Tunaoicheka Yanga SC sasa kwa kufungwa Juzi ukiona marejeo ya tarehe 3 wanafanya hiki jueni kwa 100% wanabeba Kombe la CAFCC

Mbona walipoenda Tunisia Kucheza na Club Africainne na hapa Majuzi walipoenda nchini Mali kucheza na Real Bamako FC waliutumia huu huu Uchawi niliouelezea hapa na Yanga SC ikashinda? Fuatilia ili Ujiridhishe na nikisemacho.
Asante mkuu.

Ila acha wakateseke hawa Frogs, mtaa ulikua mzito sana Kwa kwetu.
 
Kama Waganga wa Kienyeji wa Yanga SC Wakiroga na kufanya hicho nilichokisema hapo awali ( juu ) niamini na amini kuwa Yanga SC itapindua Meza na Watabeba Kombe huko nchini Algeria na Watu hamtoamini Macho na Masikio yenu.

Uchawi wa kuchinja ngamia mia unaujua huo mkuu , kila baada ya dk 5 anachinjwa ngamia mmoja huku mpira ukiwa unaendeleea hawatoki mkuu hao jamaa
 
Uchawi una mipaka yake...usidhani kuubeba uchawi kwenda nao Algeria ni kazi ndogo kuvuka vizingiti vya dola zingine za kichawi na dawa zao kwenda huko.

Ilo wangeliweza hapa Tanganyika.
Hao Algeria ni wachawi balaa,walichezaga na England world cup mmesahau mwaka kwenye goli la Algeria alikaa njiwa mweupe mwanzo mwisho.....
 
Ujinga nao una madaraja.
 
HATA WAINGIE UCHI UWANJANI.

KWA MWALABU LAZIMA WAPIGWE.
WATAKE WASITAKE.


N:B. TENA WALIWAPULIZIA SUMU KWENYE VYUMBA VYA KUBADIRISHIA NGUO.
 
Kumbe kolo ushindi zenu za kafara🤔
 
Mkuuu huyo wa MOROGORO ni yule aliepo mvomero Kijiji frani
 
Na hao USMA kibahati bahati, papatu papatu wanapata bao, hawashangilii wanaokota mpira cheza cheza counter attack imekubai mpa kampa tena anao anao mpa pasi ya upendo, kula chuma hiko.

Who knows? Only God.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani washawaambia wafanya hivyo?

Any ways.... Hata sisi usm algers uchawi tunaujua vizuri sana tena wa asili ya hapa karibu yetu nigeria
 

Hahah! umetoka kuchambua Mpira hadi uchawi kwenye mpira ambao mara nyingi haufanyi kazi😂
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…