Umesoma heading lakini au bia za sikukuuUnaulizwa na wewe unauliza kitu irrelevant kabisa!
Jukwaa la siasa,na kumpa apewe nini?
Apewe siasa?
Nigga,use your brain!
Hakuna mada kubwa mwaka huu zaidi ya uchaguzi na jpm ndio mshindiHuna hata aibu usiku usiku kutuletea habari za kipuuzi
Huna mada za msingi au?
Pamoja sana comradeIpo hapa kura yake.... Nawakilisha witu 100k
Shida kwako ni msimamo ,sisi tumesha amuaPeople are dynamic Wanaweza badilika ndani ya sekunde kadhaa tu.
Kwahiyo nikiwa Kama Mwanaume ninaejielewa siwezi kutoa udhibitisho wa kura yangu ya miezi Tisa ijayo kwa binadam anaebadilika Kama kinyonga.
Only time will tell.
Sent using Jamii Forums mobile app