Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
- Thread starter
- #21
Nakesha samaki samaki hilo wazo waambie UtopoloTemea chini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakesha samaki samaki hilo wazo waambie UtopoloTemea chini!
Utopolo utawajua wako primitive sanaHuyu jamaa atapata ajali mtaniambia.
Dadeki nakesha sifanyi huo ujinga mkija samaki au starpark mtanikuta safari ya dodoma naianza nikiwa sober sifanyi Utopolo, Yanga wako local sana siwezi kuiga chochote toka YangaHuyu kaandika huu uzi tyr kashaanza kunywa... Sasa kesho asubuh akirud ktk Default settings atanielewa.
Sawa.Dadeki nakesha sifanyi huo ujinga mkija samaki au starpark mtanikuta safari ya dodoma naianza nikiwa sober sifanyi Utopolo, Yanga wako local sana siwezi kuiga chochote toka Yanga
Ntamalizia Starpark ndio pana usalama na uhakika wa maisha ya kitanzania kwa starehesamaki kuna mashoga kibao
Nipo samaki samakiHello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.
Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.
Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.
Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
Nilitaka nishangae wasitajwe mashogaaa, lol.samaki kuna mashoga kibao
Khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Starpark hana ujinga wa mashoga kanuni zake anaejielewa sana Mangi
Njoo starpark hapa kwenye vibe kama loteNipo samaki samaki
Ndo wapi?Njoo starpark hapa kwenye vibe kama lote
Hello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.
Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.
Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.
Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
Mbona umesema hvo kwan ww ni shoga?Nilitaka nishangae wasitajwe mashogaaa, lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!Safiiii!Bugia maisha hadi yakukomeeee!😂😂😂😂Hello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.
Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.
Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.
Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.