Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Fuga mbuzi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuzi nitafuga ila sio kwa sasa mdauFuga mbuzi mkuu
Inawezakana ukawa sahihi lakini nadhani sangara wanahitaji zaidi ya hizo conditions mkuu, suala la water salinity yaani kiwango cha chumvi kwenye maji ni muhimu sana kwa ustawi na ukuaji wake na hapa ndipo pagumu kidogo kwa teknolojia ya miundo-mbinu yetu WatanzaniaNimesoma sana kuhusu Sangara ,yeye kwake muhimu ni hewa na joto la wastani ,sasa vingine kama stress,nk-- vina fanana na samaki wengine raha ya huyu samaki unaweza usimlishe kama kumfugia kwenye cage na pia huyu anakula samaki wenzie(ana take advantage ya aina ya samaki aliopo katika mazingira yake)
Kama unaota kufuga sangara bado unahitaji elimu ya kutosha kuhusu ufugaji wa samaki.Natamani kufuga sangara ila vifaranga vya sangara sijui nitawapatia wapi? yeyote wakunieleza nakaribisha kwa moyo wote.
Na kama hakuna anae uza kwanini mtu asianze utafiti na kuzalisha vifaranga vya vya sangara atuuzie sisi wafugaji?
May be upate kitalu ziwa Victoria Mzee.Mie interest yangu ni kufuga sangara nishajiapiza kabla sijafa niwe nishafuga sangara kabisa niwe expert wakuwa shauri ninyi muanze na kufuga maana hakuna mtanzania aliye thubutu sija msikia labda mdau umekwisha msikia unijuze
You can prove them wrong by utilizing a possible opportunity. Unless they're likely to prove that they're correct.Yaani hapa akitokea mtu kusema niache ndoto yangu sitomuelewa kabisa baba yangu na mama yangu walisema sitofanikiwa I want to prove to them they were wrong
Kitalu kiata kitanuigarimu pesa MingiMay be upate kitalu ziwa Victoria Mzee.
Sasa elimu gani tena maana vitu vya umuhimu tiyari inapaki kubwa tafuta wataalamu huku mie nikiwa kiongozi wa utafiti (master plan )Kama unaota kufuga sangara bado unahitaji elimu ya kutosha kuhusu ufugaji wa samaki.
USisahau na light intensityInawezakana ukawa sahihi lakini nadhani sangara wanahitaji zaidi ya hizo conditions mkuu, suala la water salinity yaani kiwango cha chumvi kwenye maji ni muhimu sana kwa ustawi na ukuaji wake na hapa ndipo pagumu kidogo kwa teknolojia ya miundo-mbinu yetu Watanzania
Mkuu simply huwezi kufuga Sangara.Sasa elimu gani tena maana vitu vya umuhimu tiyari inapaki kubwa tafuta wataalamu huku mie nikiwa kiongozi wa utafiti (master plan )
Mdau simply huwezi kunikatisha tamaa coz its not over until the lord say it's overMkuu simply huwezi kufuga Sangara.
Unatumia energy kubwa kuwaza mambo ya kufikirika.Mdau simply huwezi kunikatisha tamaa coz its not over until the lord say it's over
Unatumia energy kubwa kuwaza mambo ya kufikirika.
Nimekaa paleeeeResearchers advise on Nile Perch farming - New Vision Official, read by yourself harafu uache ubishi
Wait for the results mdauNimekaa paleeee
Sangara anataka maji marefuNdio nilikuwa nataka nianze kutafiti sasa ila kwa mawazo yangu target [emoji457] yangu ni viwanda vya mwanza ambako hata baba yangu huwa anapeleka Sangara huko
Toa sababuSangara anataka maji marefu