Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Soda ni mbaya sana kiafya. Wengine wamekuwa waraibu kwao soda imekuwa sehemu ya mlo badala ya matundaMatunda ni muhimu sana wengi wanabwia soda tu sio nzuri kiafya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soda ni mbaya sana kiafya. Wengine wamekuwa waraibu kwao soda imekuwa sehemu ya mlo badala ya matundaMatunda ni muhimu sana wengi wanabwia soda tu sio nzuri kiafya
HalotelMtandao gani
Nyakati ngumu zipo.. 😂😂Kuna kipindi nilipigika ndani ulibaki unga na gesi tu kazi ikawa ni kutafuta mboga tu, nikawa nanunua maharage yaliyochemshwa ya tsh 500 natia chumvi nakula na ugali. Kipindi hicho ndio nilijua kujibajeti na kuacha matumizi yasiyo yalazima na ndio kipindi nilifanikiwa kuachana na makamari.
Nambie kama nipo sahihi....Upo radhi kutokula asubuhi na mchana ili tuu uwe na hela ya kuweka vocha?Chai hakuna, lunch hakuna. Nakula jioni ugali wa buku Kwa mama ntilie. Vocha ya bando ni 2100/=. Jumla ni 3100/=. Imeisha hiyo!
Na zinatufundishaNyakati ngumu zipo.. 😂😂
Ni utaratibu TU bosi. Sinunui vocha kama Sina pesa ya kula jioni. Ila mpangilio wangu ni kula jioni na vocha.Nambie kama nipo sahihi....Upo radhi kutokula asubuhi na mchana ili tuu uwe na helaya kuweka vocha?
Yupo dada mmoja kwa siku bila kunywa soda 3 au 4 na chips anaona siku yake haijaenda sawa, anachokipanda atakivuna.Soda ni mbaya sana kiafya. Wengine wamekuwa waraibu kwao soda imekuwa sehemu ya mlo badala ya matunda
Kula jioni plus vocha = 3100Ni utaratibu TU bosi. Sinunui vocha kama Sina pesa ya kula jioni. Ila mpangilio wangu ni kula jioni na vocha.
Daaah! Mpaka namuonea huruma aiseeYupo dada mmoja kwa siku bila kunywa soda 3 au 4 na chips anaona siku yake haijaenda sawa, anachokipanda atakivuna.
Ni ushauri mzuri. Labda kuongeza bajeti ya matunda hapo shilingi mia tano. Bundle ni muhimu mno.Kula jioni plus vocha = 3100
Kwann siku nyingine usiwe unanunua hizo vocha alaf ukaitumia hio hela kununua matunda mchana ukaimarisha afya yako?
Unaingiza kipato kupitia hilo bando??Ni ushauri mzuri. Labda kuongeza bajeti ya matunda hapo shilingi mia tano. Bundle ni muhimu mno.
desh zina raha yake, akili inachangamka balaaNa zinatufundisha
Simu ndio ofisi bosi. Vinginevyo nisingeweka kipaumbeleUnaingiza kipato kupitia hilo bando??
Kama jibu ni Hapana, bac hilo bando sio muhimu.
Ni huruma mno alafu baadae mtu kama huyo ataanza kutafuta mchawi n naniDaaah! Mpaka namuonea huruma aisee
Sio kidogo nadhani ndio nyakati nzuri za kuset mipango.desh zina raha yake, akili inachangamka balaa
Okay sawa, but mzee jaribu kuweka chochote mchana au asubuhi, ni muhimu sana mwili kupata chakula asubuhi kuliko usiku, sema wengi hatujui hili kwa sababu tunaogopa kulala na njaa.Simu ndio ofisi bosi. Vinginevyo nisingeweka kipaumbele