Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Sijajua ila
950xl wameipa window 11 update surface zikitoka unyama sanawalitisha sana sema sasa hivi Android na iOS ndiyo wamekamata soko. Kuna kipindi zilisambaa rumors kwamba Microsoft wataachia Surface Phone ingawa ni muda mrefu umepita. Kwa hiyo sina uhakika kama bado wanaplans hizo.