Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
kmc piga hao vinyesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanielewa baada ya mechi.Sijakuelewa
deal na azamMm siyo mganga wala mchawi ila naona kabisa Unbeaten blunder inaweza kuisha leo mchezo wa Yanga na vijana wa Kinondoni haitakuwa rahisi sababu;
Timu ya KMC ina wachezaji wenye uwezo wa kufanya lolote, wana vipaji, siyo waoga, wana nguvu, wana miliki mpira
Nimewaangalia mchezo na Simba, hakika walitoa perfect challenge. Pia mchezo na Azam walionyesha kuwa siyo timu ya kubeza
Yanga leo naona akipoteza, George Makang'a fanya kitu leo utuinue.
naona kmc wanekufurahisha sanaMimi siyo mganga wala mchawi ila naona kabisa Unbeaten blunder inaweza kuisha leo mchezo wa Yanga na vijana wa Kinondoni haitakuwa rahisi sababu;
Timu ya KMC ina wachezaji wenye uwezo wa kufanya lolote, wana vipaji, siyo waoga, wana nguvu, wanamiliki mpira
Nimewaangalia mchezo na Simba, hakika walitoa perfect challenge. Pia mchezo na Azam walionyesha kuwa siyo timu ya kubeza
Yanga leo naona akipoteza, George Makang'a fanya kitu leo utuinue.
Hili jamaa limekimbia
Sasa Simba na Azam ndiyo iwe kipimo cha yanga kufungwa?. Punguza Mambo ya hovyoo kwenye mpira asee!!Waulize simba na Azam
ngapi ngapi?KMC unamchukulia poa?
Mayele alipokawachomeka mbili ilitumika bahasha kima wewe?Bila uchawi bila bahasha KMC wanatoboa