Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wadiz ipo karibia na wapiHello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.
Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.
Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.
Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
Wadiz ndio jina languWadiz ipo karibia na wapi
Ukifika Dodoma , nicheki mkuuHello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.
Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.
Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.
Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
Pamoja sana mwamba mapema sana nikifika kesho ntakucheki, blessings buda!!Ukifika Dodoma , nicheki mkuu
Haina noma mkubwa.Pamoja sana mwamba mapema sana nikifika kesho ntakucheki, blessings buda!!
Ah hapo samaki samaki malaya kibaooo alafu bei cheeeHello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.
Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.
Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.
Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
Kula raha kijana! Maisha yenyewe michosho tu. Tumia hela ikuzoee. Sisi wengine tumejificha majumbani kwetu muda huu, kutokana tu na hofu ya January.Hello guys hope mko byee, wale tunaoelekea dodoma usiku huu karibu Tupite Didz, starpark, na samaki hapa morogoro tule bata za kimtindo, tufanye matumizi ya pesa, njoo ukinikuta una bill yako ya bia 5 na nusu ya mbuzi au ng'ombe choma.
Maisha ni zawadi na maisha ndio haya haya, maisha ni watu na furaha ni watu.
Hopping to catch up with you soon, mimi nakesha usihofu dodoma ntakiwasha alfajiri.
Wadiz
Tule bata na tulipe kodi kwa maendeleo ya taifa, toa risiti na dai risiti.
Bei chee kushinda wale wa Kahumba, na pale Msamvu kando ya barabara, yanapopaki malori!!Ah hapo samaki samaki malaya kibaooo alafu bei cheee
🙏🙏🙏🙏🙏Kula raha kijana! Maisha yenyewe michosho tu. Tumia hela ikuzoee. Sisi wengine tumejificha majumbani kwetu muda huu, kutokana tu na hofu ya January.
NB: Hiyo alfajiri uwe makini sasa. Usije ukaondoka na hangover, halafu ukaishia kuliparamia lori la mizigo wakati unaenda huko Dodoma. Taifa bado linakuhitaji. Hiyo barabara ya Moro Dodoma ni nyembamba, na pia lami yake imechakaa.
Bei ya chini 30 hio ni saa9 usiku but standard ni 50 hadi Laki samaki na starpark hio iwe pis Kali ambayo ni level za Kigali na mbarara Uganda na bunjumburaBei chee kushinda wale wa Kahumba, na pale Msamvu kando ya barabara, yanapopaki malori!!
Wale vibaka sio malaya. Dem anakunywa konyagi kubwa mwenyew hadi inaisha.Ah hapo samaki samaki malaya kibaooo alafu bei cheee
Ndio mje muache maneno tupu mje tule bata siogopi hata tuwe 50 najiamini pesa ya matumizi ipo please be thereWale vibaka sio malaya. Dem anakunywa konyagi kubwa mwenyew hadi inaisha.
Naskiaga hapo Samaki Samaki kuna mademu wengi kushinda wanaAh hapo samaki samaki malaya kibaooo alafu bei cheee
[emoji3][emoji3]..Pole sana chief..Kula raha kijana! Maisha yenyewe michosho tu. Tumia hela ikuzoee. Sisi wengine tumejificha majumbani kwetu muda huu, kutokana tu na hofu ya January.
NB: Hiyo alfajiri uwe makini sasa. Usije ukaondoka na hangover, halafu ukaishia kuliparamia lori la mizigo wakati unaenda huko Dodoma. Taifa bado linakuhitaji. Hiyo barabara ya Moro Dodoma ni nyembamba, na pia lami yake imechakaa.
Temea chini!Huyu jamaa atapata ajali mtaniambia.
Thank you budaUsiendeshe gari umelewa aisee buda.