Tunaokwenda usiku huu Dodoma tupite Didz, Starpark, Samaki Morogoro, ntakuwepo sehemu zote

Tunaokwenda usiku huu Dodoma tupite Didz, Starpark, Samaki Morogoro, ntakuwepo sehemu zote

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.

Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.

Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.

Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
 
Hello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.

Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.

Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.

Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
Wadiz ipo karibia na wapi
 
Hello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.

Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.

Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.

Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
Ukifika Dodoma , nicheki mkuu
 
Hello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.

Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.

Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.

Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
Ah hapo samaki samaki malaya kibaooo alafu bei cheee
 
Hello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.

Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.

Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.

Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
Kula raha kijana! Maisha yenyewe michosho tu. Tumia hela ikuzoee. Sisi wengine tumejificha majumbani kwetu muda huu, kutokana tu na hofu ya January.

NB: Hiyo alfajiri uwe makini sasa. Usije ukaondoka na hangover, halafu ukaishia kuliparamia lori la mizigo wakati unaenda huko Dodoma. Taifa bado linakuhitaji. Hiyo barabara ya Moro Dodoma ni nyembamba, na pia lami yake imechakaa.
 
Kula raha kijana! Maisha yenyewe michosho tu. Tumia hela ikuzoee. Sisi wengine tumejificha majumbani kwetu muda huu, kutokana tu na hofu ya January.

NB: Hiyo alfajiri uwe makini sasa. Usije ukaondoka na hangover, halafu ukaishia kuliparamia lori la mizigo wakati unaenda huko Dodoma. Taifa bado linakuhitaji. Hiyo barabara ya Moro Dodoma ni nyembamba, na pia lami yake imechakaa.
🙏🙏🙏🙏🙏
 
Wale vibaka sio malaya. Dem anakunywa konyagi kubwa mwenyew hadi inaisha.
Ndio mje muache maneno tupu mje tule bata siogopi hata tuwe 50 najiamini pesa ya matumizi ipo please be there
 
Kula raha kijana! Maisha yenyewe michosho tu. Tumia hela ikuzoee. Sisi wengine tumejificha majumbani kwetu muda huu, kutokana tu na hofu ya January.

NB: Hiyo alfajiri uwe makini sasa. Usije ukaondoka na hangover, halafu ukaishia kuliparamia lori la mizigo wakati unaenda huko Dodoma. Taifa bado linakuhitaji. Hiyo barabara ya Moro Dodoma ni nyembamba, na pia lami yake imechakaa.
[emoji3][emoji3]..Pole sana chief..

Hata bia mbili tatu unaogopa kunywa kisa ada.
 
Jamaa emotions zake za euphoria anapenda kila mtu awe nazo. Ila tunashukuru Mana you magnetize us.
Halafu iyo kauli huwa siielewagi Mana take kuwa maisha Ni haya haya. Mie Kama sijamiliki apartments USA na I'm nadhani bado siamini Kama ndio maisha wengine wanayoamini
 
Back
Top Bottom