Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,036
- 2,807
Kuna kipindi ilikuwepo lakini ilikuwa kwa ajili ya kustream. Sina uhakika kama sasa hivi itakuwepo kwa sababu nimetumia iOS muda mrefu sasa.Mkuu hivi groovemusic play store haipo? Unaikumbuka ile kitu ya pin chochote
Duuh iangalie kama ipo mkuu niimalizie iOS naipenda ila kwa matoleo kuanzia x mkasi sana mzee chini ya apo apana siitakiKuna kipindi ilikuwepo lakini ilikuwa kwa ajili ya kustream. Sina uhakika kama sasa hivi itakuwepo kwa sababu nimetumia iOS muda mrefu sasa.
Aisee mkuu hazipo tena kwenye Android tangu December 1, 2018. Microsoft waliziondoa kwenye Play store na App Store.Duuh iangalie kama ipo mkuu niimalizie iOS naipenda ila kwa matoleo kuanzia x mkasi sana mzee chini ya apo apana siitaki
Nimeangalia mtandaoni haipo tena, wamesema walishazitoa kama nilivyokuambia hapo juu ndugu.Duuh iangalie kama ipo mkuu niimalizie iOS naipenda ila kwa matoleo kuanzia x mkasi sana mzee chini ya apo apana siitaki
Poa jini sana unyama wa groove ulikua sio poaNimeangalia mtandaoni haipo tena, wamesema walishazitoa kama nilivyokuambia hapo juu ndugu.
Yah mkuu ilikuwa kali sana, pia mziki ulikuwa unatoka quality sana kwenye simu hizi. Lakini siyo mbaya unaweza kutafuta Lumia maana zinauzwaga bei rahisi sana kwa sababu raia walishaambiana ni simu ngumu. Pia niliziona Aliexpress bei ya kutupa. Unaweza ukanunua ya kusikiliza mziki tu.Poa jini sana unyama wa groove ulikua sio poa
Hizo itel ni nzito kinyama mkuu. Yaani zinalag mpaka unaona kero kutumia simu.Simu NI itel zingine majangaa
Sawa mkuu iOs vipi restriction nako zinapungua eeh au bado kifungo kikaliYah mkuu ilikuwa kali sana, pia mziki ulikuwa unatoka quality sana kwenye simu hizi. Lakini siyo mbaya unaweza kutafuta Lumia maana zinauzwaga bei rahisi sana kwa sababu raia walishaambiana ni simu ngumu. Pia niliziona Aliexpress bei ya kutupa. Unaweza ukanunua ya kusikiliza mziki tu.
iOS hazina restriction nyingi kama watu wanavyoamini mkuu. Mfano ukihitaji music unaweza kulipia Apple music subscription ukawa unadownload albums pale. Au unaweza kutumia iTunes kuhamisha muziki kwenda kwenye simu yako.Sawa mkuu iOs vipi restriction nako zinapungua eeh au bado kifungo kikali
Biashara ilishawashinda hao...mimi binafsi nazipenda na niinayo ila ndo ivyoo hazina ishu kwasasa nimenunua android tu ila daaah microsoft watufikirie tu
Itel t 20.zipo vizuri.Hizo itel ni nzito kinyama mkuu. Yaani zinalag mpaka unaona kero kutumia simu.
Bora hata iOS kwa sasa au kama Android ununue high end au midrange angalau.
Nakumbuka enzi zetu mzee tulikua na uzi wetu hadi humu ile window ten ilileta unyam sanaiOS hazina restriction nyingi kama watu wanavyoamini mkuu. Mfano ukihitaji music unaweza kulipia Apple music subscription ukawa unadownload albums pale. Au unaweza kutumia iTunes kuhamisha muziki kwenda kwenye simu yako.
Chamsingi tu ni uizoee simu yako na matumizi yake yenye utofauti kidogo na Android.
NinachozipeNOndea iOS phones ni kwama dat
Nimetumia Nokia Lumia 1020 hii simu ulikuwa na camera haijawahi kutokea.....48 megapixel alafu ulikuwa na features nyingi Sana za camera huku ikipata updates kila mwaka.
Mpaka Leo haijawahi kutokea simu ambayo ilikuja na mapinduzi ya camera hakika kama ni PUREVIEW basi hii simu ulikuwa halisi...
Nokia 830 imekuja kunifia ndani baada ya Microsoft kuzifunga simu nayo pia ilikuwa Tamu Sana kwenye camera (PUREVIEW Zeiss)
Kama kuna watu tunapenda kampuni ya Nokia Mimi ni mmoja wapo ndiyo maana nimerudi Tena mwezi huu kununa Nokia G10(android one) aisee hii simu inakaa na chaji Hadi rah
Haina maajabu mengi ndio maana inatunza chaji kuuanzia resolution,spec na kila kitu ndio mana iko njemaAchana na kukaa na chaji ioo G10 mkuu mautundu mengine inayo kama yapii labda itanishawishi..?
Kumbuka Nokia wanatumia pure android (android one) haina Mambo mengi zaidi isipokuwa kwenye kupata updates na security pia kwenye camera yake wamejitahidi ingawa sio Zeiss....Achana na kukaa na chaji ioo G10 mkuu mautundu mengine inayo kama yapii labda itanishawishi..?
Ni kweli haina Mambo mengi kutokana na budget yake.....Haina maajabu mengi ndio maana inatunza chaji kuuanzia resolution,spec na kila kitu ndio mana iko njema
Sure wala sio uongo kiongoziNi kweli haina Mambo mengi kutokana na budget yake.....
Ila Kwa watu wajanja watanunua Sana hii G10 na G20 kuliko kukimbilia kwenye Tecno au infinix
Performance unaionaje mkuu?!Itel t 20.zipo vizuri.
Zina 4g.ndo naitumia wamejitahidi.ila kamera majanga.
Ram 1gb
walitisha sana sema sasa hivi Android na iOS ndiyo wamekamata soko. Kuna kipindi zilisambaa rumors kwamba Microsoft wataachia Surface Phone ingawa ni muda mrefu umepita. Kwa hiyo sina uhakika kama bado wanaplans hizo.Nakumbuka enzi zetu mzee tulikua na uzi wetu hadi humu ile window ten ilileta unyam sana