Tunaoishi single (Ghetto Geez) Tukutane hapa

Tunaoishi single (Ghetto Geez) Tukutane hapa

Kuna kipindi nilipigika ndani ulibaki unga na gesi tu kazi ikawa ni kutafuta mboga tu, nikawa nanunua maharage yaliyochemshwa ya tsh 500 natia chumvi nakula na ugali. Kipindi hicho ndio nilijua kujibajeti na kuacha matumizi yasiyo yalazima na ndio kipindi nilifanikiwa kuachana na makamari.
Nyakati ngumu zipo.. 😂😂
 
Back
Top Bottom