kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Waliogundua kuwa 63 bil zimeibwa kwenye miradi angeweza kugundua hivyo mapema hata bila mbio za mwenge.
Kuna ushahidi uliothibitika kuwa mbio za mwenge ni uchochoro Mpana unaopitisha:
1. Ulaji wa fedha za umma
2. Maambukizi ya HIV na magonjwa ya ngono
3. Kipimdupindu na typhoid kutokana na watu kukusanyika wengi mahali kwenye uhaba wa vyoo na maji ya kutosha.
4. Covid-19 na TB kutokana na msongamano
5. Mimba za utotoni na mimba zisizotarajiwa.
6. Kuvunjika kwa ndoa na mahusiano kutokana na fumanizi na kukesha nje ya familia.
7. Ajali za barabarani, kujeruhiana na hata kuuana.
Hivi inakuwaje hakuna watu waliozuia au kugundua upotevu wa hela hizi kabla hasara haijafikia hizo 60s bil?
Binafsi napata shida sana kuona mwanasiasa anahimiza wananchi kuhusu kujikinga na magonjwa ya kuambukiza kama covid-19 wakati amewakusanya watu weeeengi sehemu moja ambao wameshinda na wamekesha mahali hapo. Ndio maana wananchi wanachanganya na akili zao kuhusu chanjo ya covid-19.
Hii ya mwenge kipindi hiki Cha covid-19 ni ushahidi kuwa viongozi wetu wanataka uongozi sio watu.
Kuna ushahidi uliothibitika kuwa mbio za mwenge ni uchochoro Mpana unaopitisha:
1. Ulaji wa fedha za umma
2. Maambukizi ya HIV na magonjwa ya ngono
3. Kipimdupindu na typhoid kutokana na watu kukusanyika wengi mahali kwenye uhaba wa vyoo na maji ya kutosha.
4. Covid-19 na TB kutokana na msongamano
5. Mimba za utotoni na mimba zisizotarajiwa.
6. Kuvunjika kwa ndoa na mahusiano kutokana na fumanizi na kukesha nje ya familia.
7. Ajali za barabarani, kujeruhiana na hata kuuana.
Hivi inakuwaje hakuna watu waliozuia au kugundua upotevu wa hela hizi kabla hasara haijafikia hizo 60s bil?
Binafsi napata shida sana kuona mwanasiasa anahimiza wananchi kuhusu kujikinga na magonjwa ya kuambukiza kama covid-19 wakati amewakusanya watu weeeengi sehemu moja ambao wameshinda na wamekesha mahali hapo. Ndio maana wananchi wanachanganya na akili zao kuhusu chanjo ya covid-19.
Hii ya mwenge kipindi hiki Cha covid-19 ni ushahidi kuwa viongozi wetu wanataka uongozi sio watu.