Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
mimi binafsi nazipenda na niinayo ila ndo ivyoo hazina ishu kwasasa nimenunua android tu ila daaah microsoft watufikirie tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Microsoft wenyewe washazitosa.mimi binafsi nazipenda na niinayo ila ndo ivyoo hazina ishu kwasasa nimenunua android tu ila daaah microsoft watufikirie tu
Hivi hakuna jinsi hata mi ninayomimi binafsi nazipenda na niinayo ila ndo ivyoo hazina ishu kwasasa nimenunua android tu ila daaah microsoft watufikirie tu
we acha yangu 4G windows 10 mobileHivi hakuna jinsi hata mi ninayo
hata mimi daaah! Nimeanza na windows 8 mobile nikaja windows 10 mobile mi nitaituza najua siku tutarudi ontreandAisee mkuu umenikumbusha mbali,2014- 2017 enzi hizo nilikuwa die hard lumia fan. Mara ya mwisho nakumbuka nilitumia Lumia 640, aisee hawa jamaa kama wangekaza buti wangekimbiza sana. Vitu kama Dark mode kwenye simu vilikuwepo enzi za lumia, sasa hivi naviona mpaka kwenye iOS.
Nilikuwa naipenda sana app yao ya Groove Music. Walikuwa wana feature ambayo ni intelligent inakutengenezea playlist kutokana na mood yako.
Lakini kitu kinachosikitisha waliamua kufocus kwenye Windows 10 na kuachana na Windows 10 Mobile.
Kama wangeendelea wangefikia malengo yao ya unified OS. Ingawa naamini watarudi tu siku si nyingi.
sio kweli washauri wa bill alifeli tuWalifeli sokoni, ukiritimba umeua kampuni nzuri kongwe kama nokia na blackberry
nani kakudanganyaWindows phone ni ushubwada
Haina maajabu zaidi ya kusumbua tu kuitumia haielewekinani kakudanganya
Mkuu hivi groovemusic play store haipo? Unaikumbuka ile kitu ya pin chochoteAisee mkuu umenikumbusha mbali,2014- 2017 enzi hizo nilikuwa die hard lumia fan. Mara ya mwisho nakumbuka nilitumia Lumia 640, aisee hawa jamaa kama wangekaza buti wangekimbiza sana. Vitu kama Dark mode kwenye simu vilikuwepo enzi za lumia, sasa hivi naviona mpaka kwenye iOS.
Nilikuwa naipenda sana app yao ya Groove Music. Walikuwa wana feature ambayo ni intelligent inakutengenezea playlist kutokana na mood yako.
Lakini kitu kinachosikitisha waliamua kufocus kwenye Windows 10 na kuachana na Windows 10 Mobile.
Kama wangeendelea wangefikia malengo yao ya unified OS. Ingawa naamini watarudi tu siku si nyingi.
Xl ranginya chungwa ilikua amaizing sanaDaaah yangu ya mwisho ni Microsoft Lumia 640xl nilinunua 2015 nimekuja kuitupa mwaka jana jamaa baada ya kututosa watumiaji, ila ni simu moja ngumu sana kwa sisi tunaofanya kazi za Shuruba
cheki mashineMkuu hivi groovemusic play store haipo? Unaikumbuka ile kitu ya pin chochote
Mzee unayo adi leo
Sidhani kama wakiamua kurudi wataendeleza OS rollout kwenye hizi simu za zamani kwa sababu kila siku hardware requirements zinaongezeka kwenye simu. Sasa hivi kuna simu zina 8Gig RAM and the likes...hata mimi daaah! Nimeanza na windows 8 mobile nikaja windows 10 mobile mi nitaituza najua siku tutarudi ontreand