HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Habarini,
Napendekeza wale wote tunaoidai serikali ya Tanzania tusijiandikishe na kupiga kura ili kufikisha hisia zetu kwa serikali kuwa hatukubaliani nayo kuwa hsina fedha za kulipa madeni yetu tunatoidai ila inapesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Ninaidai serikali zaidi ya Tshs. 500mln nimeenda mahakamani na kushinda kesi lakini serikali imegoma kunilipa.
Huu ni mgomo baridi.
Napendekeza wale wote tunaoidai serikali ya Tanzania tusijiandikishe na kupiga kura ili kufikisha hisia zetu kwa serikali kuwa hatukubaliani nayo kuwa hsina fedha za kulipa madeni yetu tunatoidai ila inapesa za kuendesha shughuli za uchaguzi.
Ninaidai serikali zaidi ya Tshs. 500mln nimeenda mahakamani na kushinda kesi lakini serikali imegoma kunilipa.
Huu ni mgomo baridi.