita watumishi wanadai ni "kidogo".
Lakini huruma ya Mama akaona bora hiyo hiyo kidogo kuliko kukosa kabisa, angeweza kukomaa hadi miaka 5 iishe lkn kwa huruma yake akaona hapana, bora hata hicho kidogo kuliko kukosa kabisa, sasa shukurani zenu ni lawama na kejeli? Kama kweli asiye shukuru kidogo hata kikubwa hawezi!!!
Watumishi mnaharibu sana! mtqmlazimisha mama akose huruma kabisaaa!!
Awamu hii ya 6 ndani ya muda wa mwaka mmoja tu kawafanyia watumishi mambo mengi kabla ya nyongeza hiyo;
1. Bima ya afya sasa watoto wenu wataweza kutumia hadi miaka 22.
2. Watumishi wengi kwa mkupuo wamepandishwa madaraja sambamba na ongezeko la mishara yao, jambo hilo halijawahi kutokea tangu nchi ipate uhuru.
3. Ajira lukuki zimemwagwa kila idara za Serikali, haijawahi kutokea tuache tabia ya kuziriba mambo mazuri yanayo fanywa na viongozi wetu.
Tuache tabia ya KUZIRIBA mambo mazuri yanayo fanywa na Rais wetu Mama Samia,
Kukosa kwako kazi naona unaumia sana wenzako kudai nyongezashida iko wapi, kama unaona nyongeza haitoshi acha kazi nenda katafute kazi itakayo kutosheleza.
Nchi yetu bado uchumi wake mdogo, changamoto kibao leo unataka ujaziwe halafu!
huo ndio uwezo wa Serikali haiwezekani kuzidisha hutaki nenda kalime.
Huyu jamaa cjui anatafuta njia uzi wake tu commenti watu wengi hamna kitu mashudu tupu ulichoongeaTunamuomba Mhe. Rais asiyumbishwe na kelele za baadhi ya wanao jiita watumishi wa umma juu ya nyongeza ya mshahara wanayo sema ni ndogo.
1. Uchunguzi unabaini kuwa baadhi ya watumishi wanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kudhihaki na kukejeli nyongeza iliyo tolewa.
2. Wanasiasa wenye uchu wamelishikia bango hoja hili kama kete/fimbo ya kisiasa........hao ni wanasiasa uchwara.
3. Kundi la wenye chuki binafsi limo humo.
4.
Naishauri Serikali yangu kamwe isiyumbishwe na makelele haya, anayetaka nyongeza afanye kazi asiyetaka aache aende akalime.
Chonchonde serikali isiwadekeze hawa watu ni hatari naomba style ya Magufuli itumike ktk jambo hili, hakuna kubembelezana, kama kuna mtumishi ambaye haja ridhika aache kazi, vinginevyo.
Uchumi wa nchi bado haujaimarika ni jambo la kushangaza kudai nyongeza kubwa!!! huu ni upuuzi na unafaa kupuuza, narudia tena anaye taka afanye kazi la acha nenda kalime.
Kama kuna mtumishi anaye ona hiyo nyongeza haimtoshi ana uhuru wa kuacha kazi na kutafuta kazi kwengine maana Utumishi wa umma ni Wito.
Kimsingi katika kipindi hiki chenye changamoto lukuki za kiuchumi haikutakiwa kabisa kuwaongeza hiyo nyongeza ambayo baadhi ya wanao jiita watumishi wanadai ni "kidogo".
Lakini huruma ya Mama akaona bora hiyo hiyo kidogo kuliko kukosa kabisa, angeweza kukomaa hadi miaka 5 iishe lkn kwa huruma yake akaona hapana, bora hata hicho kidogo kuliko kukosa kabisa, sasa shukurani zenu ni lawama na kejeli? Kama kweli asiye shukuru kidogo hata kikubwa hawezi!!!
Watumishi mnaharibu sana! mtqmlazimisha mama akose huruma kabisaaa!!
Awamu hii ya 6 ndani ya muda wa mwaka mmoja tu kawafanyia watumishi mambo mengi kabla ya nyongeza hiyo;
1. Bima ya afya sasa watoto wenu wataweza kutumia hadi miaka 22.
2. Watumishi wengi kwa mkupuo wamepandishwa madaraja sambamba na ongezeko la mishara yao, jambo hilo halijawahi kutokea tangu nchi ipate uhuru.
3. Ajira lukuki zimemwagwa kila idara za Serikali, haijawahi kutokea tuache tabia ya kuziriba mambo mazuri yanayo fanywa na viongozi wetu.
Tuache tabia ya KUZIRIBA mambo mazuri yanayo fanywa na Rais wetu Mama Samia,