Tunaoa au kuolewa kwa sababu zisizo sahihi

Tunaoa au kuolewa kwa sababu zisizo sahihi

magombe junior

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2012
Posts
2,018
Reaction score
1,042
Habari za muda huu wanajumuiya ya MMU wenzangu, ni matumaini yangu kila mmoja anaendelea vyema.

Katika tafakuri ya weekend leo nimewaza jinsi ambavyo ndoa zinawasumbua vijana wengi kila mmoja na sababu yake ingawa ukiziangalia zote zinatoa jibu moja kua huenda tulioa bila kuzingatia sababu za msingi zakuoa.

Kimsingi hua tunaamini ili umuoe msichana kikubwa ni upendo, yaani lazma uwe unampenda kidhati ndio umfanye mke, ajabu nikua kumbe "upendo" pekee sio sababu inayatokiwa kufanya umuoe binti au binti aolewe.

Kuna sababu nyingine zamuhimu zaidi ingawa hua zinajulikana ukishajipiga kitanzi tayari. Miongoni mwa vitu vya msingi mnooo kuvifahamu kuhusu mtrajiwa wako ni historia yafamilia yake kwa maana ya baba na mama yake, jinsi wanavyoish, majirani wanawaonaje, na kwa mwanamke ni muhimu zaid ujue je mama anaheshima kiasi gan kwa baba na je ni baba au mama aneendesha familia.

Kuna mtu mzima amewahi kunieleza " Ukioa unamuoa mama yake binti (kwa maana ya tabia) na sio binti", mjue mama unaemuoa.

Wasalam
 
Katika hili wahanga wakubwa uzeeni ni wanaume. Baba asipokuwa na mama uzeeni hadi ugonjwa huishi maisha ya mateso sana kwa mama akiagiza moja ya mtoto wake huwa wako tayari hili halipingiki.

Sasa endeleeni kukaza shingo.

Siku mojamoja mpite wodini kwa wazee wa kiume muulize wauguzaji ni nani zao km hamjapata majibu ya n wake zao basi dada zao hakuna mtoto wakike au wa kiume huweza kumtawaza baba wodini au kulala naye wodini.
 
Katika hili wahanga wakubwa uzeeni ni wanaume. Baba asipokuwa na mama uzeeni adi ugonjwa huishi maisha ya mateso sana kwa mama akiagiza moja ya mtoto wake huwa wako tayari hili halipingiki.

Sasa endeleeni kukaza shingo...

Siku mojamoja mpite wodini kwa wazee wakiume muulize wauguzaji ni nani zao km hamjapata majibu ya n wake zao basi dada zao hakuna mtoto wakike au wa kiume huweza kumtawaza baba wodini au kulala naye wodini.

Aiseee ndo tuzeeke sasa. Kwa hali ilivyo kufika uzee ni ngumu tutaishia njiani.
 
Mada adhimu kabisa!

Kukiuka baadhi ya maandiko mfano kwa sisi Eaislamu basi tunaangalia vitu kama dini yake,uzuri wake, Mali yake na nasaba yake kama sijakosea.

Sasa hapo kweny nasaba ndo point yako wewe na ndo tunabugi sana maana hapa ni asili ya mtu kuanzia trend ya ukoo wake kama viburi, Wana akili, wachawi, walevi, Wana magonjwa ya kurithi..hapa tunabugi.

Tukirudi nyuma ukiachana na izo hapo juu ndoa za zamani zilidumu kutokana na kuangalia nasaba au asili ya mtu!! wazazi waliweza kuwatambua na kuwachagulia watoto wao wenza wazuri kwa kufuatilia historia ya ukoo fulani au jamii fulani kwa mda mrefu na kujua hawa na sisi tunaendana basi watoto wetu wanaweza kuoana na kuishi safi.

Na ndoa zilidumu hata nyie mnafahamu hii imebaki kwa jamii za Asia hata uingereza wanazo hii tamduni.

Tanzania na Africa in general hatuna stable cultures kutokana na kuiga mifumo kutoka sehemu zote dunia ndo maana sasa mambo yamebadika huwezi kumchagulia mtoto wa kumuoa yeye kakutana na kibint cha Moro hapa Dar wamekutana miaka na kukaa miaka mitatu chuo basi wanataka kuoana hajui tabia ya mtoto na ukoo wa mtoto huko mtaani kwao Moro mwisho wa siku ndoa chali.
 
Kwann umetolea mfano morogoro? Kwan mnatuonaje sisi watu wa moro?
Mada adhimu kabisa!

Kukiuka baadhi ya maandiko mfano kwa sisi waislamu basi tunaangalia vitu kama dini yake,uzuri wake, Mali yake na nasaba yake kama sijakosea.
 
Mada adhimu kabisa!

Kukiuka baadhi ya maandiko mfano kwa sisi waislamu basi tunaangalia vitu kama dini yake,uzuri wake, Mali yake na nasaba yake kama sijakosea.

Sasa hapo kweny nasaba ndo point yako wewe na ndo tunabugi sana maana hapa ni asili ya mtu kuanzia trend ya ukoo wake kama viburi, Wana akili ,wachawi ,walevi, Wana magonjwa ya kurithi..hapa tunabugi.
Tukirudi nyuma ukiachana na izo hapo juu ndoa za zamani zilidumu kutokana na kuangalia nasaba au asili ya mtu!! wazazi waliweza kuwatambua na kuwachagulia watoto wao wenza wazuri kwa kufuatilia historia ya ukoo fulani au jamii fulani kwa mda mrefu na kujua hawa na sisi tunaendana basi watoto wetu wanaweza kuoana na kuishi safi..Na ndoa zilidumu hata nyie mnafahamu hii imebaki kwa jamii za Asia hata uingereza wanazo hii tamduni

Tanzania na Africa in general hatuna stable cultures kutokana na kuiga mifumo kutoka sehemu zote dunia ndo maana sasa mambo yamebadika huwezi kumchagulia mtoto wa kumuoa yeye kakutana na kibint cha Moro hapa dar wamekutana miaka na kukaa miaka mitatu chuo basi wanataka kuoana hajui tabia ya mtoto na ukoo wa mtoto huko mtaani kwao Moro mwisho wa siku ndoa chali.

Aisee jamaa umemaliza kila kitu,yan kifup umepanua mada kwa upana unaotakiwa asante sana kwa nyama izo
 
Habari za muda huu wanajumuiya ya MMU wenzangu, ni matumaini yangu kila mmoja anaendelea vyema.

Katika tafakuri ya weekend leo nimewaza jinsi ambavyo ndoa zinawasumbua vijana wengi kila mmoja na sababu yake ingawa ukiziangalia zote zinatoa jibu moja kua huenda tulioa bila kuzingatia sababu za msingi zakuoa.

Kimsingi hua tunaamini ili umuoe msichana kikubwa ni upendo, yaani lazma uwe unampenda kidhati ndio umfanye mke, ajabu nikua kumbe "upendo" pekee sio sababu inayatokiwa kufanya umuoe binti au binti aolewe.

Kuna sababu nyingine zamuhimu zaidi ingawa hua zinajulikana ukishajipiga kitanzi tayari. Miongoni mwa vitu vya msingi mnooo kuvifahamu kuhusu mtrajiwa wako ni historia yafamilia yake kwa maana ya baba na mama yake, jinsi wanavyoish, majirani wanawaonaje, na kwa mwanamke ni muhimu zaid ujue je mama anaheshima kiasi gan kwa baba na je ni baba au mama aneendesha familia.

Kuna mtu mzima amewahi kunieleza " Ukioa unamuoa mama yake binti (kwa maana ya tabia) na sio binti", mjue mama unaemuoa.

Wasalam
Eeeeh kwakwer hili sasa naanza kuliamini maana yule Binti mama yake alikua ana mdomo alafu na mwanae ivoivo anajikuta yeye head of family kaona isiwe tabu pita ivi😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom