HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Hakuna kitu kibaya kama kuchokwa hata uwe na ubavu kiasi gani itakuja kuwa ngumu siku moja.Unaambiwa upige kura au usipige serikali itaundwa, imetoka hiyo
Kama kuna mahali hakuna maji au umeme wa shida au matundu ya choo cha shule mabovu bado unadaiSiidai serikali chochote lakini sitapiga kura kwasababu tayari wameshampanga mshindi wao.
tangu juzi maji hayatokiKama kuna mahali hakuna maji au umeme wa shida au matundu ya choo cha shule mabovu bado unadai
Unadaitangu juzi maji hayatoki
Nasikia kuchimba kisima chako mpaka uombe kibali etitangu juzi maji hayatoki
Sina pesaNasikia kuchimba kisima chako mpaka uombe kibali eti
ccm isha expire lkn bado inatumiwa tuNasikia kuchimba kisima chako mpaka uombe kibali eti
GT meku mtu wangu wa nguvu nimefurahia hii comment yako. Yani ukichokwa ama ukimchoka mtu. Mimi nilikuwa na demu mkali nimemchoka huwezi amini hata sasa hivi akitatuliwa rinda mbele yangu haitaniuma kabisa.Hakuna kitu kibaya kama kuchokwa hata uwe na ubavu kiasi gani itakuja kuwa ngumu siku moja.
Hii ni kwel kabisa mkuu unaweza kuteswa na pisi ila kuna mda unaweza jicheka kabisa.GT meku mtu wangu wa nguvu nimefurahia hii comment yako. Yani ukichokwa ama ukimchoka mtu. Mimi nilikuwa na demu mkali nimemchoka huwezi amini hata sasa hivi akitatuliwa rinda mbele yangu haitaniuma kabisa.