Tunaoamini hakuna kinachoshindikana tuna jambo la kuongea

Tunaoamini hakuna kinachoshindikana tuna jambo la kuongea

Mkuu sangara chakula chake tu sio sawa na sato Hawa, they are carnivores. Umejipangaje Kwa Hilo? Hata darasani maswala ya aquaculture huwa hatumsomi sangara nafikiri ni kutokana na technology advancement level nchini kwetu.

Ila Kwa mataifa yaliyoendelea wanafuga mpaka Salmon, kwao ni possible. In Tanzania hakuna ufugaji wa sangara hata Kwa cages(vizimba) hamna. Je, utaweza bwawani? Jibu unalo

Za kuambiwa changanya na za kwako.....sio Kila jambo la kutilia misimamo
 
Aah wapi wale wale na wewe Tz hawamsomi coz hapa kwetu hatujaendelea kihivyo ujue huku kagera ( kazilantemwa ) Sangara wamekuwa adimu ndo inanipa hamasa niendelee kujipanga nije kufanya utafiti so siwezi acha kabisaaaa☺️☺️☺️
 
Lates niloticus (Victoria perch) soma hapo labda sababu utazielewa walau ila sizani kama ni kweli coz there is no verification about the facts as the fishermen say during the night the Nile perch appear from the water and swim together in aline source wategaji wa mitego na migonzo kazilantemwa
 
Hakuna sababu ya kufuga sangara wakati unatengeneza tu limtumbwi unaenda kuvuna zilizo ziwani
 
Hakuna sababu ya kufuga sangara wakati unatengeneza tu limtumbwi unaenda kuvuna zilizo ziwani
Kama ni hivyo ina maanisha hakuna sababu ya kufuga Sato na kambale wote tuchonge mitumbwi tukavune za ziwani na mitoni
 
Hakuna sababu ya kufuga sangara wakati unatengeneza tu limtumbwi unaenda kuvuna zilizo ziwani
Hivi inakuwa ubaguzi wa kisamaki naimani Sangara wangekuwa wana akili wangeandamana ziwani nakugoma kuvuliwa ,wakiuliza kwanini sie Sangara hatufugwi huku Sato na kambale wanafugwa ?
 
Fuga KAMBALE ndugu, bado wana soko sana.
Mwezi November hadi December ingia KIGOMA na BUKOBA nunua kumbikumbi wa 1-2M hata ungekuwa na kambale laki tano watatosha kwa chakula hadi kuvuna. Kuhusu soko nadhani kila mtu anaweza kukusaidia jibu.
Namna gani ya kuwahifadhi hao kumbikumbi mkuu?
 
Natamani kufuga sangara ila vifaranga vya sangara sijui nitawapatia wapi? yeyote wakunieleza nakaribisha kwa moyo wote.

Na kama hakuna anae uza kwanini mtu asianze utafiti na kuzalisha vifaranga vya vya sangara atuuzie sisi wafugaji?
Sangara anaitaji maji yenye kina cha futi 20 kuendelea na mazingira ya chini ya bwawa kuwekwe mchanga
 
Lates niloticus (Victoria perch) soma hapo labda sababu utazielewa walau ila sizani kama ni kweli coz there is no verification about the facts as the fishermen say during the night the Nile perch appear from the water and swim together in aline source wategaji wa mitego na migonzo kazilantemwa
Kwa migonzo uwa wanapata sangara kwenye maji ya vifua 6 na kuendelea maana uwa,wanarudi kulala wakati wa usiku tatizo kubwa ni distabance ya katuli inahimiza samaki
 
Fuga KAMBALE ndugu, bado wana soko sana.
Mwezi November hadi December ingia KIGOMA na BUKOBA nunua kumbikumbi wa 1-2M hata ungekuwa na kambale laki tano watatosha kwa chakula hadi kuvuna. Kuhusu soko nadhani kila mtu anaweza kukusaidia jibu.
shukrani sana mkuu umeniongezea kitu
 
Back
Top Bottom